Geoffrey Godfrey retweetledi
Geoffrey Godfrey
5.2K posts

Geoffrey Godfrey
@hereisgeoffrey
because am black
Kagera, Tanzania Katılım Nisan 2020
515 Takip Edilen340 Takipçiler
Geoffrey Godfrey retweetledi
Geoffrey Godfrey retweetledi

‼️TUNDU LISSU HATARINI !! ‼️
Leo kumetokea tukio ambalo limeshitua watu wengi namna lilivyotokea. Tundu Lissu amepelekwa mahakamani bila taarifa kwa CHADEMA, mawakili wake na familia yake. Mwanzo, ilichukuliwa kama tabia mbaya na ukatili tu wa hawa CCM, hasa serikali ya Samia, imetenda matendo mengi sana yenye utata na ukatili.
Lakini wazungu wanasema 'The devil is in the details.' Kuna mambo mawili yaliyovuja na yanahusiana na tukio la leo.
- Moja, siku usiku uliopita na jana, Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es Salaam (RPO) jana usiku amekuwa na shughuli nyingi sana kuhusu Lissu, kutoka kwenye ofisi yake wanasema alikuwa na kikao kirefu sana na mkuu wa magereza wa Ukonga, kikao kirefu sana. Kutokana na kikao hiki, mambo mengi yamebadilika hapo magerezani kwa mazingira yanayomzunguka Lissu.
- Kutoka kwa Ofisi ya RPO ime leak kwamba yeye na maafisa wengine, hasa yeye, ndiyo link yake na watu wanaompangia mabaya Lissu akiwa gerezani. Maagizo mengi yanapigwa kwake kwa utekelezaji, kwenda kwa maafisa wengine wa magereza. Japokuwa kuna mengine yanakwenda moja kwa moja pale gerezani kwa mkuu wa magereza
- Mbili, Hii ni hatari na mpango mchafu. Kutoka Zanzibar, kile kikosi alichosema @HildaNewton21 ambacho kilipangwa kuja kumfanyia uovu Lissu, wanasema kiko Dar tayari kwa hiyo shughuli waliyo panga. Na ndiyo maana baada ya @HildaNewton21 kuandika, polisi walipaniki. Malengo wanataka hao wahuni wakishafanya uchafu wao wapotee huko Zanzibar, hata askari magereza wa huko hawatatoa taarifa walikuwa ni kina nani. Kikosi hicho cha Zanzibar si wote ni askari. Hili suala alilosea Hilda sasa liko kwenye utekelezaji la leo ni moja ya hizo siku wamefanya vitu vinashangaza watumishi wa umma wazalendo
- Leo, tukirudi kwenye tukio la leo, jana usiku RPO Dar ameangaika kufanya mambo mengi sana. Moja ya mambo ni kwamba tumethibitisha na baadhi ya wazalendo mahakamani kuwa KIKOSI KICHOMPELEKA LISSU MAHAKAMANI leo ni kipya kabisa. Hapo mahakamani hakuna anayewajua waliokwenda na Lissu, haijulikani walitoka wapi, na kuna hofu sana kuhusu kinachoweza kutokea na hawa wasiojulikana.
- Sasa Mafwele na Makonda huu mpango wenu mnaouyafanya mnaona una baraka zozote za Mungu ndani yake? Mnafikiria kwamba mnayotaka kumfanyia Lissu Umma utakubali? Lissu akitoka magereza au akiendelea kuwa gerezani dhamana ya afya/uhai wako huku juu yenu kwa muda mrefu msije mkajichanganya. Hizi kazi za Abdul mnazofanya na siasa chafu za Makonda kwa kufikiria anaweza kuondoa wanasiasa imara wote nchini , sababu ya ndoto za kisiasa ni kupoteza muda tu. Acheni na hii mipango yenu mibaya na kama leo mmefanya kitu chochote kupitia hiki kikosi mlichokitumia kumpeleka mahakamani kisichojulika, ni bora mkarekebisha mapema maana hakuna namna mtaweza kujificha na huu uchafu mnaopanga.
- Wewe RPO wa Dar, hizo tamaa na ujinga unaokusumbua utakuponza, hauna kinga zozote za kufanya upuuzi huu unaoendelea utafungwa sababu ya huu upuuzi . Lissu anafuatiliwa na jumuiya za kimataifa na wananchi wote wa Tanzania hawatokubali huu upuuzi mnafanya au kupanga kufanya, hata Ndugai na Lukuvi walikuwa na kiburi kuliko wewe. Na walifanya kazi mbaya nyingi sana wako wapi leo? Wamefanya nini?
- Kwa maafisa wa magereza, msikubali kufanya kitu chochote bila proper document au Taratibu, msikubali hicho kikosi kipya kuwapa amri kufanya mambo ya kihuni, hao ni wasiojulikana wakishafanya mambo yao wewe uliyepozamu ndiye utajibu dunia yote hii, Chande alionywa akakaza shingo lakini leo anajutia huko analia kama mtoto mdogo, pesa alizopewa wala hazina tena thamani, Msikubali kufanyishwa kazi chafu, kwanza pesa wanakula wahuni wengine msikubali kabisa kushiriki fuateni taratibu na aangalieni kwa makini sana vitambulisho mnavyopewa na hao wahuni wanapokuja, pia jifunzeni kufanya upelelezi mtu yeyote mpya anayekuja kwa issue ya Lissu anakuambia ameamia sijui kutoka wapi jua anakudanganya, kama kuna mtu ameongozana naye ambaye ni boss wake mfano Mafwele mwambie asinishwe yeye , jiwekeeni kinga mifumo inawahuni watafanya tukio mtafungwa nyie
- Kumbukeni. Juzi hapa Chande amesema waliouawa watawajibika wao kama maaskari waliobeba bunduki, hakuna askari atakingiwa kifua na hawa watu. Fanyeni kazi zao ili wakianza, pelekewa moto kimataifa mtajikuta mmeingizwa. Kumbukeni mkifanya ujinga, vipimo vyovyote kuhusu Lissu, wananchi tutachanga hela, yaje mashirika kutoka Marekani kufanya vipimo. Hakuna namna kutakuwa na siri yoyote hapo na itajulikana mpaka nini kilifanyika na lini. Makonda na Mafwele hawana akili ya kufanya tukio la maana, ni wahuni tu. Mambo yao wanayofanya yanavuja kila siku na ndio maana leo, hivyo kikosi kimejulikana tena kutoka kwa ofisi ya RPO na hakuna namna atajua habari zimetoka vipi, maana ni mjinga tu, naye asiwapelekeshe. Hizo ofisi za umma zina wazalendo wengi, tena toka mmeshindwa, watu wazalendo wameongezeka kila kona.
x.com/HildaNewton21/…
-- Makonda , Mafwele na Abdul na huyo iddi Amini Mama eleweni kitu kimoja, Wananchi wamechoka umwagaji Damu, wamechoka sana
-- Watumishi wa Umma kwenye vyombo na mahakama wameshashituka kuna mambo mnafanya nje ya utaratibu na wanajua mnataka fanya nini , Watumishi wa umma wanajua wakiona sura za wahuni hata kama watavaa soski mwili mzima, watu sio wajinga wanajua na wanajua nini kinaendelea, Watumishi wa mahakama wanasema kikosi chote leo ni kipya kabisa choteeeeeeeeee na mmewatia hofu,
-- Kila mtu ameshashituka tunaelekea kwenye msimu wa mauaji makubwa ya wanasiasa na wanaharakati hili kuiteka nchi , hapo ndipo mtachemsha vibaya sana
Indonesia
Geoffrey Godfrey retweetledi
Geoffrey Godfrey retweetledi

