
mwanjoka 92
7.5K posts

mwanjoka 92
@heronjolo
remote work expert, shorthand, and hatimkato online teacher, online business coach, contact +255753650527



Kuna watu wasenge eti "Millenials kisimi walikuwa wanaita kiharage"😂😂😂😂😂😂


@heronjolo Mwambie huyo jana tu kitoto cha mpango kinaniita nakiambia madogo wenzio si wapo huko si utafte mmoja. Kinasema wanajua kuoga tu ila siyo kutomba 😂😂 yani hawa madogo wanatupa kazi nyingi sana 🙌🙌


Unaoa kabinti Gen Z unarudi kazini jioni unakuta hakapo kameenda kucheza rede na watoto wenzie 🚮😂


Gen Z unakuta wazazi wake wamempa milioni 5 hana ideal ya biashara ila anaanza kupanga biashara ya kumpa faida ya 200K kwa siku Hawa Takataka wana penda shortcut sana😆😆


Gen Z kizazi cha visungura, cuca, Fegi, mishangazi, shisha, sidhani kama mtatoboa hata Thirty nyie 😂

Gen Z tume wa inspire sana kutumia X mlikuwa mnatuchukulia kama ma roliii modo zenu mnakuja sana Dm kuomba FB hiki kiburii mmetoa wapii ?

Millennial Neti walikua wanaita chandarua chenye dawa wakaamini kinazuia malaria mpaka wakapewa shule bure..🚮


Millennials waliamini ile tohara ya bure magovi yao yanapelekwa kwa kikwete kutolewa kafara 😃😃

Millennials waliaminishwa kuwa Iddi amini atafika popote kwahiyo wachimbe mahandaki😂








