Niraha sana palebaba anapokwenda sehem kuwatazama wanae wachokifanya halafu mtoto akiangazamacho babayupo hatakama walichoka nguvu inaongezeka mihtiriya digidigi
Kikosi cha Mabingwa wa Nchi Simba SC kesho Jumapili majira ya saa 12 asubuhi kitaondoka nchini kwenda Johannesburg, Afrika Kusini kisha kuunganisha ndege na kuelekea Manzini, eSwatini kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mbabane Swallows.
Zana Coulibaly beki wa kulia raia wa Burkinafaso leo amekamilisha dili la kusajiliwa na Mabingwa wa nchi Simba SC. Pichani akisaini mkataba mbele ya Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Simba Crescentius Magori.
Good performance from the team this afternoon but we only made halfway ... We need to finish the job next tuesday ! Thanks to Simba's fans for their support , you are fantastic !!
Leo Jumapili Novemba 25 ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mchezaji wetu Adam Salamba.
Andika ujumbe wako kumtakia heri katika siku hii muhimu kwake.
Siku ya Ijumaa Novemba 23, 2018 tutashuka dimbani kucheza mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Lipuli. Mchezo huo utachezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia saa 10:00 jioni.