Sabitlenmiş Tweet
BADGUY
33.4K posts

BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi

Ubalozi wa Marekani Nchini Tanzania, leo Mei 22 2026 umeeleza kuwa Serikali ya Marekani imemuwekea vikwazo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania (SACP), Faustine Jackson Mafwele, kwa madai ya kuhusika katika ukiukaji mkubwa wa haki za Binadamu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio, Marekani imesema inazo taarifa za kuaminika zinazomuhusisha Mafwele na vitendo vya ukandamizaji pamoja na ukiukaji wa haki za binadamu.
Aidha, Washington imesema uamuzi huo umetokana na taarifa za uchunguzi zinazohusiana na matukio ya mwaka 2025, ambapo Wanaharakati Agather Atuhaire wa Uganda pamoja na Boniface Mwangi wa Kenya walidai kutekwa, kushikiliwa na kufanyiwa vitendo vya ukatili walipokuwa Tanzania kufuatilia kesi ya Kiongozi wa upinzani Tundu Lissu.
Kutokana na hatua hiyo, Marekani imesema vikwazo hivyo ni sehemu ya juhudi zake za kuwawajibisha Watu wanaotuhumiwa kukandamiza haki za msingi za Wananchi ambapo chini ya vikwazo hivyo Mafwele hatoruhusiwa kuingia Marekani.
#MillardAyoUPDATES

Indonesia
BADGUY retweetledi

🥺🏆 Mikel Arteta: “It’s one of the best feelings I’ve ever had. I couldn’t watch City game. I could hear noises from inside, then my son opened the door, ran towards me…
…he was crying and he said ‘we are champions daddy!”.
@BeanymanSports 🎥
English
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi
BADGUY retweetledi






































