hashir

44.3K posts

hashir

hashir

@HashirAbui

Katılım Eylül 2017
6.2K Takip Edilen1.5K Takipçiler
hashir retweetledi
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Sijampost kumuharibia nime post nilimaindi atafika street tuta fix, Misunderstanding zinatokea endeleeni kum support Hamna kitu nita gain dogo akipoteza wateja so nafuta. PEACE🤙
Indonesia
18
30
333
19.6K
hashir retweetledi
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
📍Dubai kiatu kinachouzwa May 2026 original dukani Tsh 1,000,000/= Baada ya miezi 8 kisipouzika kitaenda kwenye SALE kisipouzika tena kinatolewa dukani anakutana nacho "MUDI" kwenye godown nje ya mji kilomita 500 kutoka city Centre "machimbo" kisha nakuuzia wewe NAUZA VITU OG
Mudi Mabiriani in Dubai tweet media
Indonesia
1
6
37
1.7K
hashir retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Watanzania watakomesha huu ujinga very soon.. Wote mnaofanya haya mtakosa pakukimbilia, haiwezekani mtekaji akajichunguza mwenyewe.. Kitendo walichofanya polisi kimeondoa mashaka yote, kwa mtu yeyote aliyekua haamini namna hii dola dhalimu imeoza na inavyofanya vitendo vya kijambazi dhidi ya raia wema. Nasuburi Chande aseme mpenzi mwenye pingu, au mshirikina anaeteka raia kwa pingu.
John Heche tweet mediaJohn Heche tweet mediaJohn Heche tweet mediaJohn Heche tweet media
Indonesia
35
282
995
21.9K
hashir retweetledi
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
I GET WHAT MANGE KIMAMBI IS SAYING Niliona ujumbe wa MANGE kupitia page ya DADA MARIA, kutoridhishwa na alichokiona kwenye mkutano wa CHADEMA. She is questioning their CONDUCT; kwa kuona wanafuraha na wanapiga nyimbo na kucheza. Kwa upande wa Mange, hii inaashiria kuwa hamna STATE OF URGENCY wala PRIORITIES. SHE IS RIGHT! Kwenye Hip Hop tunasema “SHOW & PROVE” na “VITENDO DHIDI YA MANENO”. Unaweza ongea yote ila dhamira, lengo na msimamo wako unapimwa kwa vitendo na hatua unazochukua; actions speak louder than words. Mange ametoa mfano kuwa wakati yeye anahamasisha Maandamano hata muonekano wake ulikuwa CONSERVATIVE; hiyo picha hapo juu asingeweza kuipost enzi zile anaongelea ufisadi na kutaka “Watanzania watoke”. Ila Chadema ni CHAMA CHA SIASA; a Political Party and not “Liberation Party”! Lengo lao ni kuchukua MADARAKA na kuleta MBADALA, ambao unaweza kutukomboa. Ila hata kama kingekuwa ni cha Ukombozi, MUZIKI NI TOOL MUHIMU SANA KUFIKISHA UJUMBE, KULETA HAMASA, nk. Lucky Dube, Bob Marley, Miriam Makeba, Brenda Fassie, Hugh Masekela, etc wote wameimba music wa Ukombozi wa watu weusi. “Wananiita Sugu” ni wimbo wa Kiongozi wao na ni REBELLIOUS SONG. Ni kweli Kiongozi wao LISSU bado yupo jela ila walikuwa na sababu ya kufurahia kurudi kwenye majukwaa. Wimbo wa “MAKOMBOLELO” was a rebellious song na mpaka leo, you can play it mbele ya watesi wetu kuwajulisha kuwa HATUJASAHAU! Nina muelewa Mange sababu yeye na mimi ni EXTREMISTS au DHAMIRA ZETU hazituruhusu kufurahia ushindi mdogo. Desperate times call for desperate measures na Tanzania we are in desperate times, so hatupaswi ku-operate normally au kimazoea. Mimi nina Album (BEBERU Pt. 2) karibia mwaka sasa nashindwa kuitoa. Naona kama nikirudi kupost music kama ninakuwa nawasaliti Watanzania hasa waliofiwa, waliopotelewa na ndugu zao, waliofungwa na walioumizwa. Kila nikijaribu kurudi kuwa normal nashindwa. Tunatofautina Extremity Levels na Tactics za engagement ila muhimu kuwa makini kwenye conducts ili watu wa mbali wasije tafsiri vibaya. We can find a middle ground somewhere, but what Mange is saying is VALID. The Leader
