VINCI

1.2K posts

VINCI banner
VINCI

VINCI

@kaji6504

Katılım Mayıs 2024
405 Takip Edilen293 Takipçiler
ochola..🦅⚠️
ochola..🦅⚠️@therealrigoh·
Jamaa kaongea ukweli ambao watu wengi hatupendi kuuskia 😁😁hapa watasema ni haters kumbe ni uhalisia kabisa 🗣️
ochola..🦅⚠️ tweet media
Tanzania 🇹🇿 Filipino
9
5
42
3.3K
VINCI
VINCI@kaji6504·
@BillyTronix1 Na ambavyo wanabanwa sana kwenye matumizi inaweza kuzidi hio 5
HT
0
0
0
336
Billy
Billy@BillyTronix1·
I don’t think we will see a La Liga team win UCL in the next 5 years
English
21
18
286
10.8K
NGOJWIKE SnR
NGOJWIKE SnR@mzawaMUFC·
Kumbe DSTV kushusha bei wanaweza kinachohitajika ni competition tu, Aya Azam mtuletee na UEFA kwanza EPL tutasubiri kidogo.
Filipino
15
15
441
19.6K
VINCI
VINCI@kaji6504·
@mzawaMUFC @Tangazafrica Azam kuonesha hio epl mechi anapiga deiwaka kutoka kwa kampuni zenye licence hatambuliki yeye ni kama winga tu
Indonesia
1
0
0
64
VINCI
VINCI@kaji6504·
@mzawaMUFC @Curry_Klay1639 @Tangazafrica Azam kuchukua licence ya Epl ni ngumu jamaa wana customer base ndogo ambayo ni east Africa tena mostly Tanzania ili kufidia price ya kuchukua licence itabidi watucharge bei kubwa sana kitu ambacho wanajua hatuwezi kuwa tayari
Indonesia
1
0
1
529
NGOJWIKE SnR
NGOJWIKE SnR@mzawaMUFC·
@Curry_Klay1639 @Tangazafrica @kaji6504 We jamaa dah!! 😀 Big games anaonesha issue ni muda. Last season niliangalia game ya Liverpool na cheisii. This season wameonesha sana games za arsenal kwa sababu ya muda wanaocheza.
Indonesia
3
0
0
596
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
@Andrewhandles I commentate this game ... if it was audition then he failed badly but good thing i know he has unbelievable tools to make it at the top . ✍🏻His positioning was off ✍🏻His passing was not clean ✍🏻When Brighton wanted to sustain attacks he took ages to release a ball
English
3
1
44
2K
VINCI
VINCI@kaji6504·
20 assist maelezo ni rushwa hatutoi wala kupokea 😂
VINCI tweet media
Filipino
0
0
0
1
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
West ham wameshuka daraja rasmi leo
Indonesia
18
36
293
11.3K
VINCI
VINCI@kaji6504·
@trill_09 @mlinganya Hapo wengi ni wachezaji vijana tuliokuwa na matarajio nao makubwa na wazee waliokuja kumalizia career zao hakuna mchezaji wakusema alikuwa ni mzuri
Suomi
0
0
0
11
SON_TRILL 🩵🤍
SON_TRILL 🩵🤍@trill_09·
@mlinganya Cristiano Ronaldo Edson Cavan Rashford Rasmus Hojlund Mason Greenwood Scott mctominay
Eesti
3
1
2
270
Malcolm 🏆
Malcolm 🏆@mlinganya·
Bruno Fernandes is by far the better player than Iniesta. Muweke Bruno kwenye zile timu za Spain na Barcelona atapata assists 40+ kila msimu. Muweke Iniesta kwenye hii United team hatoweza kupata assists hata 5. Iniesta anaishi kwa lile goli la final 2010 tu
Malcolm 🏆 tweet mediaMalcolm 🏆 tweet media
Indonesia
93
37
240
25.5K
VINCI
VINCI@kaji6504·
@danyobryan ni kama bruno nae kasahau kufunga kabisa
Indonesia
0
0
1
48
danyombeumo
danyombeumo@danyobryan·
Jamaa ni kama yanamwachia Bruno apige golini zaidi kuliko atengeneze nafasi😀🚮🚮
Filipino
3
3
31
796
CHODEDE
CHODEDE@sheisfasy·
Usisahau kusali,watu ni wachawi😁
CHODEDE tweet mediaCHODEDE tweet media
Indonesia
34
32
161
6.4K
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Yanga wamepost na kuonyesha nmana uwanja wao mpya utakavyoonekana Video kwa Comments 👇
Latto 𝕏 tweet media
Filipino
24
10
328
21.7K
VINCI
VINCI@kaji6504·
@mzawaMUFC World Cup hii France anabeba na anaweza beba na kiatu kabisa mbappe
Indonesia
0
0
0
69
NGOJWIKE SnR
NGOJWIKE SnR@mzawaMUFC·
Kwenye timu yangu siwezi kuwa na mchezaji wa aina ya KYLIAN MBAPPE. Ana bahati sana kachukua WC akiwa mdogo sana, ile ndio mwanzo na mwisho.
Indonesia
9
5
44
1.1K
chama
chama@senior_ahoua1·
Mimi ni shabiki wa Simba lakn kwangu sioni kama serious tunataka kupata mafanikio kwa kumtegemea mchezaji mzee na alieo choka kama chama, mchezaji wa match dhaifu na za kitoto kama mashujaa. Kiungo Bora anayetakiwa simba ni yule ataenda cheza match ngumu za kimataifa.
chama tweet media
Indonesia
28
3
66
6.7K
VINCI
VINCI@kaji6504·
@angelbellerin02 Janja awe mpole arsenal ikibeba epl kuna uwezekano mkubwa akapewa😂😂
Indonesia
1
0
4
806
angel bellerin02
angel bellerin02@angelbellerin02·
Kuna GEN-Z wa mwaka 2000 ananimwagia swaga sio poa 🤣🤣🤣😂😂😂 mtoto anataka mshangazi
Indonesia
53
23
427
20.6K