ChogoTz retweetledi
ChogoTz
6.5K posts

ChogoTz retweetledi
ChogoTz retweetledi
ChogoTz retweetledi

TANZANIA YETU,FAHARI YETU
@SuluhuSamia
#miminamuungano #kataawachochezi #tanzaniaissafe #katibanasheria #matokeochanya #nchiyangukwanza #sisinitanzania #SSH #MSLAC @ikulumawasliano @mamayukokazini @matokeochanya @miminamuungano @1ngadu1

Indonesia
ChogoTz retweetledi
ChogoTz retweetledi
ChogoTz retweetledi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt @SuluhuSamia amempokea Mgeni wake, Rais wa Jamhuri ya Ghana, Mhe John Dramani Mahama, alipowasili katika Ikulu Ndogo ya Arusha leo 02 Machi 2026.
Katika tukio hilo, Viongozi hao wawili wamefanya mazungumzo rasmi yaliyojikita katika kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na masuala ya kimkakati yenye manufaa kwa nchi mbili.
Rais Mahama yupo Mkoani Arusha kwa Ziara ya Kikazi, ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Ufunguzi wa Mwaka Mpya wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu, pamoja na Sherehe za Kumbukizi ya Miaka 20 tangu kuanzishwa kwa Mahakama hiyo mwaka 2006.
Ziara hii inaakisi dhamira ya pamoja ya kuendeleza haki, utawala bora na mshikamano barani Afrika.
@ikulumawasliano
#KaziNaUtuTunasongaMbele #TabasamuLaUtu #MaendeleoEndelevu #DiraYaSamia




Indonesia
ChogoTz retweetledi
ChogoTz retweetledi
ChogoTz retweetledi

Unaposema "Mimi ni Mtanzania", hiyo ni nguvu ya Muungano
#miminamuungano🇹🇿
#muunganotanzania

Filipino
ChogoTz retweetledi
ChogoTz retweetledi
ChogoTz retweetledi

Mapema leo jijini Arusha nimemkaribisha na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Ghana, Mheshimiwa John Dramani Mahama ambapo tumejadili juu ya kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika mageuzi ya kiuchumi, kuongeza thamani ya rasilimali zetu, ajira kwa vijana na maendeleo ya uchumi wa kidijitali.
Dhamira ya waasisi wa mataifa yetu haya mawili ilikuwa ni kuiunganisha Afrika, nasi kwa pamoja tumepongeza kuanzishwa kwa safari za moja kwa moja za ATCL kati ya Dar es Salaam na Accra (Ghana) ambazo zitarahisisha mwingiliano wa watu, kukuza biashara na utalii.
Tanzania na Ghana zitaendelea kushirikiana katika usimamizi wa rasilimali ili kujenga uchumi shindani na jumuishi, unaolenga kufungua fursa zaidi za biashara, uwekezaji na ajira kwa wananchi wetu.




Indonesia
ChogoTz retweetledi
ChogoTz retweetledi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Keep a Child Alive, Antonio Ruiz-Giménez Jr. na Ujumbe wake pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel Foundation Bi. Doris Mollel, tarehe 1 Machi, 2026 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Pamoja na masuala mengine mazungumzo hayo yalijikita kuimarisha ushirikiano baina ya Serikali na Taasisi hiyo katika kuboresha huduma za uzazi na afya ya mama na mtoto nchini.




Indonesia
ChogoTz retweetledi

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) inaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kusheherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kupanda miti ikiwa ni sehemu ya kuenzi malengo yake ya kulinda utu wa mtanzani kwa kuhakikisha jamii yetu inakuwa na mazingira rafiki kwa maendeleo endelevu ya Taifa.
Mazingira ni utu na uzalendo wa kweli unaanza na kulinda mazingira yetu
Mti wa leo ni maisha ya kesho, ni mvua ya kesho, ni maji ya kesho, na ni ardhi salama ya kesho. Anza sasa, mhimize na mwingine!
“Uzalendo ni Kutunza Mazingira, Shiriki Kupanda Miti”
#MazingiraNiUtu
Indonesia


























