JARIDA ONLINE TV

16.6K posts

JARIDA ONLINE TV banner
JARIDA ONLINE TV

JARIDA ONLINE TV

@jaridatv

Mwanza, Tanzania Katılım Mayıs 2020
5.1K Takip Edilen6.4K Takipçiler
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
wakubwa nchini, wakisema kupitia mikopo hiyo uchumi wao umeimarika na wametoa fursa za ajira kwa wengine. #Mmedia
Filipino
0
0
0
14
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
Wanufaika wa mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Mkoani Tabora, wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kubadilisha maisha yao kiuchumi pamoja na kutimiza ndoto zao za kuwa wafanyabiashara
Indonesia
1
0
1
51
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
kujenga miundombinu ya usafiri na usafirishaji ili kukuza uchumi Vijijini, kurahisisha upatikanaji wa huduma za kijamii pamoja na kuimarisha ustawi wa jamii.
Indonesia
0
0
0
16
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
Wananchi wa Iramba Mkoani Singida wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa zaidi ya shilingi Bilioni sita kutekeleza mradi mkubwa wa ujenzi wa daraja la Nkonkilanga, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa dhamira yake ya
Indonesia
1
0
1
59
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
116 kunufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi katika Mkoa huo. #Jarida
Filipino
0
0
0
18
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
Wanachama wa Vikundi vya Vijana, wanawake na Watu wenye ulemavu Manispaa ya Singida Mkoani Singida, wamemshukuru Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia na kutoa Jumla ya Shilingi Bilioni Moja na Milioni Mia sita na nane ili kuwezesha Vikundi zaidi ya
Indonesia
1
0
1
65
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi ya Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania - TAHLISO Ndugu Geofrey Kiliba, ametoa ufafanuzi juu ya hali ya uchumi nchini, akibainisha kuwa kupanda kwa bei ya mafuta na gharama za maisha si tatizo la Tanzania pekee, bali ni changamoto inayoyakabili
Indonesia
2
0
1
31
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
na wananchi wa Wilaya hiyo, wakiishukuru serikali kwa kuwasogezea huduma za matibabu ya kibingwa karibu na makazi yao.
Filipino
0
0
0
11
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kipindi chake cha miaka minne madarakani ameiwezesha Halmashauri ya Wilaya ya Bahi kuwa na Hospitali ya Wilaya kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake mwaka 2007 suala ambalo limepokelewa kwa furaha
Indonesia
1
0
1
27
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
Mafanikio hayo yameiwezesha TRA kukamilisha robo ya tatu ya mwaka wa fedha (Januari hadi Machi 2026) kwa kukusanya jumla ya shilingi trilioni 9.31, ikiwa ni ongezeko la asilimia 23.6 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka uliopita. #Jarida
Indonesia
0
0
0
18
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeweka rekodi mpya kwa kukusanya shilingi trilioni 3.58 katika mwezi wa Machi 2026 pekee, ikiwa ni sawa na ufanisi wa asilimia 107.6 ya lengo lililowekwa.
JARIDA ONLINE TV tweet mediaJARIDA ONLINE TV tweet mediaJARIDA ONLINE TV tweet mediaJARIDA ONLINE TV tweet media
Indonesia
1
0
1
17
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
akieleza kuwa sekta ya maziwa ina nafasi kubwa katika kuboresha lishe, kuongeza ajira na kukuza uchumi wa taifa. #Jarida
Filipino
0
0
0
4
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
Ameyasema hayo Aprili 01, 2026 wakati wa kikao kazi cha watumishi wa Bodi kinachoendelea katika Ukumbi wa Chuo Cha Kilimo Sokoine (SUA), mkoani Morogoro, Prof. Msalya alisisitiza umuhimu wa kuwa na mikakati madhubuti inayotekelezeka kwa vitendo,
Filipino
1
0
0
16
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
Msajili wa Bodi ya Maziwa Tanzania, Prof. George Msalya, amewataka watumishi wa Bodi hiyo kuongeza uwajibikaji, ubunifu na weledi katika kutekeleza majukumu yao ili kuimarisha ukuaji wa sekta ya maziwa nchini.
JARIDA ONLINE TV tweet mediaJARIDA ONLINE TV tweet mediaJARIDA ONLINE TV tweet media
Indonesia
1
0
1
12
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
umwagiliaji ikiwa ni utekelezaji wa mpango wa Rais Samia wa kukuza na kuongeza uzalishaji na fursa za kilimo nchini.
Polski
0
0
0
13
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
Wakulima wa Mpunga wanaofanya shughuli zao katika Bonde la Bahi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, Mkoani Dodoma wanatajwa kunufaika na uwekezaji mkubwa wa zaidi ya Shilingi Bilioni 3.6, zilizotolewa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwaajili ya ukarabati wa skimu za
Indonesia
1
0
1
45
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
Jumla ya Shilingi Bilioni 14 za Kitanzania zimetolewa na serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kutekeleza mradi wa ujenzi wa Daraja la Nzali, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma na kuondoa adha ya kukatika kwa mawasiliano pamoja na mafuriko
Indonesia
0
0
1
48
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
programu hiyo wameendelea kunufaika zaidi na kilimo pamoja na kuondokana na umaskini wa kipato licha ya ukame unaoshuhudiwa katika Mkoa huo wa Katikati mwa nchi.
Filipino
0
0
0
8
JARIDA ONLINE TV
JARIDA ONLINE TV@jaridatv·
Katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi nchini Tanzania, Wakulima wa Mkoa wa Dodoma wamemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maono yake katika uasisi wa Programu ya Jenga Kesho iliyobora maarufu kama (Building Better Tomorrow- BBT), wakisema kupitia
Indonesia
1
0
1
28