JAMBO MOJA LA MUHIMU SANA.
Usijilinganishe na watu wanaopata support,wewe unapigana vita tofauti. Na niseme wazi👉kuanza upya hakumaanishi umerudi nyuma,mara nyingi ndiyo mwanzo wa mwelekeo sahihi✍️
Kuna siku jamaa yangu alimpata dem pale mbezi , dem anasema alikuwa anawasiliana na ndugu yake ila tangu alivyofika ndugu yake hampati kwenye simu . iyo ngoma inasoma saa 7 usiku . arafu alikuwa na mizigo kwaiyo yule jamaa bhna kwakuwa na yeye alikuwa bado anakaa kwa wazazi wake
Kuna mwanangu amenambia nanukuu "Umeona makampuni ya Azam haya, Kama wewe ni mkristo unahitaji connection kubwa sana kupata ajira Jamaa wana udini sana" Eti ni kweli?
Afrika hakuna kupoa, unazaliwa maisha ya tabu, unakuwa mtu mzima unaishi kwa tabu, unawaza ukufe upumzike, ..unakufa unageuka tena mzimu usaidie ukoo!!,..aaah mamiyakee😂💔.