NDULI IDD AMIN MAMA NI KILAZA SANA
Mwandishi wa Report ya Chande ambae ndo mwandishi wa Hotuba ya jana ya Idd Amin Mama ni alijua kumbululisha Idd Amin Mama.
Wakati Anaandika Hotuba ya Idd Amin Mama aliweka jibu la swali ambao alisahau kuliweka kwenye Report ya Chande.
Nduli Idd Amin Mama kama kawaida alivokilaza akasoma sentensi yote kama ilivoandikwa eti
“Nimemskikia Jaji Chande wakat anasoma report kasema huko walikopita, watu wanasema wamemmiss Samia ambae wanamfahamu..”
Wakati kwenye Report Chande mwanzo mwisho hakuna mahali alitamka haya maneno kwahiyo Nduli Idd Amin Mama alikuwepo mle ukumbini lakin alikuwa hasikilizi chochote maana kama angekuwa anasikiliza ulipofika muda wa kusoma Hotuba yake hata kama Mwandishi kaweka kitu ambacho hajasikia Jaji Chande akikiongelea asingekijibia.
Lakin kwasababu Idd Amin Mama ubongo wake kama wakuku akasoma alichoandikiwa kama kilivo.
Huu ni ushahidi mwingine kwamba Mwandishi wa hotuba na Mwandishi wa Report ya Chande ni mtu mmoja.
Indonesia
Geoffrey Godfrey retweetledi

@ThinkOFail @SkyNews @BarbaraGSerra Kuna kazi sana ya kutetea uongo hivi Hawa watu uwa hawakumbuki Kuna kesho make Kuna mambo nkifikiria nakosa majibu kabisa
Indonesia

@SkyNews @hereisgeoffrey @BarbaraGSerra Ila kuna kazi za dhambi asee jamaa anapambana kujibu vitu havijibiki
हिन्दी
Geoffrey Godfrey retweetledi

