MagicFm Tanzania

4.7K posts

MagicFm Tanzania

MagicFm Tanzania

@magicfmtanzania

Magic FM is a 24 hours local radio station started in the year 2000. 92.9 FM Dar & Mtwara & Lindi | 101.7 FM Mwanza & Tanga | 98.5 FM Arusha | 93.3 FM Dodoma

Katılım Haziran 2016
43 Takip Edilen4.7K Takipçiler
MagicFm Tanzania
MagicFm Tanzania@magicfmtanzania·
#MtotoKwanza: Ni lipi jukumu la jamii katika Ulinzi wa Mtoto chini ya Miaka 8? Tuachie maoni yako hapa na tutayasoma hewani. Tusikilize kupitia 92.9 DSM, 101.7 Mwanza, 93.3 Dodoma.
MagicFm Tanzania tweet media
Indonesia
0
0
1
75
MagicFm Tanzania
MagicFm Tanzania@magicfmtanzania·
Unataka vya Kuchinja? au chaguo lako ni vya kuchimba? Karibu hapa Vegas, Mabibo tufturu pamoja lakini pia tuungane kumpata yule mpishi hodari na Fundi wa kupika futari kwa nishati safi. #MwanamkeFundi2025 #MkaliwaFutari
MagicFm Tanzania tweet mediaMagicFm Tanzania tweet media
Indonesia
0
0
1
37
MagicFm Tanzania
MagicFm Tanzania@magicfmtanzania·
Azimio la DSM linafanyiwa kazi leo, ajenda ni kumtoa Mwanamke kwenye matumizi ya mkaa wenye moshi na nishati zisizofaa, leo inapikwa futari kwa gesi na kabla ya jua kuzama pishi linakuwa mezani. Tupo hapa viwanja vya Vegas, Mabibo kwa ajili ya kumpata hodari wa pishi la futari.
MagicFm Tanzania tweet mediaMagicFm Tanzania tweet media
Indonesia
0
0
1
49
MagicFm Tanzania
MagicFm Tanzania@magicfmtanzania·
Timu ya Taifa ya Tanzania imepangwa Kundi C katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika - AFCON 2025 nchini Morocco. Tanzania itaumana na Uganda, Tunisia na Nigeria kwenye kundi hilo. Michuano hiyo ya 35 itaanza kuunguruma kuanzia Disemba 21 mwaka 2025 hadi Januari 18, 2026.
MagicFm Tanzania tweet mediaMagicFm Tanzania tweet media
Filipino
0
0
1
48
MagicFm Tanzania
MagicFm Tanzania@magicfmtanzania·
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, amemjibu aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, kuhusu kauli yake ya kubeza juhudi za Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).
MagicFm Tanzania tweet media
Indonesia
1
0
2
57
MagicFm Tanzania
MagicFm Tanzania@magicfmtanzania·
Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimewataka wanachama na wananchi kujitokeza kwa wingi kumpokea Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Mgombea wa Urais wa Zanzibar, ambaye anatarajiwa kuwasili Zanzibar kesho asubuhi akitokea mkoani Dodoma. #CCMZanzibar #DktHusseinAliMwinyi #UraisZanzibar
Indonesia
0
0
0
54
MagicFm Tanzania
MagicFm Tanzania@magicfmtanzania·
Mshambuliaji wa Yanga SC, Clement Mzize amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Disemba wa Ligi kuu ya NBC msimu wa mwaka 2024/2025. Mzize amewashinda Prince Dube wa Yanga SC na Feisal Salum wa Azam FC alioingia nao fainali katika mchakato wa Tuzo za mwezi. #Mzize #YangaSC
MagicFm Tanzania tweet media
Indonesia
0
0
1
106
MagicFm Tanzania
MagicFm Tanzania@magicfmtanzania·
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ametoa wito wa mshikamano ndani ya chama akihitimisha kampeni zake za kuwania tena nafasi ya uenyekiti wa taifa. "Uchaguzi huu haupaswi kuwa vita, unapaswa kuwa furaha ya ujenzi wa demokrasia," amesema.
MagicFm Tanzania tweet media
Indonesia
0
0
1
62
MagicFm Tanzania
MagicFm Tanzania@magicfmtanzania·
"Kwa haya mliyoeleza hapa,, ushindi wa CCM ni dhahiri. Ushindi wa CCM katika uchaguzi wa mwaka huu hauna mjadala. Wagombea watakuwepo wa vyama vya vingine lakini sioni namna wanavyoweza kuishinda CCM." - Mhe. Jakaya Kikwete, Rais Mstaafu wa awamu ya Nne.
Indonesia
0
0
0
49
MagicFm Tanzania
MagicFm Tanzania@magicfmtanzania·
Jumla ya wajumbe 1,924 wamefika katika Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi - CCM. Ni wajumbe wanne tu ndio wanaudhuru hawajahudhuria Kikao Mkutano huu. #MkutanoMkuuMaalumCCM2025
Indonesia
0
0
0
91