Abuu Zayd

15.7K posts

Abuu Zayd

Abuu Zayd

@mazimba_

Obsessed with technology📉 #Cybersecurity

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mayıs 2023
683 Takip Edilen700 Takipçiler
Abuu Zayd retweetledi
Abuu Rumaitha
Abuu Rumaitha@wabukadan·
Uhai wa moyo ni elimu ya dini.
Indonesia
0
7
27
551
Dickson Henry
Dickson Henry@DicksonHen7900·
Hata siku moja huwezi kulinganisha kati ya mtu anaye mwamini Yesu na mtu asiye mwamini Yesu. Hatakama wanalingana kiwango cha Elimu, mtu aliye mwamini Yesu anabaki kuwa tiba na uahi wa ulimwengu. Bali mtu asiye okoka anaweza kuwa janga la taifa wakati wowote, hatakama ana Elimu.
Indonesia
7
6
54
1.1K
Abuu Zayd retweetledi
Abaa Hannan
Abaa Hannan@_AbuuHannan·
Kuyaanza Maisha Ya Ndoa Kwa Kumuasi Mola Wa Viumbe | Sheikh Dr. Muhammad Saeed Raslaan [Allaah Amhifadhi]
Indonesia
0
7
20
308
Abuu Zayd retweetledi
RASHIDI ADINANI
RASHIDI ADINANI@Rasheed_Atm·
Moja ya tofauti ya wazi kabisa kati ya Mwanamke wa Kiislamu na wale Wanawake walio amua kuikufuru Dini sahihi ni Mavazi Mwanamke wa Kiislamu anavaa mavazi yenye stara na heshima lakini wao wanatembea uchi kama wanyama au nusu uchi Uislamu ni Dini ya Haki.
RASHIDI ADINANI tweet media
Indonesia
0
3
16
371
Abuu Zayd retweetledi
Abuu Rumaitha
Abuu Rumaitha@wabukadan·
Kuvaa kanzu ni kumuiga yule aliyekuwa mwongozo wetu; si vazi la kibinafsi, bali ni barua ya upendo kwa Sunnah iliyosainiwa kwa nyuzi za heshima. Pia ni vazi la utulivu katika ulimwengu wa haraka.
Indonesia
0
9
47
722
Abuu Zayd retweetledi
it's__me🤍💫
it's__me🤍💫@__livelihood_·
Jizoezee Istighfar. Istighfar hufuta dhambi zako. Hukupa baraka katika maisha, afya, utajiri na mambo yako kuwa rahisi.🤍
Indonesia
1
5
30
337
Abuu Zayd retweetledi
Abuu Rumaitha
Abuu Rumaitha@wabukadan·
Watu wa Sunnah wanapata kinga katika fitna kwa kushikilia manhaj ya Salaf na kuwa na subra. Allah akupe subra na nuru ya manhaj salafi katika zama hizi.
Indonesia
3
10
46
768
Abuu Zayd retweetledi
al-maghribī
al-maghribī@abulhusayn01·
[Kidhibiti Cha Kujua Ni Yupi Mtu Anaitiqadi Mbovu Na Yupi Mwenye Itiqadi Sahihi] Anasema Ibn 'Uthaymin [Allah Amrehem]; Katika Maneno Ambayo Ninayafupisha; Itiqadi Sahihi: Ni Ile Ambayo Imeafikiana Na Yale Aliyokuwa Nayo Mtume [Swala Na Salaam Ziwe Juu Yake] Na Maswahaba Zake
Indonesia
1
6
13
442
Abuu Zayd retweetledi
rajab
rajab@iam_rajabu·
“Ewe Daudi! Hakika Sisi tumekufanya wewe uwe Khalifa katika nchi. Basi wahukumu watu kwa haki, wala usifuate matamanio yakakupoteza kwenye Njia ya Mwenyezi Mungu. Hakika wanao ipotea Njia ya Mwenyezi Mungu wakaiacha, watapata adhabu kali kwa sababu ya kusahau kwao Siku ya Hisabu.” (38:26 Qur'an)
Indonesia
0
1
7
95
Abuu Zayd retweetledi
Abuu Rumaitha
Abuu Rumaitha@wabukadan·
Manhaj Salafi ni kama safina ya Nuh (Alaihis Salaam), yeyote atakayepanda ataokolewa na yeyote asiyepanda atazama.
Filipino
3
5
19
688
Abuu Zayd retweetledi
Msouth small trader Herb’s
Msouth small trader Herb’s@msouthherbs·
SIKU NYINGINE TENA YA KUREKEBISHA TULIPOKOSEA! NA KAMA UNASWAL HALI YAKUWA HUJUI NAMNA SAHIHI YAA KUSWALI BASI MUDA NDO HUU WA KUSOMA NA ALHAMDULILLAH MADAARIS KILA KONA ZIPO NA ILMU NI BURE TU! TUTAKOSA UDHRU MBELE ZA ALLAAH HIVYO TUSOME NDUGU ZANGU KADHAALIKA TUSOME SANA AQIDA
Indonesia
0
2
11
142
Abuu Zayd retweetledi
ابو سمية
ابو سمية@AbuuSumayyah10·