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader tweet media
Filipino
30
84
623
29.9K
hashir retweetledi
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
OFFER Kanzu Tsh 50,000/= Morocco 🇲🇦 Style Dubai to Dar es salaam Usafiri charges kilo 1 = $ 12 Whatsaap 0719068333
Mudi Mabiriani in Dubai tweet mediaMudi Mabiriani in Dubai tweet mediaMudi Mabiriani in Dubai tweet mediaMudi Mabiriani in Dubai tweet media
Filipino
1
8
9
429
hashir retweetledi
Kamala Dickson
Kamala Dickson@ItsKamala·
Owaaaaye! Mubyale Emwani
Kamala Dickson tweet media
HT
3
4
34
832
hashir retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Hivi funguo za pingu huwa zinaingiliana?
Indonesia
61
66
896
48.2K
hashir retweetledi
Culture Cave
Culture Cave@CultureCave_·
Rihanna announces she’s pregnant with twins: “I’m eating for 3 now”
Culture Cave tweet mediaCulture Cave tweet media
English
1.7K
3.8K
64.5K
5.2M
hashir retweetledi
Muhoozi Kainerugaba
Muhoozi Kainerugaba@mkainerugaba·
The best sportsman on earth today is 22 year old, 7ft 5 inches Victor Wembanyama of the San Antonio Spurs.
Muhoozi Kainerugaba tweet mediaMuhoozi Kainerugaba tweet media
English
310
439
5.5K
175.8K
hashir retweetledi
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
Bei Tsh 28000/= Usafiri kilo 1 = $12 Ukinunua nyingi nakupa "DISCOUNT"
Mudi Mabiriani in Dubai tweet mediaMudi Mabiriani in Dubai tweet media
Indonesia
6
25
93
5.7K
hashir retweetledi
Kamala Dickson
Kamala Dickson@ItsKamala·
Wilaya ya Karagwe ina kata 23 ila kata masikini kuzidi zote ni Rugera na kata tajiri ni Kayanga 😅
Kamala Dickson tweet media
Indonesia
11
4
31
3.1K
hashir retweetledi
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
Perfume kwa 📍Dubai ni kitu cha kawaida sana kama thamani ya kitumbua au maandazi ukiwa kizimkazi
Mudi Mabiriani in Dubai tweet mediaMudi Mabiriani in Dubai tweet mediaMudi Mabiriani in Dubai tweet mediaMudi Mabiriani in Dubai tweet media
Indonesia
6
9
59
3.2K
hashir retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Leo Mzee Newton angekuwa hai, angefurahi sana maana baada ya miaka mingi kupita hatimaye leo team yetu imebeba 🏆 Mwenyezi Mungu aendelee kumpa pumziko la milele.🙏💔
Indonesia
16
72
900
14.9K
hashir retweetledi
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
Dubai Kuna maduka 1.000.000 yanayouza perfumes lakini kati ya maduka hayo kuna maduka 1000 pekee yanayouza perfume original na mara nyingi asili yao wanauza kwa jumla kwa reja reja utaona utofauti wa bei mfano 9pm ni Tsh 68,400/=
Mudi Mabiriani in Dubai tweet media
Indonesia
5
13
90
7.2K
hashir retweetledi
Paul Kagame
Paul Kagame@PaulKagame·
Congratulations to @Arsenal, our #VisitRwanda partner, on being the Premier League champions after a hard fought season! A well-deserved title!
English
1.3K
10.4K
46.9K
506.5K
hashir retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
We are the champions.
English
84
289
1.8K
19.8K