Mori Sawa

12K posts

Mori Sawa

Mori Sawa

@hammy_uncle

#Reason, Judge, Think critically.

Katılım Eylül 2019
333 Takip Edilen495 Takipçiler
ᗪIOᑎ ᗷETT
ᗪIOᑎ ᗷETT@DionBett·
Hizi kuku zinakula sana buana, naona ikinimalizia pesa. 😅
ᗪIOᑎ ᗷETT tweet media
Indonesia
563
283
2.1K
149K
MAESTRO 🎭
MAESTRO 🎭@maestrochance_·
Wazee nitumie mbinu gani kumwambia msela ananuka mdomo bila yeye kumind
MAESTRO 🎭 tweet media
Filipino
58
36
232
7.9K
OG OUTFITS❤️💃
OG OUTFITS❤️💃@og_outfits·
@TichaMandevu Pombe inaingia kwenye sumu na kemikali Ila sio sababu pekee ya ugonjwa zipo nyingine baadhi (Mm sio mtaalamu sana upande huo)
Filipino
3
0
3
788
TICHA MANDEVU13
TICHA MANDEVU13@TichaMandevu·
Naomba kuuuliza wanangu nikweli ugonjwa was Figo unasababishwa na Pombe.
Filipino
55
36
307
16.9K
Mori Sawa
Mori Sawa@hammy_uncle·
@mshambuliaji Yaani umeiandika Kwa bashasha kabisa as if no habari ya kiuweledi kwenye soccer, you are such a pathetic journalist
Filipino
0
0
3
607
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Hii nyumba ndio Yanga leo walifanya ndio kama vyumba vya kubadilishia na wakati wa mapumziko walikwenda humo hawakuingia vyumbani Uwanjani Meja Jenerali Isamuhyo wakati wakipambana na Watani wao Simba katika mchezo uliomalizika kwa sare ya Mabao 2-2. #KitengeSports
Maulid Kitenge tweet media
Indonesia
29
23
640
44.9K
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Johna Marwa ni kama alipewa kazi maalumu kumaliza media zote za CHADEMA kwa kushirikiana na kina John Mrema na CHAUMMA, Hawa vibaka waliokwenda CHAUMMA walitaka kuondoka na media za CHADEMA baadaye wakashituka watakuja pata kipigo cha kisheria, Ndipo mnunuzi mpya akatengenezwa yaani JamboTv Mwanzoni John Marwa alinunua account ya X (Twitter) ya CHADEMA na kuitumia kwaajili ya chombo chake cha Royal Television. Kumbe wakati haya yanaendelea kule Youtube nako amefanya mambo haya haya. Amenunua youtube channel ya CHADEMA, maana wakati CHAUMMA wanaondoka walitoka na account zote za socile media, Youtube channel aliyochukua iliyokuwa ikitambulika kwa jina la CHADEMA MEDIA ,sasa imepewa jina jipya uHOPEMEDIATV (hope) na kufuta video zote zilizokuwepo kwenye channel hiyo. Juzi kwenye press conference ya Maazimio ya Kamati Kuu ya CHADEMA hii UHOPEMEDIATV ilikuwepo na ikiendeshwa na wafanyakazi wa Jambo Tv. Hii hapa youtube.com/live/ngP83CWwi… unsubscribe hiyo sio channel ya CHADEMA kwa sasa Link @uHopemediatv" target="_blank" rel="nofollow noopener">youtube.com/@uHopemediatv Hope TV @uHopemediatv Ukichimba umilikiwa au branding ya uHopeMediaTv maelezo yake ni Channel awali iliyokuwa Chadema Media, baadaye ikabadilishwa jina na kuitwa Chauma Media, kwa sasa imefanyiwa mabadiliko mengine ya jina (rebranding) na inajulikana kama Hope TV (uHopemediatv). Juzi John alikuwa anauliza maswali ya Yeriko, kumbe sio maswali tu hata media wanachukua na kumuuzia, hii sio maadili wala tabia nzuri Marwa hizo account endelea kutumia lakini utakuja lipa price kubwa sana maana hizo account zinaacha print kwenye mifumo, siku tutakapo kuwa na nchi huru, mapato yote uliyoingiza kupitia account zote hizi umechukua utalipa Kumbeka hizi kesi ni public interest litigation kwa interest ya kulinda demokrasia, hata kama CHADEMA watakusamee umma utakufungulia kesi kwa wizi, na uzuri wengi tuna access nzuri tu na hizo media unachezea, issue hapa inayoleta shida ni uhuru wa hizo mahakama, ila siku ukisikia tuko huru ujue muda ya kujamba hizo dola unachukua sasa umefika, lazima utalipa damage utokaa kuamini macho yako na huu ujinga unafanya kwenye digital age
YouTube video
YouTube
Think Different@lifeofmshaba

