pray

9.8K posts

pray banner
pray

pray

@frajo_

be humble

Tanga, Tanzania Katılım Aralık 2015
9.6K Takip Edilen11.3K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
pray
pray@frajo_·
Sikuwahi kuwa shabiki wa @OfficialAliKiba japo nazipenda baadhi ya ngoma zake. Lakini natangaza Rasmi Leo kuwa number one fan wa huyu jamaa.🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥
Filipino
1
6
100
3.5K
NGASSA+255
NGASSA+255@Therealngassa·
Ukiangalia nyuso za watu kwenye daladala asubuhi, unaweza kudhani wanaelekea msibani Watanzania wengi wanaonekana hawapendi kazi zao basi tu Amna namna
Indonesia
56
71
603
22.4K
pray retweetledi
@·
Asante Sana Africa
Español
586
2.3K
11.9K
308.6K
pray
pray@frajo_·
@fintanjr_ Mmeshindwa kabisa kukaza wenetu 😂
Indonesia
0
0
0
47
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
@frajo_ wapi nilisema? maisha yenyew yapo wapi nisile na ngoma 😂💔
Indonesia
1
0
1
283
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Kwa hiyo huyu huyu Ali Kiba aliye Wapelekea Moto Kundi zima la Sauti Soul kwenye hii Unconditionally Bae, Ndio mnataka alipe tupush # ya Finale akiwa na Bien peke yake!?😂🙌... huyu ndio Messi wa bongo fleva,. yule Ronaldo lazma nguvu iwe kubwa🤝.
The champ👑 tweet mediaThe champ👑 tweet media
Filipino
26
43
290
8.2K
pray
pray@frajo_·
Hawa wasanii muliosema mnawa CANCEL miezi minne tu iliyopita Leo ndio mnataka kutoana roho humu Kwa ajili Yao...😂😅 Watoto mikazo zero sana nyie KLBY
Indonesia
1
0
1
83
BAD NUMBER🥷🏿
BAD NUMBER🥷🏿@ByCardoJason·
Bien alikalisha Mondi,Marioo na Harmonize mbaya kwenye featuring finale kaja kujichanganya kwa King Kiba.😁 King alimpa melody kwa ile bridge na baadae Kiba akatumia hiyo hiyo bridge kwa kubadili lyrics with the same melody kumuua Bien. Kiba ni Extraordinary .🙌🏿🙌🏿🐐🐐
Filipino
37
77
871
42.6K
pray
pray@frajo_·
@fintanjr_ Hii noma sana. I would prefer this than a plane.
English
0
0
0
14
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Oyaa Katarama Luxury hii Dar to Mwanza 250,000/=.. Oyaa Kula hela za wasukuma ni rahisi sana😂🚮. Jokes aside, Wameupiga mwingi, ndege ya chini🔥
Indonesia
91
74
439
50.1K
pray
pray@frajo_·
@zed_officially Hapo kwenye kuzamia chini zaidi ya dakika 2 umedanganya😂
Filipino
0
0
0
2
𝗭𝗘𝗗
𝗭𝗘𝗗@zed_officially·
Bahari huwa naiogopa sana ilinusurika kunidedisha Mwaka fulani. Nilikuwa first year wa kwanza kile kimhe mhe kila siku beach kuogelea na Mimi nina ufundi wangu wa maji ya kanda ya ziwa Siku moja nimeenda maji marefu nimezamia kwa chini zaidi ya dakika 2 nimeibuka niko mbali 👇
Filipino
21
20
205
18.5K
pray
pray@frajo_·
Hivi karibuni kumekuwa na trend ya ukristu kujadiliwa sana humu. Wengi wakiukosoa wakiamiki wanaudhalilisha. Lakini wasichojua wanasaidia kufikisha neno. Injili lazima ihubiriwe Kwa mataifa yote kabla ya masihi kurudi 😂🙌. Unabii wa unatimia
Indonesia
0
0
1
34
pray
pray@frajo_·
@mhdhamad Hivi karibuni kumekuwa na trend ya ukristu kujadiliwa sana humu ndani. Wengi wao wakiukosoa lakini hawajui kama wanaendelea kutangaza injili😂 injili lazima ifike Kwa mataifa yote kabla ya masihi kurudi. Unabii unatimia🙌
Indonesia
0
0
3
197
mhd
mhd@mhdhamad·
Wakristo pia acheni kusema Yesu alikuwa mzungu au kushikilia picha za kizungu kama uhalisia wake Biblia haijaeleza hivyo. Yesu alikuwa Myahudi wa Mashariki ya Kati, si Mzungu. Na kuhusu mjadala wa ibada na mwenendo wake: Alisujudu alipokuwa akiomba “Akaanguka kifudifudi, akaomba…’ (Mathayo 26:39) Alizingatia usafi kabla ya ibada (mfano wa kunawa) ‘Yeye aliyeoshwa hana budi kunawa miguu…’ (Yohana 13:8–10) Hakuingia “kanisani” kama tunavyojua leo, bali alihubiri kwenye masinagogi ‘Akaingia katika sinagogi siku ya Sabato…’ (Luka 4:16) Alisisitiza ibada ya unyenyekevu na si makelele au maonesho ‘Mnapoomba, msiwe kama wanafiki…’ (Mathayo 6:5-6) Alikataza kupayuka-paya katika ibada ‘Mnapoomba msipayuke-paya kama watu wa mataifa…’ (Mathayo 6:7) Hakukuwa na mfumo wa nyimbo za ibada kama wa leo alifundisha zaidi maombi ya unyenyekevu na mafundisho ‘Basi ninyi salini hivi…’ (Mathayo 6:9) Alifundisha Mungu ni mmoja ‘Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja’ (Marko 12:29)
@

Waislamu acheni kusema Yesu alikuwa Mwislamu au Mpalestina Yesu alikuwa Myahudi, alizaliwa Bethlehemu, na aliishi Yudea. Uislamu haukuwepo.

Indonesia
26
10
59
23K
pray
pray@frajo_·
@beyoumf It has to be mustarbation
English
0
0
0
5
by
by@beyoumf·
name an addiction worse than alcohol and drugs
English
6.5K
766
17K
18.3M
pray
pray@frajo_·
@Narrowbeeflying Washing machine imeshafanya kazi yake hapa.
हिन्दी
0
0
0
21
Narrowbeefly
Narrowbeefly@Narrowbeeflying·
Hivi mtu akichukua ghorofa ya 7 pale ataweka biashara gani?? 🤣😅
Narrowbeefly tweet media
Indonesia
48
14
188
16.6K
Zoom Afrika
Zoom Afrika@zoomafrika1·
Facts affecting Africa 🌍:
English
14
0
14
5.1K
pray
pray@frajo_·
@kasesco_tz Sex ilishaongezwa. Hapo food, clothes and shelter unaongelea zamani
Română
0
0
0
38
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Ukiachana na clothes, food, and shelter nini kingine kiongezwe kwenye basic needs kwa sasa..?
HT
86
38
180
6.6K
pray
pray@frajo_·
Wenetu. Tunajua nyie ni wajuaji sana, Hilo halina shida. Sema punguzeni kukufuru aisee. Haya mambo ya kusema hakuna Mungu na topic nyingine kama hizo ni UDIWANZI big time yaani.
Indonesia
0
0
0
27