@BarbaraGSerra: "You may call it rescuing the day, but I go back to my question, was the government responsible for the shooting and killing of around 500 protesters?"
Ambassador Lazaro Nyalandu, senior advisor to Tanzanian president Samia Suluhu Hassa, responds to claims security forces killed hundreds of people following Tanzania's widely disputed election in 2025.
🌍 trib.al/zff6Z7W
English
Geoffrey Godfrey retweetledi
Geoffrey Godfrey retweetledi
Geoffrey Godfrey retweetledi

@INFLUENCERjr Polisi wa tz wajue Kuna mikusanyiko ya watu ambao haielewi Tena karibu na kituo Cha polisi wawaache dah
Indonesia

Tume imebaini waliwekwa sehemu wakapewa na mafunzo..
MfinaWiiiseeee@mfinanga_rm
Waandamaji walikuwa na bunduki
Filipino
Geoffrey Godfrey retweetledi

Poleni sana Watanzania kwa hiyo ripoti ya kishetani mliyopewa na tume ya kishetani iliyoundwa na shetani mwenyewe
Wale mnaotaka Maridhiano, hivi ndio hawa mashetani waliotoa ripoti hii mnataka kufanya nao Maridhiano????
Ripoti inafanyiwa promotion na serikali na machawa wake mmewahi kuona wapi? Kama sio uhuni na ushetani na kukosa utu?
Indonesia
Geoffrey Godfrey retweetledi
Geoffrey Godfrey retweetledi
Geoffrey Godfrey retweetledi

MAHAKAMA YA WILAYA BUNDA IMEACHIA WANACHAMA 14 WA CHADEMA, 7 WATAJITETEA
Nawafahamisha kwamba Mahakama ya wilaya Bunda imewaachia wanachama 14 baada ya kukuta hawanakesi ya kujibu.
Katika uamuzi wake wa leo mahakama imesema upande wa Jamhuri umeshindwa kuonesha uhusika wa watuhumiwa na hivyo imewaachia huru.
Ikumbukwe kwamba, watuhumiwa wote walikaa ndani kwa kosa la armed robbery na leo mahakama imesema ushahidi haukugusa makosa yao na hivyo ikawaachia huru watuhumiwa wote kwa makosa hayo.
Watuhumiwa 7 waliobaki tu nakamilisha dhamana zao, Mungu akipenda soon tutakuwa nao mtaani leo au asubuhi sana kesho.
Indonesia
Geoffrey Godfrey retweetledi

Napenda kuwajulisha umma na wote wenye mapenzi mema kwa Tanzania, Chadema na Mwenyekiti Tundu Lissu kuwa Jopo Mawakili la kumtetea na kumfanyia utafiti Mwenyekiti Lissu li imara kabisa. Kwa niaba ya Chadema ninapenda kuwashukuru mawakili na wanasheria wote waliojitolea muda wao, taaluma yao, rasilimali zao na mshikamano katika kumtetea Mwenyekiti Lissu. Mmeonyesha kuwa mu marafiki wa kweli katika vita dhidi ya Mamumiani na mafisadi wa demokrasia ya kweli katika nchi yetu.
Katika harakati tunazoendesha tofauti lazima zijitokeze na hata kutiliana mashaka. Msikatishwe tamaa hata mara moja tusonge mbele kwa pamoja. Kama mjuavyo sasa tumepeana mwongozo wa namna ya kutoa taarifa zimuhusuzo Mwenyekiti Tundu Lissu. Taarifa hizo zitatolewa na uongozi mkuu wa chama, Mwanasheria Mkuu na Mkurugenzi wa Sheria baada kushauriana na Mwanasheria Mkuu.
Jopo la Mawakili wa Mwenyekiti Tundu Lissu ni hawa wafuatao:
Orodha ya mawakili:
1. Mpale Kaba Mpoki
2. Dr Rugemeleza Nshala
3. Peter kibatala
4. Jeremiah Mtobesya
5 Hekima Mwasipu
6.Gaston Garubindi
7. Jebra Kambole
8. Deogratius Mahinyila
9. Paul Kisabo
10.Sisty Aloyce
11. Nashon Nkungu
12.Catherine Michael
13. Ikoti Lissu
14. Emanuel Chengula
15. Gloria Ulomy
16. Deus Singa
17. william Maduhu
18. Fredinand Makore
19.Jacob Mogend
20. Dorice Kafuku
21. Michael Mwangasa
22. Pastory Kong’oke
23. Matojo Cosata
24. Mzee Alute Mughwai Lissu.
25.Dickson Matata
26. Edward Heche
27.Maria Mushi
27. Selemani Mohamed Matauka
28.Michael Lugina
29. Melchiory Sanga
30. Edson Kilatu.
Naomba tuwatie moyo Mawakili hawa wote na tusonge mbele kwa pamoja na kwa moyo mmoja (tiyende pamodzi, ndi mtima umodzi) kama Mzee Kenneth Kaunda alivyotufundisha.
Aluta continua Vitoria e certa!
Indonesia














