Sabitlenmiş Tweet
pamba🇹🇿
13.1K posts

pamba🇹🇿
@ibrahimjuma03
fans@simbasportclub and Manchester united
Katılım Temmuz 2024
489 Takip Edilen1.3K Takipçiler

Aisee basi Iran hakuna jeshi ila kuna watu wenye midomo kama kimama. Iran kuna wachambaji kama ZNZ ila hakuna jeshi pale.
I’m sorry ila kweli ,nchi ambayo zaidi ya wiki sasa inatamba kuwa inawasubiria wanajeshi wa Marekani watue kwenye ardhi yao. Nchi ambayo inatamba kuwa imejiandaaa kwa vita hii kwa miaka 40, kweli imeshindwa hata kumteka pilot mmoja wa Marekani aliedondokea ndani ya ardhi yao? Kweli Trump kaweza kumuokoa pilot wake deep inside Iran??
Aiseeee, inabidi hata team wauwaji wa waaandamanaji A.K.A team Islamic Republic impigie makofi the best American president EVER!!!!! @POTUS @realDonaldTrump
Axios@axios
BREAKING: U.S. special forces rescued the second crew member of the F-15 fighter jet that was shot down over Iran, three U.S. officials tell Axios. axios.com/2026/04/05/ira…
Filipino
pamba🇹🇿 retweetledi
pamba🇹🇿 retweetledi
pamba🇹🇿 retweetledi
pamba🇹🇿 retweetledi

Hakuna mtu ana pay attention at all jinsi mindset ya vijana wa Kitanzania ilivyobadilika.
Napokea mamia ya message kama hizi everyday. Wanaomba kujiunga na kundi la kigaidi ndani ya TZ au nje kidogo ya Tz ili wapate mafunzo. Vijana waliopitia JKT ndio balaa, wanalia kabisa kuwa wao wanamafunzo ya kijeshi wanahitaji silaha tu,
Wenyewe wauwaji ambao wamewafikisha vijana kwenye hali hii ya kifikra wako busy na propaganda za kujisafisha na mauwaji kiasi kwamba hawaoni the real danger coming to Tanzania.
cucson Muno@DicksonMwa12108
@LarryMadowo @LarryMadowo nimejaribu kuja dm kwako nimeshindwa ombi langu lilikuwa ni kama kuna uwezekano wa kupata hizo connection au kama kuna kundi lolote la kigaidi Tanzania au kenya naomba niunganishe am ready for anything! Please! 🙏
Indonesia
pamba🇹🇿 retweetledi
pamba🇹🇿 retweetledi
pamba🇹🇿 retweetledi
pamba🇹🇿 retweetledi
pamba🇹🇿 retweetledi
pamba🇹🇿 retweetledi

Kipindi cha kampeni niliongea mnoooo na kuwataarifu kuwa baada ya kampeni za uchafuzi hali itakuwa mbaya. Mwigulu akiwa Waziri wa fedha akawa ananipinga anadai hali ya fedha ni nzuri. Haya si hiyo miezi 3 tu baadae wanauza gold reserves za nchi kinyemela.
Hii ni habari nje kwa Wananchi. Pesa ikikosekana vyombo vya usalama vitamtema.
Na niwaambie tu hizi pesa haziendi kufanya maendeleo yoyote zinaenda kulikuwa na kina Angela Kizigha na kina Abdul na kina Mombo.

Indonesia
pamba🇹🇿 retweetledi
pamba🇹🇿 retweetledi

Watanzania kama viongozi wenye uwezo, busara na ujasiri mnao, ni vile tu wale mashetani wa pili wana nguvu ya bunduki na hawasiti kuua ndio maana bado wanashikilia nchi.
Ukweli ni kwamba Chadema wana nguvu ya umma, CCM wana nguvu ya bunduki, mauaji na ukatili.
Mwisho wa siku nguvu ya umma lazma ishinde….. Kumbukeni hili.
Mungu alikuwa na plan yake ndio maana aliwabidhi Lissu na @HecheJohn chama. Haki vile kama hawa majamaa wawili wasingeshinda ule uchaguzi wa Chadema nawahakikishia Chadema ingekuwa imeshiriki uchaguzi kama ACT wazalendo na leo nchi ingekuwa isharudi kwenye business as usual maana hakuna maandamano yangetokea kama chadema ingeshiriki uchaguzi.
Wengi hudhani watu waliandamana sababu ya Mange. Mimi niliwafungua macho tu kuhusu ufisadi uliopo ila Chadema kutokushiriki uchaguzi ilikuwa kama petrol imemwagwa kwenye moto.
Indonesia
pamba🇹🇿 retweetledi
pamba🇹🇿 retweetledi
pamba🇹🇿 retweetledi

Kama wewe ulivyolinda kura na sasa uko tayari kufanya maridhiano na watu walioua Watanzania zaidi ya elfu 10. Zitto ni leader, NO QUITTING.
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe@zittokabwe
Mane is a leader! NO QUITTING
Filipino

@mangekimambi Kwaiyo unajiskia mtu ametuma picha matatizo wanapata watu wengine ? Huoni pia ni Usenge huo? Yani we ipo siku yako 1 tu.
Filipino

Cha kusikitisha walimchukua mtu ambae sio muhusika. Yani muhusika ndio alikuwa ananihadhithia jinsi walivyovamiwa pale airport na mtu waliembeba. Hata zile picha za nyumbani kwa Abdul , wafanyakazi kibao walikamatwa mpaka ambao walikuwa washaacha kazi except jamaa alietuma mzigo. Hata zile document za wizara ya fedha kutoa pesa kwa kina Lugumi na kutoa pesa kwa usalama wa taifa kwa akili ya ‘kazi maalum’, walikamata watu kibao wizarani kasoro alietuma mzigo. Yani haya majamaa hayana intelligence yoyote ya maana ndo maana walishindwa kumpata Gwajima na huku alikuwa hapo hapo Dar. Polepole waliweza kumpata sababu ya betrayal tu ila sio kwamba walimpata kwa ujuzi wao.
Hasta La Victoria Siempre@Oktoba29
Hivi Yule dogo aliyepiga picha gari ya Dully na dully akaamua kumteka hivi dully alimuachia?
Indonesia












