
Pancras Flahisha
37.2K posts

Pancras Flahisha
@flahisha
✨ Health | Love | Business | Growth 📌 Lab Scientist 🥼 IMARA 💡 Deep Psychological Wisdom ❤️ Real Love & Relationship Tips 🚀 Fresh Business Ideas & Strategie.


Hii ajali imetokea usiku wa kuamkia leo maeneo ya Same apo ikihusisha basi la Kampuni ya Tahmeed na Land Cruiser hiyo, Poleni sana. Taarifa kamili itatolewa baadae na mamlaka husika.

T485DXE 😭💔💔..,Ajali zimekuwa nyingi sana saivi..,Hili la Busses kusafiri 24hrs ni kama hatukujiandaa nalo na Miundo mbinu ni kama haikidhi huu Utaratibu.Nadhani kunahaja ya kufanya review mwenye maamuzi yale ya Busses kusafiri muda wote.

Usiku wa kuamkia jana, tarehe 24, basi la kampuni ya Abood Bus lililokuwa likitoka Dar es Salaam kuelekea Arusha limepata ajali. Ajali hiyo ilihusisha magari mawili madogo aina ya Costa na Range Rover, ambapo magari hayo yaligongana na basi hilo.

Mpambanaji mwenzetu amepoteza maisha💔💔💔💔🙏

WARNING! GRAPHIC IMAGES... just after habanos heading to kiambu rd

Kama unamtoto wako hasa binti yupo Diploma au Degree na hana Bumu Mpigie bajeti ya mwezi, mshauri awe mtu wa biashara Ndogo ndogo, Ajihusishe na Positive Activities za chuo (like ushering na Uongozi ,etc) Pata wasaa wakuketi nae uongee nae kama mtu mzima, mwambie yote usibakishe, asijihusishe kwa mahusiano kama muda kwake Bado, Mpe na ushauri kuwa Angalau muda flani unaweza kuwa kwa mahusiano, Mshauri aache tamaa, hakuna vya bure, ajipambanie future yake ipo mikononi mwake....... Vijana wengi wana haribikiwa wakiwa wametoka Advance wanakuja chuo, pale wanapoanza first year, Aiseeeh watoto wanafungua saana tupu zao waone Dunia na utamu wake , uchungu wake wana usahau, unakuja kushtuka, your too late........ Oyaaah SIO POA





@flahisha Mtu kama weww ungetakiwa uwe mpokea ushauri ila ajabu wewe ndo unatoa ushauri.




@flahisha Mtu kama weww ungetakiwa uwe mpokea ushauri ila ajabu wewe ndo unatoa ushauri.




