Innogh

12.9K posts

Innogh banner
Innogh

Innogh

@innosgram

AI Enthusiast | Creative Designer | 3D Artist

Tanzania Katılım Temmuz 2014
3.1K Takip Edilen8.1K Takipçiler
Jean
Jean@iam__jean1·
@earadiofm Huyu mwarabu mjinga nini sasa Structural Engineer unamlipa vp chini ya 5M!! Anaongea usenge.
Filipino
2
0
0
774
Ibraheem
Ibraheem@Abrahconscious·
@innosgram Duuhhh umewakandia Sanaa Yan hiii 🤣😂😅
Indonesia
1
0
1
13
Innogh retweetledi
Innogh
Innogh@innosgram·
Kuna watu humu wanaclaim kwamba wao ni developers lakini ukiangalia kazi zao unaona kabia hamna kitu hapa, they were just lucky 🫵
Indonesia
1
1
4
93
Pretty Chauhan
Pretty Chauhan@pretty_sarlin·
If you use your right brain, you’ll see a kitten; if you use your left brain, you’ll see a baby rabbit. What do you see?
Pretty Chauhan tweet media
English
17.4K
855
12.3K
6.1M
Crazy Kennar
Crazy Kennar@crazy_kennar·
CURRENCIES IN DIFFERENT COUNTRIES 😂😂😂😂😂😂
English
3.8K
20.7K
99.2K
3.8M
Salym
Salym@salymdev·
How is your 2026 so far? 😁
Salym tweet media
English
9
1
20
849
Innogh
Innogh@innosgram·
@salymdev Unacheka? Nina private repo yangu nikiifungua mtakimbia😭🤣
Indonesia
1
0
0
20
ᗪIOᑎ ᗷETT
ᗪIOᑎ ᗷETT@DionBett·
Hizi kuku zinakula sana buana, naona ikinimalizia pesa. 😅
ᗪIOᑎ ᗷETT tweet media
Indonesia
860
487
4.1K
322.2K
Innogh
Innogh@innosgram·
@md_kasif_uddin I'm using PHP and it is perfect, it does pretty anything I want so I have no reason and time to stat learning another language
English
0
0
0
58
Kasif
Kasif@md_kasif_uddin·
Which programming language is best for Backend?
Kasif tweet mediaKasif tweet mediaKasif tweet mediaKasif tweet media
English
105
5
128
16.5K
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Hakuna Laptop itakupa kila KITU Angalia unataka vitu gani kwa matumizi yapi. Nimetumia Laptops zaidi ya 10 Hii ndo experience yangu ➤ Laptop itakaa na charge? ╰┈➤ Macbook M-series ➤Laptop ngumu itakayodumu muda mrefu ╰┈➤Lenovo(x1 carbon) ➤Laptop ya kazi ngumu ila bei rahisi ╰┈➤HP ZBOOK(Ila ni makubwa😄) ➤Laptop isiyo na mambo mengi unawasha tu na kutumia ╰┈➤Macbook yoyote ➤Laptop itakayokupasua kichwa screen replacement ╰┈➤Laptop yoyote yenye touchscreen kubadilisha ni ghali ➤Best professor ╰┈➤AMD >>Intel esp kama features zote zinakaribiana na ni version ya mwaka mmoja ➤Minimum Budget naweza shauri ya PC ╰┈➤500k kama unataka laptop nzuri second hand Experience yako iko vipi?
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media
Indonesia
11
13
52
2.4K
Innogh
Innogh@innosgram·
@erfnbshiri I want to see mobile version for the second one
English
1
0
0
49
Erfan Bashiri
Erfan Bashiri@erfnbshiri·
Which design wins? Top our Bottom
Erfan Bashiri tweet media
English
160
13
556
35K
Innogh
Innogh@innosgram·
Kitu unachosahau ni kwamba AI ina context pana sana ukilinganisha na mwanadamu mmoja mmoja, yaani wanadamu wanajua sana kuliko AI lakini ni ukiunganisha uelewa wa wanadamu wengi, mwanadamu mmoja hawezi hata kujaribu kucompete na context na reasoning ambayo AI iko nayo hata siku 1
HabariTech@HabariTech

Hapana sio kitu kile kile. Kwa namna naijua AI inavyofanya kazi ni anaangalia data ilizokuwa trained on na kutambua possible patterns zinazounganisha hizi data (hiyo ndo prediction) ndipo ikupe output. Haina awareness wala uelewa ni inatambua tu patterns kulingana na namna imekuwa trained. Binadamu tunatambua patterns, lakini kwa kuelewa context ya kile kilichopo kisha tuna evaluate context ipi ni sahihi. Usahihi tunaupata kwa kujiuliza kama assumptions na uelewa tulio nao ni sahihi. Judgement yetu iko based na uncertainty. AI inaiga reasoning ila binadamu tunafanya actual reasoning na kufanya rvaluation ya hizo reasons. Ndiyo maana unakuta mara nyingi AI zinafanya halkucination. Sababu pattern prediction yake haiwezi kujudge reasoning kwa usahihi. Binadamu pia anakosea ila sio kwa namna hiyo sawa na AI. AI ni kama mwanafunzi ambaye amesoma kwa memorization ya maswali mengi anatoa majibu ya haraka NECTA na anafaulu. Ila kwenye uhalisia akipewa real world scenario anashindwa tumia alichokisoma. Wakati binadamu ni mwanasayansi ambaye anajua kupima nadharia (hypothesis), kuhoji matokeo na kubadili hypothesis kulingana na evidence ya matokeo.

Indonesia
1
1
2
125
Innogh
Innogh@innosgram·
Usikariri kwamba AI inajua tu vitu ambavyo wameifeed, sasahivi AI inascrape internet vibaya mno na inaweza kupull information ziliropo kwenye web in real time na kuziapply kufanya task mbalimbali. Kitu ambacho ni changamoto ku kuiambia iotee wewe umekula nini mchana.
Indonesia
0
0
0
31
Innogh
Innogh@innosgram·
Vitu ambavyo ai inaweza kuwa out of context kwa kipindi hiki ni vitu ambavyo havipo mtandaoni kabisa, pamoja na hayo inaweza kusolve complex problems ambazo haina context nazo kwa kuunganisha uelewa alionao kwenye vitu vingine ambavyo vinafanania hicho kitu kipya.
Filipino
1
0
0
53