John Marwa wa @Jambotv_ leo alibeba hoja ya Yeriko na kwenda nayo kwa Mnyika kama swali. Moja ya hoja za Yeriko na CHAUMMA kwa ujumla ni kwamba CHADEMA inaendeshwa na wanaharakati. Kwenye maswali na majibu, John akamuuliza KATIBA MKUU WA CHADEMA kwamba mtaani kwa wananchi wanalalamika kwamba CHADEMA inaendeshwa na wanaharakati. Mnyika katika kumjibu alimwambia, CHADEMA ni chama cha umma, kinasikiliza hoja za wananchi na kutafsiri na kuzifanyia kazi. Iwe ni hoja ya mwanaharakati, wananchi, au mtu yeyote yule, CHADEMA inasikiliza na ndio maana ina nguvu sana. CCM imefikia hatua ya kuzuia na kufunga CHAMA na kumfunga Mwenyekiti wa CHAMA; hii ni kutokana na kufanyia kazi PEOPLE POWER, hiyo ndiyo hasili ya CHADEMA. Kwa hivyo, mtu atakayeita wananchi hao kuwa ni wanaharakati au CHOCHOTE kile, Haitobadilisha msimamo na msingi wa CHADEMA kufanyia kazi hoja za wananchi. Mnyika alifafanua zaidi kwa kusema, kama ingekuwa ni hoja za wananchi wachache tu ndiyo CHADEMA inafanyia kazi, CCM ingeogopa namna hii CHADEMA, na CHADEMA ingekuwa na ushawishi mkubwa hivi kwa UMMA. Hivyo, hiyo hoja aliyoleta John au swali aliolielekeza haina ushahidi, isipokuwa hao wanaitwa majina, ndio wananchi wenyewe wanaotakiwa kusikilizwa na CHAMA. Hii ndiyo msingi wa CHADEMA na nguvu ya CHAMA kusikiliza wananchi. MY TAKE Kumekuwa na juhudi kubwa sana za CCM na Mfumo kuitenganisha CHADEMA na wananchi, kwa kujaribu kuonyesha kama vile kuwa karibu na wananchi ni udhaifu, kwamba wanapelekeshwa na kuongozwa na watu wasio na vyeo ndani ya CHAMA. Kwanza, hoja hii ni dhaifu na ndiyo imepelekea wanasiasa wengi nchini kuonekana MACHAWA, kwa sababu wameshindwa kuelewa kabisa kwamba kazi ya SIASA au VYAMA ni kusimama na wananchi. Hata kama wewe binafsi una msimamo binafsi au maoni yako binafsi, unachotakiwa kufanya kwenye maoni ya wananchi kama mwanasiasa bora au chama bora ni kuboresha kile wanachokitaka. Vyama vya SIASA vinakazi ya kuchakata maoni na malengo ya wananchi. Kuna upotoshaji kwamba Vyama vinapaswa kusimamia maoni ya viongozi wake tu bila maoni ya wananchi, yasiyo na mwelekeo wa wananchi au yasiyokubalika na wananchi, haya ni makosa kisiasa. Matokeo yake tumekuwa na vyama ambavyo vinatafuta kila aina ya visingizio kufanya kazi za watawala na kukwepa wajibu wa kusimama na UMMA, kisha kugeuzwa dekio la Watawala hii imeshindikana kwa CHADEMA. Kwa sababu CHADEMA, kisimama na wananchi hivyo mawakala wa mafumo na taasisi zake umeshindwa kukimaliza hiki chama, wanancho fanya sasa ni kutumia vibaka wao kuchochea utengano kati ya CHADEMA na Wananchi kwa kuwapatika majina kwamba ni wanaharakati, Kutunga hoja kwamba Wananchi hawapendi CHADEMA kuwa karibu na wanaharakati. sasa wanajaribu kuwachezea akili viongozi wa CHADEMA hili kuleta utengano na UMMA. Bahati nzuri, CHADEMA ina watu wanaojitambua na wanaelewa maslahi ya Taifa yakoje. Wakati John anauliza haya maswali alijitambulisha Kamba ametoka Royal Television @Royal_Tv_Tz (Hii ni account ya CHADEMA, ambao John ameuziwa na walioamia CHAUMMA chini ya John Mrema) , Kwa maana hiyo hii John ameichukua kutoka CHADEMA kupitia wahuni waliokuwa CHADEMA na dhamana ya kuendesha media za CHADEMA Ndio maana nasema John alipeleka Hoja za Yeriko, alitumwa maana hawa ni watu wanamuuzia mpaka vitu walivyoiba CHADEMA , sasa ameanza kumpa maswali yao ambayo wanapigania sana hapa online OGOPA SANA KUNDI LA WAJINGA, WANA UJASIRI WA AJABU Unaiba ukurasa wa CHAMA kisha unakwenda waelekeza namna ya kuongoza CHAMA? kama vile una mapenzi na CHAMA HUSIKA wakati unapambana sana kukibomoa chini kwa chini Maswali ya John yako kwenye hii link youtube.com/live/88GFHR_ot… Kama hauna muda unaweza sikiliza dakika 5 za mwisho, Japo Hotuba hii ya Mnyika ina taarifa nyingi muhimu kuhusu mwelekeo wa Tanzania hapo baadaye

Indonesia
6
30
182
42.2K
Rastafarian_culture
Rastafarian_culture@IgoraIrene32964·
@officialshakuu @FanuelIddy Kwanini mnatembea na wanawake ambao hawawapendi lakini? What i know mwanamke akikuona lazima alowe tu kama anakupenda otherwise mnanunua malaya au mnakula ndogo tu 😏
Indonesia
7
0
14
2.4K
Mori Sawa
Mori Sawa@hammy_uncle·
@mshambuliaji Shayo na mpira wapi na wapi? Dundisha mpira humo kwenye tope tuone Kama haudundi muahirishe mechi
Filipino
0
0
0
162
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Hii ndio hali ya halisi ya Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kuelekea kesho kwenye mchezo wa Dabi ya Kariakoo Simba na Yanga. #kitengeSports
Indonesia
32
5
178
13.2K
MWANACHUO
MWANACHUO@Mwanachuo_tl·
@Kamnyeso Mnunulie kitabu cha kiswahili dalasa la kwanza kitamsaidia mkali
Indonesia
4
0
6
1.4K