Halima James Mdee

20.5K posts

Halima James Mdee banner
Halima James Mdee

Halima James Mdee

@halimamdee

....................

Dar es Salaam,Tanzania Katılım Mayıs 2011
16K Takip Edilen1.2M Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Halima James Mdee
Halima James Mdee@halimamdee·
Hatimaye LEO NIMEKAMILISHA safari nyingine ya MIAKA 5 ya UTUMISHI, nikiwakilisha JIMBO la KAWE kwenye BUNGE la J/ Muungano wa Tanzania. Asante sana WANANCHI wa KAWE kwa HESHIMA hii KUBWA, ASANTE sana CHADEMA kwa kuniamini, Asanteni sana WATANZANIA wenzangu!! Tunasonga 😍😍✊🏿✊🏿.
Filipino
1.5K
694
12.3K
0
Halima James Mdee
Halima James Mdee@halimamdee·
Ooh kumbe system.....! Uwe na usiku mwema.
Lubasha Jr@MarekaMalili

@halimamdee Naongelea system Mkuu, usidhani nimekubeza, sisi tusshapiga kilimo cha msimu tumelia lakini Growers wakubwa Field wanaenda rarely

Polski
4
0
81
20.1K
Halima James Mdee
Halima James Mdee@halimamdee·
Maisha Mapya.......Marafiki WAPYA. Mlango mmoja ukifungwa, mwingine lazima Utafunguka tu. 😃! Green Gold ( 🥑 ).
Indonesia
103
41
595
23.7K
Halima James Mdee
Halima James Mdee@halimamdee·
Lakini unamfuatilia.....😃😃😃! Mie nipo SAWA SAWA...🥑😃😃!!!na walioshirikiana kuniita MSALITI wakageukana na kuitana WASALITI kwa lugha NGUMU sana . Ukikua (unaonekana bado mtoto) utakuwa makini sana kwa kila neno unalolisikia kwa binadamu mmoja ...dhidi ya mwingine..... ! Glad unanichukia...lakini unanichungulia 😀😀😀!
MANDELA@seeeker_tz

@halimamdee Msaliti

Indonesia
98
19
348
53K
Halima James Mdee
Halima James Mdee@halimamdee·
Karibuni Shambani. ☺️☺️
Indonesia
57
38
478
14.3K
Jaguar
Jaguar@nelsonnyabutin·
@halimamdee ulienda wapi dada. I really miss your voice. Sauti ya zege. A concerned Kenyan.
English
1
0
0
36
Halima James Mdee
Halima James Mdee@halimamdee·
Naona MMEAMUA kutukimbia TENA WANANCHI 😂😂🥑!
Halima James Mdee tweet media
Indonesia
19
5
347
19.8K
Halima James Mdee
Halima James Mdee@halimamdee·
Mhe. NAONA Timu yako pendwa … imeamua KUTUKIMBIA tena !! 😂😂😂! Hiki sio kiwango cha FINALIST wa KOMBE la SHIRIKISHO!!
Halima James Mdee tweet media
Indonesia
39
24
697
43.1K
Halima James Mdee
Halima James Mdee@halimamdee·
Na mimi Nakubaliana nawe 100%. Unajua heshima ilishaondoka 5years ago.. sasa nashangaa kwa nini sipotei kwenye VIDOLE 🫆🫆vyenu mkiwa MNACHAPA spana ! 😄! Ni wazi tu MNANICHUKIA mpaka MNANIPENDA..
Abdulkarim Juma@JumaAbdukarim

@halimamdee Halima kukijenga chawa Kwa nguvu kubwa hakukupi mamlaka ya kusaliti. Hatujawah kuwa na mjadala wenye kupuuza harakati zako katika ujenzi wa Chadema ila usaliti ndio kinachoondoa heshima yako .

Indonesia
75
7
186
30.6K
Halima James Mdee
Halima James Mdee@halimamdee·
Nami napenda iwe hivyo . Tena ndio SAFI. 😂 ! Yaaani HAKUNA hata kaushahidi.. huoni kanafanya maisha yanakuwa simple sana .
Cruz Scope@CruzScope

@halimamdee Dada Halima kujenga taasisi sio tatizo ishu ni ur EXIT' imefanya hata hakuna finger prints mlizoacha ambazo zinakumbukwa au kiwa acknowledge

Filipino
29
1
68
16.3K
Halima James Mdee
Halima James Mdee@halimamdee·
Tumejenga taasisi HATUA kwa HATUA wakati wao wananyonya au hata hawajazaliwa 😂😂… Leo wanamiliki SMARTPHONE wanatuvimbia humu 😂😂😂! KWa BİTİ NZITO NZITO .. nikitaka punguza stress natembelea’ga’ hii DUNIA. Ni ya kipekee sana ! 😂
streetAdvocate@john30747384125

@halimamdee Nakumbuka kile kikao cha mtu kwa mtu ukwamani ndugu ulikijenga chama. Acha hawa watoto wakudharau

Indonesia
218
24
407
53.2K