Felix Mallya

6K posts

Felix Mallya

Felix Mallya

@gfehma

Travel and Safaris company Owner. Deals with Game Drive Safaris, Accommodations and Mt Kilimanjaro climbing...

Dar es Salaaam Tanzania Katılım Şubat 2011
2.5K Takip Edilen418 Takipçiler
Felix Mallya retweetledi
My64impala🇺🇦🇺🇸🇹🇿🇮🇱
@MariaSTsehai Nyerere hakuwa malaika na alikiri hivyo. Lakini Nyerere alifanya vetting nzuri. Mawaziri wake (including baba yako Maria) walikuwa intelligent, logical, na wenye class. Leo hii waziri hana tofauti na mhuni wa mitaani, na ni wajinga kupindukia. I miss Nyerere.
Zionsville, IN 🇺🇸 Filipino
3
7
18
740
Felix Mallya retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Chezea Sanctions!? Ila haitoshi maana mmezidi - mnafikiri uonevu kwa wapinzani wenu wa kisiasa mtarekebisha kwa kufuta kesi hii moja alafu mtaonekana wana demokrasia huku mkiendelea kumshikilia Lissu, kutubagaza wanaharakati na kuteka wananchi? Someni masharti vizuri - we are not free until all of us free! Na Haki lazima ipatikane! Napongeza wanasheria wa Chadema wakiongozwa na @rugemeleza kwa kufinya kila kona hadi wametema ndoana! Never compromise! Never back down 🔥💪🏽 Hii nchi si ya Mama Abdul na genge lake! Hadi #TutaelewanaTu #FreeTunduLissu #SamiaMustGo
Maria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
14
123
428
11K
Felix Mallya retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
A-Town nimerudi home 😎🔥 Nimetua ARUSHA leo kutokea KAHAMA, nimekutana fresh na Mkti wa Kanda pamoja na viongozi wengine pale Relini. Tarehe 22/05/2026 Mkutano hapa A Town , yaani Makaksi wote tupo yaani😂 Kahama, Katoro na Geita wasijipe hopes sana 😅… safari hii A-Town tunataka ku-set standard nyingine kabisa. Tutawaonyesha difference ya “mlima na kichuguu” politely tu 😂🔥
Godbless E.J. Lema tweet media
Eesti
44
192
1.7K
37.3K
Felix Mallya retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Hii comment inachoma kama pasi.
Hilda Newton tweet media
Eesti
54
282
1.9K
48K
Felix Mallya retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Imagine siku 405 ! Hii ishu tusichukulie poa! Hata siku moja is too much for anyone ndani esp kama ni innocent kama Lissu Hatutaacha kupaza sauti na tuko na FOCUS! #FreeTunduLissu now!
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
10
164
393
3.5K
Felix Mallya retweetledi
John Nguti Chadema
John Nguti Chadema@JohnNgutiCDM·
Kwa Mujibu wa @HecheJohn Makamu Mwenyekiti @ChademaTZ2 ni kwamba hali ya kiafya ya @TunduALissu ni mbaya, Ana maumivu makali sana ya Tumbo. Magereza awajatoa taarifa yoyote kuhusu changamoto ya Afya anayokabiliwa nayo Mhe. Lissu, na kueleza kama amepata matibabu yoyote kutokana na changamoto hiyo.
John Nguti Chadema tweet media
Indonesia
4
59
293
12.4K
Felix Mallya retweetledi
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
Wananchi wakiwa kwenye matawi ya mti wakifuatilia Mkutano, Geita Mjini.
Chadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet media
Indonesia
3
59
310
4.6K
Felix Mallya retweetledi
sultan
sultan@chapanombombwi·
Chama cha Demokrasia na Maendeleo hakina dola, lakini kina watu wa kukishikisha dola muda wowote haki ikitendeka katika nchi hii. Chama cha Demokrasia na Maendeleo hakina jeshi, lakini wanachama wake wanakilinda muda wote kwa wivu mkubwa. Chama cha Demokrasia na Maendeleo hakina mafuso wala mikokoteni ya kusombea watu kama ng’ombe, lakini watu kwa mapenzi ya dhati watu wanasafiri kilometa nyingi kwenda kusikiliza sera za chama hiki imara. Ni muda sahihi wa kudai mabadiliko ya katiba mpya sasa, tupate Tume Huru ya Uchaguzi sasa. Ikulu inahitaji watu makini na thabiti, na watu makini wapo Chadema tu, hawa ndiyo watu wanao weza kutekeleza sera bora na kuzibadilisha sera kuwa maendeleo! Aidha tunatoa wito wa kumwachilia bila masharti mwenyekiti wa chama haraka iwezekenavyo✊
sultan tweet mediasultan tweet mediasultan tweet mediasultan tweet media
Indonesia
12
53
242
3.6K
Felix Mallya retweetledi
Nice Gisunte
Nice Gisunte@Nice_Gisunte·
“Dada uliyevaa nguo ya Chadema nakuita toka kule huitiki… nyinyi mliopo Chadema ndio mnasimama na @TunduALissu hebu njoo uchukue maji ya kunywa hapa nakununulia” - dereva wa bodaboda baada ya kuniona mtaani. @ChademaTZ2 inapendwa na wananchi mpaka viongozi wake wanapendwa ✌️✌️
Nice Gisunte tweet media
Indonesia
12
83
526
6K
Felix Mallya retweetledi
People's🕯️
People's🕯️@am_gudie·
Sauti ya watu kipenzi cha watu, muachieni huru mara moja. #FreeLissuNow
People's🕯️ tweet media
Indonesia
1
24
92
603
Felix Mallya retweetledi
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
Asanteni Katoro ✌️
Chadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet media
Indonesia
5
108
474
3.4K
Felix Mallya retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
@chapanombombwi Alisema yupo kwenye risk Mafwele anamuwinda sana, lakin baada ya tukio la Utekaji wa Mshabaha kufeli, alirudi bongo akaendelea na maisha yake.😴
Indonesia
8
26
262
16.3K
Felix Mallya retweetledi
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Hii ni AI mbona hatuoni yale malori ya kubebea ng'ombe au wasanii jukwaani? Serikali acheni mikakati yenye nia ovu. Hawa sio watu wa kupuuza. Mkikamata mmoja wanaibuka mia. CCM imeshakufa wamebaki kina Wambura na Kingai wakipikea maagizo ya CCM Masalia.
joseph_selasini tweet mediajoseph_selasini tweet mediajoseph_selasini tweet media
Indonesia
3
62
252
3.6K
Felix Mallya retweetledi
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
Baada ya Mkutano Katoro Geita Wananchi wakariazisha, *""Mwacheni Lissu Mwachieni Lissu*
Indonesia
9
139
624
6.3K
Felix Mallya retweetledi
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
@EzekiaWenje , naomba nitumie ile kauli ya kaka mkubwa @TheRealJongwe kukuaddress: “MATAKO YAKO.” Hayo mazungumzo anafanya nani na nani ikiwa huyo kiongozi anayetakiwa kuzungumza amewekwa magereza?? Malaya wa kisiasa kama wewe ndio chanzo cha yote.
Filipino
13
24
116
5.3K
Felix Mallya retweetledi
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Hiki chama kinaleta taharuki huko KATORO kifuteni 😂😂; hata kile kinachosaidiwa na dola hakifui dafu. Walidhani wanamfuata LISSU wakamkamata imekuwa balaa. Raia wako na chama chao. Hata mipango ya kumkamata @HecheJohn haitawarudisha nyuma. Ni jeshi linalozidi kusonga mbele.
Indonesia
14
140
962
32.5K