
Burudani za ufunguzi wa Main FM Cup 2024 zitahudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma (mgeni rasmi) Dkt. Rashid Chuachua katika uwanja wa Kawawa-Ujiji.
Ni Jumapili hii ya Oktoba 27, 2024 mechi ya ufunguzi ikizikutanisha Bangwe Beach Combine Sc dhidi ya Mlole FC.
#mainfmcup2024

Indonesia





