Hiphopnuer

3.4K posts

Hiphopnuer banner
Hiphopnuer

Hiphopnuer

@masterplan369

Hip-hop legacy

Katılım Şubat 2023
795 Takip Edilen593 Takipçiler
Rįdh
Rįdh@Ridh_One_1·
@zoetjesheeftX Umeandika upumbavu mwingi, ungewasikiliza watu kama Jim Beglin au Peter Drury wanavyitangaza mipira huko ulaya ungefuta huu upuuzi.
Indonesia
1
0
1
207
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️
Niseme kitu mimi kama Mdau wa mpira na Mteja wa Azam Tv kiukweli sivutiwi na baadhi ya mambo ya huyu Gharib Mzinga, ni mtangazaji mzuri ila ni kama ana uchawa Fulani. Unakuta Kwenye matangazo ya mechi zinazo wahusu Simba na Yanga Kila mara oooh baada ya tajiri GSM kuingia Yanga kama mwekezaji akawaleta wachezaji mara hivi mara vile, Sasa Yanga imekuwa ni Moja ya timu tishio barani afrika, hivyo hivyo Kwa upande wa Mo, Yani anawapa sifa Kila mechi. Sasa mambo kama hayo Yana husiana nini na utangazaji wa mechi? Au huwa Wana lipa wasifiwe? Mbona hayo mambo hatusikii kwenye mechi za nje matajiri wakisifiwa? Kwanini Tanzania Kila kitu kwetu iwe uchawa uchawa tu? Tangaza mechi kile kinacho onekana uwanjani hayo mengine waachiwe akina Alikamwe na Ahmed Ally. Unaungana na Mdau au ana mambo yake?
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️ tweet media
Indonesia
12
0
60
7K
kibaha_finest
kibaha_finest@kibaha_finest·
oya nani bado sijam-DM kule kwenye X-chart wanangu nataka niwe busy kule niachane na tsup
Filipino
13
15
40
2.4K
Alex debrizy👑
Alex debrizy👑@Alex_komba00·
Huenda wachezajii mpira ndo watu wanaoongoza kushiriki sana imani za kishirikina kweny kazi zao hapa duniani 😂🙌
Indonesia
15
33
66
964
Njiwapori 10k
Njiwapori 10k@njiwapori_·
Hiki kitendo cha hela kujikata yenyewe ili ikalipie bluetick kutoka kwenye Mastercard kimekaa kiwaki sana. Wataalamu mnisaidie ili ni achanishe.
Indonesia
20
25
91
4.2K
Njox
Njox@Njox16·
Course gani unatamani kujifunza ila ni kwa sababu ni ya kulipia unashindwa kusoma course, nitajie hapo chini nikupe link kama kutakuwa na uwezekano
Filipino
13
4
43
3.7K
SafariMlevi
SafariMlevi@safarimlevi·
Pale CCM nan anawez Fanya mdawalo na Mh Tundu Lisu ?
Indonesia
34
15
202
8.1K
Hiphopnuer
Hiphopnuer@masterplan369·
@Adventure_36 mkuu kwani wewe redio zote hua unasikiliza sangapi ? au wewe ndio yule Joshua turuka kila mahali upo🤣
Indonesia
0
0
2
519
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
NDARO yule mchekeshaji anasema kitaaluma ni mwalimu wa Hesabu, kigoma alikuwa anafundisha baada ya kutangazwa mashindano ya CHEKA TU akaaga Kigoma anakuja Dar kufundisha kumbe kuchekesha. Baadae ndugu zake wakaanza kumuona kwenye TV ndo ikawa imetoka hiyo. Amesema ana GPA 4.6
Indonesia
8
26
227
9.3K
Hiphopnuer
Hiphopnuer@masterplan369·
@TBoundBuses kudadeki halafu hapa ni tabata segerea asbhi nilipita hapa kuomba kibarua
Filipino
0
0
4
1K
Tanzania Bound Buses
Tanzania Bound Buses@TBoundBuses·
"Unakimbia kusoma unasema bora nikabebe zegeee...unakutana na wabeba zege kwenda gorofani ni magari sio watu tena 🤣🤣🤣" Mnazi
Tanzania Bound Buses tweet media
Indonesia
34
67
984
40.7K
Hiphopnuer
Hiphopnuer@masterplan369·
@RKimbawala @Aruatani kwenye alubum yao ya funga kazi kuna dude linaitwa time 4 action ni balaa sana hilo dude
Filipino
0
0
3
49
Chief Kimbawala 🌍🇹🇿
Chief Kimbawala 🌍🇹🇿@RKimbawala·
@Aruatani Alituongoza na kutuburudisha watanzania wengi sana. Prof Jay, na kundi lake la Hard blasters walibadili mitazamo ya watu wengi na watanzania waliacha kuamini kuwa Bongofleva ni muziki wa kihuni baada ya kutoa ngoma kali ya CHEMSHA BONGO,Ngoma bado inaishi hadi leo🙌
Indonesia
1
1
38
6.3K
MAESTRO 🎭
MAESTRO 🎭@maestrochance_·
Ukiacha rafiki wa kweli 🎶 ni ngoma gani nyingine unaijua ya huyu jamaa 🕊
MAESTRO 🎭 tweet media
Indonesia
40
20
105
4K
Hiphopnuer
Hiphopnuer@masterplan369·
@Vitabu247 umeniacha na hiyo line ya mwisho sijui umemanisha nini
Indonesia
1
0
1
45
Learners Bookshop
Learners Bookshop@Vitabu247·
Kaa mbali na hivi vitabu kama hutaki kuingia gharama ya kusoma vitabu maisha yako yote. 1. RichDad Poordad 2. Atomic habits 3. Richest man in Babylon 4. Psychology of Money. Kwanza, humo ndani umasikini umeshushwa thamani sana. Pili, utafutaji wa maarifa kama sehemu ya maisha yako umepewa hadhi ya juu sana Tatu, hivyo vitabu vinakuonesha una uwezo wa kubadilika na kubadilisha maisha na vinakupa namna ya kupita Nne, Utajiri umefanywa kuwa jambo jepesi kiasi kwamba kila mtu anaweza kuufikia. Kwanini nimesema ukae navyo mbali ni kwa sababu maarifa ni gharama lakini gharama kubwa ipo kuuishi ujinga.
Learners Bookshop tweet mediaLearners Bookshop tweet media
Indonesia
4
15
78
3.4K
LI BRO STIMA ⚡
LI BRO STIMA ⚡@JosmanStima·
@Happinesmlay Uyo alie juu ya feni si amlukie kichwani amkanyage? Au hii ni katuni za wanaume wa kinondoni
Indonesia
2
0
0
183
SHIGGA_.
SHIGGA_.@shiggaJr·
🧶WAZITO WAWILI WALIKUTA KWENYE 1&2 MKALICHURA Vs MKALIJULIP Joined 2025-2026👇🏿😎
SHIGGA_. tweet mediaSHIGGA_. tweet media
Filipino
25
25
83
5.3K