simione mlemba🇹🇿
11.8K posts


@BesteNicolas Bado yupo na IP x hivi Zina hata Whatsapp kweli
Filipino


@cleansheet_1 Acha kujipa umuhimu ukijadili ww inatosha
Indonesia

@KenanJMligo Kama unaamini hilo basi hujui kuwa 80% ya maziwa tunaotumia yakiwekwa kwenye kipimo hayafai kwa matumizi
Indonesia


@king_hemperion @godbless_lema @MsigwaPeter You're just proving my point. Walikuja chadema sasa hivi wako wapi?
English

@Sisimizi3 @tanpol Unaonyesha jinsi Gani fikra zako za kimaskini IP 17 ndo mtu achinjwe 🤣
Indonesia

𝐍𝐈𝐌𝐄𝐏𝐄𝐍𝐘𝐄𝐙𝐄𝐖𝐀 : James Temba alikua WINGA Kariakoo na pale IFM marafiki zake walimuonya aache kutapeli watu, kuna mtu (Apoli) alikua na ugomvi naye alimtapeli hela ya IPhone 17, walitafutana tangu Februari huenda jamaa kalipiza kisasi.
@tanpol Namba ya Apolo ninayo


Indonesia

@godbless_lema @MsigwaPeter Mnapenda kula matapishi ndio mana hamuishi kuumizwa mnabaki kukimbia kimbia kama digidigi. Hamjui hata mnashambuliwa kutoka upande gani. Nilijua by now mtakua mmejifunza kitu lakini kenge hasikii mpaka damu zitoke masikioni.
Indonesia
simione mlemba🇹🇿 retweetledi

Mabadiliko hayajengwi na watu
wachache-yanajengwa na kila
anayetoa alichonacho.
Leo toa tone lako.
Kesho tutajivunia nguvu yetu
ya pamoja.
#ToneTone
Suomi

@Zephania_Ndaki Wewe unadha ulivo sema hapo lisu amekusikia🤣
Indonesia

@Baraza_Kuu @MwandembaE Maelezo meengi unaelezea jinsi unavyo weza kuonesha fuvu liko na mtindio
Indonesia

Tumeona tangazo lenu CHADEMA kuwa kesho Mei 2,2026 mtakuwa na mkutano na Waandishi wa Habari. Ni jambo jema kwani tuna imani mtatuletea mambo mema mliyojadili kwenye kikao chenu ya kuendelea kujenga amani ndani ya Taifa letu Tanzania na si vinginevyo.
Tunasema ni jambo jema kuwasikia tena baada ya kujifungua kwenye kifungo chenu mlichojifunga wenyewe kwa kushitakiana wenyewe kwa wenyewe na mkawa mnatudanganya eti oh tunaonewa tumefungiwa.
Mlionewaje wakati nyinyi wenyewe ndiyo mlishtakiana na mkawekeana mapingamizi?Tunawauliza mtujibu kuna mtu au mwanachama nje ya Chama chenu aliyewafungulia kesi mliyokuwa mnaendelea nayo mahakamani?Halafu kibaya sana baada ya kujifungia wenyewe kufanya shughuli zenu za chama anayejiita wakili msomi wa chama chenu, wakati mkiwa kwenye hicho kifungo mlichokitengeneza wenyewe siku moja akaibuka akawaambia watanzania na dunia nzima eti zuio mlilokuwa nalo la kutofafanya shughuli za kisiasa kisheria lilimalizika baada ya miezi sita kupita.
Halafu asivyo kuwa na kumbukumbu baada ya mahakama kuwaruhusu kuendelea na shughuli za siasa akaibuka mbele ya vyombo vya habari na kusema leo CHADEMA imefunguliwa rasmi kufanya shughuli za siasa.Waliomsikiliza mwanzoni aliposema zuio mlilokuwa nalo liliisha baada ya miezi na alichosema Aprili 15,2026 wanajiuliza huyu wakili msomi vipi au ndiyo maana ndani ya chama chao wakiongea lazima wafoke na mishipa ya uso iwatoke?
Hata Makamu Mwenyekiti wenu Bara alitamka tumetoka kifungoni akaishia hapo badala ya kutueleza tumetoka kwenye kifungo tulichojifunga wenyewe.
Sasa tunaomba tuwaambie,kesho hatutaki tena mtuongeleshe kwa sauti ya ukali,kutufokea na kutuletea ngonjera kwamba Chadema tutafanya maandamano nchi nzima.Fujo hatutaki tena tumeshaona hasara za hamasa kama hizo kuwa matokeo yake ni mwanzo wa vurugu na wananchi kuumia ili ionekane serikali imeshinndwa kulinda wananchi wake.
Hatutaki mtuletee mambo eti hatuitambui ripoti ya Tume ya Uchunguzi.Kwanza mtaitambuaje wakati miaka yote mlikuwa mnatujengea chuki, uchonganishi kwa hotuba zenu za chuki na mikutano ya siri ya kupanga kuvuruga amani nchini.Mtaitambuaje wakati mnajifahamu ni wapangaji,waratibu,wafadhili na watekelezaji wa vurugu hapa nchini.
Tunataka kesho mtuambie katika kikao chenu mmeamua kuwasimamisha na kuwakemea vijana wenu mliyowaandaa, mnaoendelea kuwapanga na kuwafadhili ili kutukana watu na viongozi ambao hawaungi mkono mambo yenu ya hovyo ya kuchochea na kuzusha fujo nchini.
Tunataka pia kesho mtuambie fedha mnazo changiwa kwanini akaunti ipo nje ya nchi,kwa ajili gani au ni kwa ajili ya maslahi yenu binafsi kama ilivyokuwa kwa michango mingine mingi ya nyuma mliyochangiwa.Kama hamna kumbukumbu niwakumbushe moja ya michango ni kama ile ya mfanyabiashara wa Dar es Salaam aliyo wachangia kwa ajili ya kuchimbia wananchi visima vya maji làkini mkazila.Tutawasikiliza kesho kama mtakuja na mambo ya hovyo kama kawaida yenu yakutuweka roho juu Watanzania tutaanika michango mingine ambayo ilichangwa ikapotea kijumla mikononi mwenu na zile zilizotumika nusu lakini zingine hazina maelezo hadi leo.
Tunawaambia tena, kesho hatutaki mtuletee mambo ya kutuweka roho juu na kuishi kwa wasiwasi kwa sababu tumeshaonja hasara ya kupoteza roho za ndugu zetu,kutusababishia majeraha na kupoteza mali na kwa hayo yote mnao mchango mkubwa sana na lawama hizo hamuwezi kuzikwepa na mnazifahamu vizuri sana ila mnajitoa ufahamu na kupambana kwa njia zote kutupia wengine lawama.Hata hicho kikao chenu kwa kiwango kikubwa majadiliano yalikuwa ni namna ya kuwatupia wengine lawama ndiyo maana wakati mwingine mlikuwa mnatoka kwenye kikao wachache na kwenda kunong'onezana na kurudi kwenye kikao kupanga mbinu hizo chafu.

Indonesia

Njaa siyo kitu cha kuficha.
SIJALA- 0755051462
Narrowbeefly@Narrowbeeflying
Kama hujala mpaka muda huu njoo DM andika SIJALA then weka na namba yako pale.
Indonesia

@SwahiliRealTalk Kuwa msafi safisha marakwa mara ndo shida ya kusubiri mademu bikra usafi wa geto so mchezo🤣
Indonesia

@king_hemperion @safarimlevi Janja nilimpakia kwenye boda yangu
Indonesia

















