JAXiS
63.6K posts

Sabitlenmiş Tweet

@joyfullypillow kuna wanaume wanataka kuoa wanaume.
ikiwa wewe ni mwanamme na unaona sio fair mwanamke mwenye hela kutokuwa mwenza wako bado una nafasi ya kuwa mwenza wa mwanamme (mwenzako) mwenye hela.
Filipino


@joyfullypillow kama mwanamme anaewaza/anatamani kumpata mwanamke mwenye hela hashindwi kuwaza kumpata mwanamme mwenye hela.
Filipino

@Rony__Jons nauza.
ila hii hainifanyi niwashangae (wateja wangu) kwakweli😂😂
ndomaana malipo ya bando la halotel napokea kupitia tigo pesa😂
Indonesia

chanzo cha kuanza kutumia halotel kilikua ni nini?
Sean 🦩@iboysean
Kuna mtu ana experience changamoto ya Internet kwenye E sim ya Halotel?
Indonesia

@joyfullypillow kama binti asie na kitu kaolewa na mwanamme millionaire nawewe mwanamme usie na kitu unaona sio fair mwanamke millionaire kutokuolewa na mwanamme asie na kitu, inasikitisha, inasikitisha mtu (mwanamme) kuwa na mawazo hayo kuliko hata unachojaribu kukitengeneza hapa.
Indonesia

@jaxis__ Pole... Tena kwa mfano kwa kazi yangu .. unakuta nachoma mpaka 40k per day boda tu🥹💔
Tanzania 🇹🇿 Indonesia

lengo langu lilikua ni kudaka bike kubwa hata kwakuokopa
niwatafute watu kama wewe wanne watano tuwe tunapiga misele humu mjini
pia ningekua napiga misele na wale wageni wanaokuja kutembea dodoma wenye mapenzi na pikipiki
bahati mbaya ajali ikaharibu plani.
ngoja nipone tuone.

Family Nurse 🌝@Litelight9
Mimi sasa na maafisa usafirishaji sasa 😁😁🫴
Indonesia

Alcohol inatetewa sana.
kwakifupi inaelezwa wale addicted wa pombe tenaxpombe kali ndo hili swala linaweza kuwafikia kwa haraka


Rony Borabora 🚀@Rony__Jons
Kwanini sikuhizi watu wengi figo zao zinafeli? Au it has been like that tangu kitambo ila because of mitandao ndo maana tunaona wengi wanakuja kuomba misaada?
Indonesia

But there are millionaire men want to marry a man working at a retail store,
if you are working in a retail store, will you accept.!?
︎ ︎venom@venom1s
No millionaire woman would ever marry a man working at a retail store.
English

maisha yangetuwezesha kila muajiriwa hapa bongo walau alipwe 900k kwa mwezi.
watu wasingebeba chakula kwenda nacho kazini na wasinge onekana hawajui kubana matumizi.
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr
Sijui kwanini wabongo tunaona utaratibu wa kubeba chakula kutoka nyumbani kwenda nacho kazini ni ushamba wakati ni moja ya mbinu ya kubana matumizi. Wenzetu wenye asili ya Asia hapo ndo wanatupiga gepu. Sisi tunapenda uzungu sana hata kama unatuumiza.
Indonesia




