KiPe🔰 𝕏

450 posts

KiPe🔰 𝕏

KiPe🔰 𝕏

@iam_kipe

Katılım Temmuz 2024
213 Takip Edilen108 Takipçiler
KiPe🔰 𝕏 retweetledi
Paul Bonaventure
Paul Bonaventure@Phbhimself·
Wengi mnaiangalia hii series ya The Day of The Jackal lakini hamna kitu mnafahamu kuhusu huyu mwamba. Hapa masela wametaka kuiba idea lakini wameiweka kisasa zaidi. Ukiiangalia hii series, Duggan kama alivyokuwa akiitwa jeshini ama Charles kama alivyokuwa akiitwa na familia yake ama Jackal kama alivyokuwa akiitwa na watu waliokuwa wakimpa kazi. Utagundua kwamba mchizi aliamua tu ku-fake kifo chake baada ya kutoka jeshini, yaani hakutaka kabisa kujihusisha na mambo ya kijeda. Sasa in the real life ya The Jackal himself ilikuwa inafanana kama hivi. Kuna mzee by then alituambia sababu kubwa ya The Jackal kutafutwa sana na Marekani ni kwa sababu alitoroka jeshini, "aliwachoma" wanajeshi halafu akaamua kuanza kufanya mauaji kwa kukodiwa, yaani kama series inavyoeleza. Sasa Jackal alikuwa anabadilisha sana sura, yaani leo yupo na sura hii, kesho yupo na nyingine, na wengine wakasema endapo ungekutana na Jackal mara mbili, ilikuwa ni lazima akuue hata kama hukumkosea.
Paul Bonaventure tweet media
Indonesia
38
110
1.4K
299.9K
KiPe🔰 𝕏 retweetledi
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
Gamondi kachapa mtu KO 🥊
Filipino
70
41
739
98K
KiPe🔰 𝕏 retweetledi
FC Barcelona
FC Barcelona@FCBarcelona·
Say hello to my little friend!
English
571
3.1K
44.2K
1.4M
SIR JEFF⚡🇹🇿
SIR JEFF⚡🇹🇿@Sirjeff_D·
Umbali wa Israel—Misri ni 613Km Ilimchukua Musa na WaIsraeli miaka 40 kukamilisha safari yao Maana'ke kwa mwaka walikua wanatembea 15Km Kwa siku walikuwa wanatembea mita 42 Tambua uwanja wa mpira una mita 102 Hata tukiondoa Sabato & Siku-kuu, still it doesn't make any sense
Indonesia
265
68
1.1K
117.7K
chuga girl❣️
chuga girl❣️@Lizzie36021·
Bei elekekezi ushindwe wewe😀👇 1.Figo = Milioni 35 2. Jicho = Milioni 50 3. Moyo = Milioni 350 4. Uti wa mgongo = milioni 500 5. Ini = milioni 45 6. Utumbo = Milioni 150 7. Jino = laki 5
Indonesia
332
110
934
114K
KiPe🔰 𝕏 retweetledi
K y l e
K y l e@naswah_jr·
@SuluhuSamia @prabowo Mama kipenzi cha watanzania tunaomba utuanzishie wizara ya kubeti ijitegemee iwe na bajeti yake kwa mwaka tukopeshwe vijana tumsake muhindi 🤝
Indonesia
1
1
1
253
KiPe🔰 𝕏 retweetledi
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Jana kulikuwa na event ya TMA Ambapo wasanii waligawiwa tuzo kutokana na juhudi walizofanya.. Ndani ya Tamasha hilo kulikuwa na Mambo mengi saana, Ikiwemo, perfomance ya dogo Dani wa Lunya, Chino kumkataa marioo na nk. Angalia ilivyokuwa... Video kwa Comments👇
Latto 𝕏 tweet media
Filipino
22
60
858
199K
KiPe🔰 𝕏 retweetledi
OscarOscar
OscarOscar@mzeewakaliua·
Pacôme Zouzoua naona hakuwa na Dakika 45 za kwanza Bora. I wish Chama angeanza Kipindi cha kwanza.
Filipino
35
23
732
31.5K
KiPe🔰 𝕏 retweetledi
Fightstoked
Fightstoked@Stokedfight·
Huyu kipa wa simba Anafungwa magoal ya ajabu ajabu tu anapangwa kisa kocha ni simba mwenzake 🚮 Yona Amos Anawekwa benchi unaanzisha Bench warmer kipa namba tatu huko Ukoloni
Fightstoked tweet media
Filipino
90
13
466
21.4K
KiPe🔰 𝕏 retweetledi
K y l e
K y l e@naswah_jr·
Kumanina
Filipino
2
1
2
119
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamu·
Leo nimekuta mjadala kijiweni kwetu. Kuhusu mashabiki wa soka wa zamani na wa sasa. Kuna mwana mmoja alisema hivi : 👇 1. Zamani habari kuzipata ilikua kwa ugumu mno (aidha ilikua kwa kusikiliza redio, kusoma magazeti) 2. Access ya kuangalia mechi ilikua ngumu kwahiyo mtu alitumia nguvu kubwa mpaka kwenda kutizama soka (umbali, uchache wa vituo vya kuonesha soka) 3. Kwa sasa mtu anaweza kuangalia mechi yeyote ile kirahisi tu kwa sababu amecheza bahati nasibu. Mpaka mabanda ya betting yanaonesha soka bure Kuna namna wale wafuasi halisi wa mchezo pendwa walikua zamani. Kwa sasa wengi wanatizama mpira ila uelewa kuhusu boli upo chini na wengi hawana natural passion. Je ana hoja___?
Farhan Kihamu Jr tweet media
Indonesia
93
21
512
65.6K
KiPe🔰 𝕏
KiPe🔰 𝕏@iam_kipe·
@MrRigh_ Umu wote mnatkiwa mumponde kiongz wa ccm hii vit ni kali san😀😀
Indonesia
0
0
0
99
Iam Ras
Iam Ras@MrRigh_·
@iam_kipe Tyr kaka nimepokea matus mpk dm🙌🙌😁
Indonesia
1
0
1
2.1K
Iam Ras
Iam Ras@MrRigh_·
Tusiiweke kishabiki kiongozi gani wa chadema anaweledi wa makonda!!? Tusiweke kishabiki wa kisiasa🙌
Iam Ras tweet media
Indonesia
247
27
727
61.2K
KiPe🔰 𝕏 retweetledi
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Again….. Kuandika mistari tu ni rahisi✅ Kuchana tu ndio rahisi saaaaanaaaa✅ Hiyo👆watu wengi wanaweza hiyo…mtaani huko kuna madogo na wana kibao wanaweza!! Ona hadi The late bibi cheka alikuwa anachana na ni mzee. Hata 🇺🇸 kuna youth’s kibao mtaani wakike kwa wakiume wanachana haoooo Jay z na Jada wakasome. Kuna hood huku unakuta kitaa kizima kinajua kuchana sanaaa kila unayemgusa nyokoo!!🔥 Kama congo tu kila mtu anaimba noma….unatua airport unashangaa dereva tax anaimba kumzidi falii mpaka unadata…. Kuishawishi audience ipende wimbo wako sasa hii ndio kibarua kizito kinawashinda wengi akiwemo MTU FUDENGE na huu ni mwaka wa 15 hajaliweza hilo, na umri ndio huo unasonga jua la saa 10 tayari!! Mungu amfanyie wepesi…..akunjulie watu ili nayeye akunjuliwe!!
Filipino
94
85
803
76.4K