
@SportsarenatzTz Amna cha uelewa wala nini, ni swala la maslah binafsi hivi mna kumbuka kwenye wimbo maalumu kwa ajili ya Afcon ( tuliona watu wakiwa wamevalishwa jez ya yanga mimi mpaka leo najiuliza what happene je jezi ya taifa ilikosekana ? 🤔 ) hapo ndio ujue safari ya uzalendo bado ndefu
Indonesia




















