FredY retweetledi
FredY
2.7K posts

FredY
@iam_FredY_
CEO FREE TRIP ADVISOR || HR || SIMBA sports club & CHELSEA || BET AT YOUR OWN RISK 🤑
Arusha, Tanzania Katılım Ekim 2021
541 Takip Edilen740 Takipçiler

@AthanasBenson @gabyconscious anachukua sababu tz vitu ni vya michongo mchongo
Indonesia

@gabyconscious @iam_FredY_ 😀umemjibu vizuri sana, halafu anasahau kama bill nas ndo alichukua ngoma bora ya Hip Hop last time
Indonesia

FredY retweetledi

Licha ya kuongoza kura za Maoni katika Mchakato wa Uchaguzi wa Ubunge, Jimbo la Isimani (Mkoa wa Iringa), Kamati Kuu ya CCM, imemuweka kando Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama @fred_vunjabei na kumteua Emmanuela Kaganda Mtafikolo kuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Isimani Mkoani Iringa.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Katibu Wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Kenani Laban Kihongosi, imesema kuwa kwa kuzingatia mamlaka iliyopewa chini ya Ibara ya 105
(7)(f) ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977 Toleo la Julai 2025, Kamati Kuu imefanya uteuzi wa mgombea waCCM kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Isimani, lililopo wilaya ya Iringa Vijijini ambapo Mgombea aliyeteuliwa ni Emmanuela Kaganda MTAFIKOLO.
#KitengeUpdates

Indonesia

Ninaipongeza Klabu ya Simba kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Muungano mwaka 2026. Mbali na burudani, michezo imeendelea kuwa daraja imara linalotuunganisha.
Pia, ninazipongeza klabu zote nane zilizoshiriki mashindano hayo kwa kuonesha ushindani wa kirafiki na hamasa inayozidi kuimarisha tunu ya Muungano wetu.




Filipino

Ukitaka kujua CCM ni majambazi ni project kama hizi za kutuibia pesa kupitia miradi ya kijinga kijinga kama hii
Serikali imeamia Dodoma
Kuna majengo mengi tu ndani ya jiji yalikuwa ya wizara, mfano wizara ya Elimu
Jengo la Maji hapo Ubungo
Wizara ya Mambo ya ndani
Hilipo Ofisi ya Waziri Mkuu Mirambo
Makao makuu ya Magereza Pale IFM pembeni
Lakini hawa wahuni wanataka choma 10bn kujenga Ofisi wakati Jiji lina uhitaji na mambo mengi tu kwenye mashule
Hayo majengo yaliachwa na wizara kwenda Dodoma yanakazi gani mpaka jiji la Dar kuwe na jengo lolote jipya kwa fedha za umma

Indonesia


@lifeofmshaba umri kama huu ni muda wakuomba msamaha kwa Mungu wake amrudie Mungu ila ndo anaizidi kuahribu duniani na mbinguni
Indonesia

@Dominicksalamb1 vipi kama simba angefungwa?? ungesifia au kuponda simba ni mbaya
Indonesia

Kuna nguchiro wamechapisha namba yangu binafsi ya simu mitandaoni na kuanza kuhamasisha watu wanishambulie. Nataka kuwaambia huo ni upuuzi na ni uvunjaji wa Sheria.
Ukiondoa watu wachache sana wanatuma meseji za hovyo, asilimia 99 wananitumia meseji za kunitia moyo na kueleza utayari wao wa kuilinda nchi yao dhidi wenye nia ovu. Wale wanaoeleza changamoto za ajira na mitaji ninawapa majibu na nafikisha kwa wahusika zifanyiwe kazi.
Nguchiro na chawa wa nguchiro acheni kupoteza muda na rasilimali mkiporomosha matusi, tulieni na tuungane kujenga na kulinda nchi yetu.
Indonesia






















