Idris kisodo
8.3K posts

Idris kisodo retweetledi

Ninawatakia kila la kheri wanangu wanafunzi wa Kidato cha Sita na Vyuo vya Ualimu kwa ngazi ya Cheti na Stashahada mlioanza mitihani yenu ya kuhitimu leo. Ninawaombea kwa Mwenyezi Mungu awape utulivu wa akili na afya njema ili mfanye mitihani kwa uaminifu, kujiamini na mafanikio.
Serikali inaendelea kuwaandalia mazingira mazuri kwa hatua zinazofuata ikiwemo kuongeza mikopo na ufadhili wa masomo, kujenga vyuo vikuu katika kila mkoa na vyuo vya ufundi kila wilaya, na kuboresha mitaala ili elimu iwe bora na nafuu zaidi, iwawezeshe kujiajiri na iendane na mabadiliko ya dunia.

Indonesia

@idrickisodo Kaka Garnacho, Neto na Gittens wote hawapo tunamtegemea mtoto wa shule
Filipino
Idris kisodo retweetledi

Mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Ivory Coast na mshambuliaji wa kihistoria Chelsea Didier Yves Drogba Tébily amewasili Bungeni Jijini Dodoma akiwa ni miongoni mwa wageni watakao shuhudia uwasilishwaji wa makadirio ya Mapato na matumizi ya Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2026/2027
#MillardAyoUPDATES
Indonesia

@mshambuliaji Yanga ifike hatua muwe na akili, Hivi priva anakagua uwanja yy kama nan?😂😂
Indonesia

Hii ndio hali ya halisi ya Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kuelekea kesho kwenye mchezo wa Dabi ya Kariakoo Simba na Yanga.
#kitengeSports
Indonesia
Idris kisodo retweetledi

















