kato_14
10.2K posts

kato_14
@g_ki02
Seek the Kingdom of God above all else, and live righteously, and he will give you everything you need. — Matthew 6:33
Tanzania Katılım Ocak 2018
475 Takip Edilen318 Takipçiler

@NelsonNgemela @mshambuliaji Hata MAKOLO ile misimu minne anabeba ubingwa kulikuwa na malalamiko kama haya so ifike wakati watu wapeleke ushahidi
Filipino

@mshambuliaji Sawa lakini Club hiyo inabidi ijitafakari, kwanini kelele za wengi yanahusu yenyewe tu? sio kujificha kwenye kichaka cha mikwala kwa wanaosema. Na huyo ni mmoja tu ila ni wengi wanalalamikia timu hiyo..
Indonesia

Klabu ya Yanga SC, kupitia kampuni ya Uwakili ya ‘M/S Nassoro & Co. Advocates’ imewasilisha barua ya malalamiko mazito ya kisheria dhidi ya kampuni ya EFM/TVE ikilalamikia kashfa zinazotolewa na mfanyakazi wa Kampuni hiyo, Wilson John Oruma katika uchambuzi wake wa michezo ambao unachafua taswira ya klabu hiyo.
Katika barua hiyo Yanga SC imesema mchambuzi huyo amekuwa akitumia studio za EFM/TVE kutoa taarifa zinazodai klabu hiyo inashinda kwa njia za rushwa na kupanga matokeo hatua ambayo imedai inapunguza heshima, inavuruga mikataba ya udhamini, na kuchochea chuki.
Ikiainisha mambo kadhaa kama msingi wa malalamiko yake yakiwemo madai ya kampeni endelevu kwenye vipindi vya EFM/TVE ambao imedai watangazaji wake wamekuwa na utaratibu wa muda mrefu kuichafua klabu hiyo ikitolea mfano uchambuzi uliofanywa na watangazaji baada ya ushindi wa 6-0 dhidi ya Mbeya City, ambapo kauli zilizotolewa ziliashiria mchezo huo haukuwa wa haki.
Young Africans SC imedai uchambuzi huo umeonesha kutokuwa na imani na uhalali wa ushindi huo huku ikitaka mamlaka husika kuingilia kati ikitafsiri hatua hiyo kama kuivunjia heshima kwani kitendo hicho kinaharibu jina, hadhi, na heshima ya klabu kwa wanachama, mashabiki, na wadhamini.
#KitengeSports

Indonesia

@MaroMwikwa30907 @meamswahili @massanzajr Hapa ndipo mnapotuonesha umbumbumbu wetu,MAKOLO kwani akili zenu zipo wapi?hivi kweli kuna mtu anaweza akaongea uongo kuhusu mashilikisho?shake well before use(tikisa kichwa hicho mjomba)
Filipino

@meamswahili @massanzajr Uto wametafta Kiki kupitia huyu mpuuzi ili kuondoa watu kwenye reli
Indonesia

🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄
“Sisi ni mabingwa wa CECAFA lakini hadi leo hatujapata pesa yetu ($30K sawa na Tshs 78m) na tumefanya jitihada bila mafanikio. Mwanzoni walikuwa wanatoa ushirikiano lakini kwasasa hawajibu chochote.”
- @massanzajr Afisa Habari wa Singida Black Stars
#MeaMswahiliUPDATES

Indonesia

@g_ki02 @Elsukay0 @Karawa102010 Awa ndo wale mshahara 40ml lakini MCHEZAJI anapata 20ml zilobaki wanagawana wajanja waliomleta hapo klabuni
Indonesia

🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #MuunganoCup
🆚 M/Makumbi
🗓️ 21 April 2026
🏟️ Amaan Complex
⏱️ 01:15 Usiku
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko

Indonesia

@SaulnierNalomba @Elsukay0 @Karawa102010 Kwasasa Mzize ndie mchezaji anaelipwa pesa nyingi kuliko mchezaji yoyote kwenye nchi hii,golikipa wa Azam alikuwa anachukua 50m,sijui kama bado yupo.
Hakunaga propaganda kwenye issue zakimshahara labda uzianzishe wewe
Indonesia

@Elsukay0 @Karawa102010 Hakuna Ni propaganda tu
Yaani MZINZE apewe 45 Kwa kipi cha maana.
Indonesia

@g_ki02 @meamswahili @Mzeewajambia Kwa hii nchi bora unyamaze tu dogo hujui lolote waachie wenye mpira wewe mpiga kelele wa makunduchi nani anakujua😂😂
Indonesia

🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄
“Kama Viongozi wanataka kuwapeleka wachambuzi mahakamani nadhani na sisi wachambuzi tujiandae kuwafungulia mashtaka ya Upangaji wa matokeo,Betting nk.
Hakuna aliyesalama sana kwenye mpira Wetu Kama vipi funikeni kombe mwanaharamu apite.
Tena sasa hivi Ndio balaa,tunajuana guys.”
- Juma Ayo, Mtangazaji na Mchambuzi wa CrownFM.
#MeaMswahiliUPDATES

Indonesia

@vistovic17 Usitoke kwenye reli janja,kama unaweza kumtomba mama yako sawa.
Mimi babaako bwege wewe
Filipino

🚨 Jacob Massawe baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Simba leo:
“Sio kwa ubaya, ila nikiri Simba wana wachezaji wenye quality kubwa sana. Mfano huyu Anciet Oura — sidhani kama nimewahi kukutana na ball carrier kama huyu. Wengine watasema Pacome, lakini Oura ni daraja tofauti kabisa. Kwa sasa, yeye ni namba moja.”


Indonesia

@vistovic17 Mtoto wa kiume unamtishia MWANAUME kumblock😂😂,yes!hauchambui mama ang bali tunachambua mama yako wewe,c ndivyo janja.
Indonesia

@fredy_boy360 @PlanetFutbal Kumbe wewe hamnazo eeeh,sasa bodi imeingiaje hapa?
Indonesia

@g_ki02 @PlanetFutbal Aaah em tusibishane nawewe...ni nyie tu mtakavyo amua ....maana saivi ni bodi ya yanga na tunajua hilo na liko wazi.

Indonesia

@Elsukay0 @Elsukay0 yale ni maoni au ni TUHUMA? hebu na wewe ifike mahali utingishe kichwa chako walao fues zikae sawa hata kwa dakika 5 ili ujue kutofautisha maoni na tuhuma.
Sisi huyu @Mzeewajambia tunae yaan afe kipa afe beki nilazima atupe usibitisho wa zile tuhuma zake.
stupid
Indonesia

@Sulphuric_aci17 Tumwambie tu huyu @Mzeewajambia katika hili hatutamuacha mpaka asibitishe juu ya zile tuhuma zake.
Simba alishinda 6 dhidi ya Meck Mexime akasifia uwezo wa wachezaji wa simba lkn akishinda Yanga mechi imeuzwa,sasa wacha tuishi nae
Indonesia