Huyu ndio Imamu wa Makkah aliyekuja Tanzania wiki hii" Sheikh Badru Bin Mohammad Alturky Allah amuhifadhi-Mwenye umri wa miaka 41 Alizaliwa Tar 19/08/1984M_22/11/1404H katika mji wa Buraydah Nchini Saudia Arabia" Sheikh Badru Bin Mohammad Alturky ni Imamu,khatibu na msomi wa quran maarufu duniani-Allah amuhifadhi Alihifadhi quran katika umri mdogo kisha akasoma elimu ya kisheria,ambapo ni mhitimu wa chuo kikuu cha Imam Mohammad bin Suud cha kiislamu kilichopo Riyadh Saudi Arabia" Mwaka 2024 aliteuliwa kuwa Imam kati ya maimamu wa msikiti mtukufu wa makkah akiwa na umri wa miaka 39" Sheikh Badru Bin Mohammad anajulikana kwa sauti yake tamu na usulubu wa kipekee katika usomaji wa quran" Amekuja Tanzania wiki hii-04/2026 ikiwa ni ziara yake ya kwanza Tanzania" Akiwa ni kati ya wageni waalikwa katika mashindano ya kimataifa ya quran tukufu yaliyofanyika hapa Tanzania wiki hii" Baadhi ya watu huuliza kwa nini Sheikh amepokelewa na masufi kwani yeye ni mtu wa Bidaa!!!? Jawabu ni kuwa Sheikh Allah amuhifadhi ni Salafiy Suniy" ama kufikia kwake kwa masufi ni kwa sababu amekuja kiserikali-yan amekuja kwa dhamana ya serikali ambayo mkono wake ni bakwata'' hivo hakuja kwa wito wa mtu binafs. Jambo la kufurahisha ni kuwa Sheikh badru Bin Mohammad atatembelea Masjid Omar bin khattab,uliyopo jangwani kariakoo-hapo Kesho Tar 06/04/2026" Saa sita mchana Tunawahimiza waislamu kuhudhuria kwa wingi kwenda kusikiliza nasaha za sheikh Mgeni wetu Allah amuhifadhi" Imeandaliwa na: Mohammadi Sungi
Indonesia
1
6
19
552
Abuu Zayd retweetledi
RASHIDI ADINANI
RASHIDI ADINANI@Rasheed_Atm·
Watu wote walio pita Skuli wanajua hili Jambo Hakuna mahala vijana wanaharibika tabia na maadili hususa ni watoto wa Kike kama Shule na Chuo na Kazini..!!!!!!!!! Tuna sehemu mbili tu za Maadili ni nyumbani na madrasa basi hivyo kupanga ni kuchagua.
Indonesia
2
1
12
263
Abuu Zayd retweetledi
RASHIDI ADINANI
RASHIDI ADINANI@Rasheed_Atm·
Ndugu Muislamu kuwa very proud na Uislamu wako hakika hakuna ne'ema kubwa kama Uislamu tena juu ya Sunna na Njia ya Maswahaba Hebu jiulize, Mtume swala na salamu ziwe juu yake anasema Rakaa mbili za kabliya za Sunna ni bora kuliko dunia na vilivyomo!!!!! Uislamu ni ne'ema.
Indonesia
1
7
30
312
Abuu Zayd retweetledi
RASHIDI ADINANI
RASHIDI ADINANI@Rasheed_Atm·
Unazungumziaje Umoja wa Waislamu hawa ambao SWALA TANO tu ambayo ndio nguzo kuu ya Uislamu wengi hawajaisimamisha??? Au hii nguzo nayo Ina khilafu??? Unazungumziaje Nusra ya Umma wa Kiislamu kwa Waislamu hawa ambao hawana Elimu ya Dini wala hawana mpango na hima ya Kusoma???
Indonesia
2
2
11
309
Abuu Zayd retweetledi
rajab
rajab@iam_rajabu·
Sahihi Bukhari:391 Amepokea Anas bin Malik(Allah amridhie) Mtume wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) alisema: “Yeyote anayeswali kama tunavyoswali, anaelekea Qibla yetu, na anakula wanyama tuliowachinja, basi huyo ni Muislamu na yuko chini ya ulinzi wa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake. Basi msimsaliti Mwenyezi Mungu kwa kuwasaliti wale walio chini ya ulinzi Wake.”
0
4
8
212
Abuu Zayd retweetledi
RASHIDI ADINANI
RASHIDI ADINANI@Rasheed_Atm·
Dalili nne za Kiama ambazo mdogo mdogo zinaendelea kushika Kasi kwenye Jamii na Dunia: ① Kuondoshwa Elimu ya Dini ② Kukithiri kwa Ujinga wa Dini ③ Unywaji Pombe kuongezeka ④ Kukithiri kwa Zinaa Tunamuomba Allāh atukinge na Fitna hizi Sisi na Vizazi vyetu ni hatari.
Indonesia
0
6
32
491
Abuu Zayd retweetledi
rajab
rajab@iam_rajabu·
“MWENYEZI MUNGU hapendi uovu uenezwe kwa maneno ila kwa mwenye kudhulumiwa. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua.” (4:148 Qur'an)
HT
0
4
8
118
Abuu Zayd retweetledi
y
y@olduserr0·
May Allah bless the dawah Salafiyyah
Indonesia
2
9
60
2K