Sabitlenmiş Tweet
555⚡🌟
43K posts

555⚡🌟
@librabobby
A faith that hasn't been tested can't be trusted..
Katılım Kasım 2019
1.1K Takip Edilen1.3K Takipçiler
555⚡🌟 retweetledi
555⚡🌟 retweetledi
555⚡🌟 retweetledi

Boooooooom🍾🔥🔥💥💥💥
Congratulations! Wazee leo tunamtega hapa👇
6MMH9Q -Odds 17💰🧘🏿♂️


BAD NUMBER🥷🏿@ByCardoJason
Ukiachana na kiberenge hicho, hizi ni za leo leo; 5Q77NM -Odds 30🔥
English
555⚡🌟 retweetledi

LUKUVI hatakiwi kupumzika kwa AMANI.
Huyu ni moja kati ya binadamu WASHENZI waliowahi kutokea Tanzania. Ukienda jimboni kwake ISIMANI alikodumu kwa Miaka 30+ kama MBUNGE na vyeo mbali mbali vikubwa serikalini ndio utanielewa.
Aliligeuza JIMBO LA ISIMANI na watu wa ISIMANI kama ngazi yake ya kujitwalia madaraka makubwa nchini. Hakuna la maana alilowafanyia wana isimani miaka 30+.
Aliwahi kusema hata akiweka KOTI LAKE litashinda Ubunge dhidi ya mtu yeyote yule, ndiomaana hakuwajali watu wa ISIMANI.
Amekuwa sehemu ya maamuzi ya kikatili sana ambayo yalituumiza watanzania kwa miaka mingi sana. Huyu ndie alieleta KODI YA NYUMBA kupitia Umeme wa luku hatutasahau.
Huyu ndie alieongoza BUNGE HARAMU, Bunge la damu kutafuta SPIKA HARAMU na kujinadi na wabunge wenzie haramu kusifia yaliyofanyika oktoba 29.
Kwa uzoefu wake serikalini miaka 30+ hakuwahi kukemea hata siku moja uovu waliofanyiwa watanzania na DIKTETA JIKE..
Huyu ni mzee mshenzi tuu ambae alijali TUMBO LAKE na familia yake tuu ila hakuwa na msaada wowote kwa taifa. Wakati watanzania bado tupo msibani hatujui ndugu zetu walipo, familia ya LUKUVI inatakiwa kushukuru Mungu wao watazika MAITI ya ndugu yao.
Hawa wakina LUKUVI wako wengi sana, na wataisha wote na kila atakapo dondoka mmoja hiyo ni sherehe ya KITAIFA.
TUTAKUWEPO🫵😎

Indonesia

@ByCardoJason Sijasikiza hiyo nyimbo 😅😅😅Ngoja nikasikilize sababu hii
Indonesia
555⚡🌟 retweetledi

@DullahTheking2 drake has more influence than half of this list
English

@DullahTheking2 Niko kwenye ukuu wa Wayne 🤣🤣🤣alinifanya nifatilie Sana hip hop ya marekani
Indonesia
555⚡🌟 retweetledi
555⚡🌟 retweetledi

555⚡🌟 retweetledi
555⚡🌟 retweetledi

Watanzania zaidi ya elfu 10 walipouawa na chama cha mumewe alilia hivi au alikuwa anafurahia mumewe kapata ubunge tena kwa damu za Watanzania ?
Swahili Times@swahilitimes
Germina Lukuvi, mke wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani, William Lukuvi akiwasili msibani nyumbani kwao Jijini Dodoma.
Indonesia
555⚡🌟 retweetledi
555⚡🌟 retweetledi

Sportybet Tumempasua ODDS 163+ heshima nyingi kwa @prolific_88 . Watu zaidi ya 2K wameshinda huu mkeka.
Na mikeka yetu NI BURE KABISA MAMAE—kazi ya mitaa ni kutuombea tuu. Burna boy yupo kukiwasha CHAKA TU CHAKA huko.😂
Indonesia
555⚡🌟 retweetledi
555⚡🌟 retweetledi

KIWEWAKAAAAA, wa-Cuba wa Marekani nao leo wamejikusanya wanataka Trump akawaondolee dikteta wa nchi yao.
Haki Trump kazi anayo mwaka huu, kila nchi yenye dikteta inalilia akawasaidie kuwaletea freedom.
Na Trump atawafanyia maajabu wananchi wa Cuba.
Ila kuna nchi zinajielewa, wanajua kujikusanya na kupiga kelele mpaka Trump anasikia kelele zao. Hapo tuseme wa Tz wa Marekani tujikusanye wengi ngumu tutatokea 20, kila mtu anaogopa atabebwa na ICE au sijui atapata shida akienda Tz. Ila waambie wajikusanye kwa sherehe za kipuuzi, hao kama wooote.
Emmanuel Rincón@EmmaRincon
🚨 BREAKING Cuban Americans tell President Trump: "Cuba next, Cuba next."
Indonesia
555⚡🌟 retweetledi


















