Mbeya University of Science and Technology

362 posts

Mbeya University of Science and Technology banner
Mbeya University of Science and Technology

Mbeya University of Science and Technology

@mbeyauniversity

Mbeya University of Science and Technology (MUST) is a public University located in Mbeya Region, in the Southern highlands of Tanzania.

Mbeya, Tanzania Katılım Haziran 2022
7 Takip Edilen387 Takipçiler
Mbeya University of Science and Technology
MUST inajivunia Ms. Catherine Boniphace Nkumingi, mhitimu wa Shahada ya Uhandisi wa Ujenzi (Bachelor of Civil Engineering), kwa kutunukiwa tuzo ya mwanafunzi bora katika masomo ya Uzamili ya Uhandisi katika chuo cha IIT Madras Huu ni uthibitisho wa ubora wetu #MUST
Mbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet media
Filipino
0
1
2
119
Mbeya University of Science and Technology
Uongozi wa Chuo unapenda kuwajulisha wananchi wote wenye sifa kuwa kuna nafasi za ajira za mkataba. Maelezo ya kina yanapatikana kupitia tovuti ya Chuo must.ac.tz. Waombaji wanakaribishwa kuwasilisha maombi yao kwa kuzingatia vigezo vilivyobainishwa.
Mbeya University of Science and Technology tweet media
Indonesia
0
0
0
46
Mbeya University of Science and Technology
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST), Prof. Aloys N. Mvuma, amepokea rasmi majengo yaliyokarabatiwa katika Kampasi ya Mtwara, ikiwa ni hatua muhimu katika kuimarisha mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji chuoni.
Mbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet media
Indonesia
0
0
0
96
Mbeya University of Science and Technology
Can your research become an innovation? Do you need support to turn your dissertation into a real-world solution? We are here to assist you. Share with us...
Mbeya University of Science and Technology tweet media
English
0
0
0
24
Mbeya University of Science and Technology
Katika Siku hii Muhimu, Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya tutaendelea kuthamini na kutambua mchango mkubwa wa wanawake katika kufanikisha malengo ya taasisi na taifa kwa ujumla kupitia taaluma, utafiti na huduma kwa jamii.
Mbeya University of Science and Technology tweet media
Indonesia
0
0
1
12
Mbeya University of Science and Technology
MUST hosted its first Professorial Inaugural Lecture (PIL), delivered by Prof. Godliving Mtui on “Trends in Biotechnology in Tanzania.” He highlighted the history of biotechnology, national policies, and its impact across agriculture, health, industry, environment, and ICT.
Mbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet media
English
0
0
2
79
Mbeya University of Science and Technology
Timu ya wataalamu kutoka TCU, DarTU na MUST imefanya semina ya mrejesho leo tarehe 24 Oktoba 2025 ikiwa ni sehemu ya Mradi wa HAQAA3 unaolenga kuboresha mifumo ya udhibiti na uhakiki wa ubora wa elimu ya juu barani Afrika. Semina hiyo imeongozwa na mabalozi wa HAQAA3 kutoka TCU, DarTU na MUST, ambapo viongozi na wadau mbalimbali wa chuo walijadili matokeo ya awali ya utafiti uliofanywa kwa wakuu wa idara, wakurugenzi na viongozi wa wanafunzi. Washiriki wamejengewa uelewa wa kina kuhusu African Standards and Guidelines for Quality Assurance (ASG-QA) na wameahidi kuendelea kuimarisha utamaduni wa kujitathmini na kuboresha ubora wa elimu MUST. MUST itaendelea kushirikiana na wadau wake kusimamia kwa ufanisi utekelezaji wa mapendekezo yaliyotolewa ili kuendelea kuwa mfano wa taasisi bora katika ubora wa elimu ya juu.
Mbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet media
Indonesia
0
0
3
53
Mbeya University of Science and Technology
Timu ya wataalamu kutoka TCU, DarTU na MUST imefanya semina ya mrejesho leo tarehe 24 Oktoba 2025 ikiwa ni sehemu ya Mradi wa HAQAA3 unaolenga kuboresha mifumo ya udhibiti na uhakiki wa ubora wa elimu ya juu barani Afrika. Semina hiyo imeongozwa na mabalozi wa HAQAA3 kutoka TCU, DarTU na MUST, ambapo viongozi na wadau mbalimbali wa chuo walijadili matokeo ya awali ya utafiti uliofanywa kwa wakuu wa idara, wakurugenzi na viongozi wa wanafunzi. Washiriki wamejengewa uelewa wa kina kuhusu African Standards and Guidelines for Quality Assurance (ASG-QA) na wameahidi kuendelea kuimarisha utamaduni wa kujitathmini na kuboresha ubora wa elimu MUST. MUST itaendelea kushirikiana na wadau wake kusimamia kwa ufanisi utekelezaji wa mapendekezo yaliyotolewa ili kuendelea kuwa mfano wa taasisi bora katika ubora wa elimu ya juu.
Mbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet media
Indonesia
0
1
3
52
Mbeya University of Science and Technology
Leo Chuo cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kimefanya kikao cha wadau wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET). Mradi ambao unaendelea kutekelezwa hapa chuoni chini ya usimamizi wa Prof. Aloys N. Mvuma, MakamU Mkuu wa Chuo. Kikao hicho kimejumuisha wadau mbalimbali wakiwemo wataalamu kutoka OSHA, Ofisi ya Kazi ya Mkoa, Jeshi la Polisi, Zimamoto, viongozi wa serikali za mitaa, wakuu wa shule jirani na wawakilishi wa Serikali ya Wanafunzi. Akifungua kikao hicho, Kaimu Naibu Makamu Mkuu wa Chuo; Utawala, Mipango na Fedha, Dkt. Juma Ally, amesisitiza kuwa mradi wa HEET utakuwa na mchango mkubwa kwa jamii na taifa kwa ujumla kupitia miundombinu bora na vifaa vya kisasa vitakavyoboresha na kuongeza ufanisi wa ufundishaji na ujifunzaji. Baada ya majadiliano, wadau hao walitembelea majengo ya mradi, maabara na karakana za kisasa, wakionesha kuridhishwa na ubora wa kazi iliyofanyika huku wengi wao wakisema hakika vifaa na miundombinu hiyo inasadifu thamani ya pesa iliyotumika na inavutia kurudi tena shule. Hata hivyo, hatua iliyofikiwa sasa, Mkandarasi anajiandaa kukabidhi mradi ili Chuo kiweze kuanza kutumia miundombinu hiyo ifikapo mwanzoni mwa mwezi Novemba 2025.
Mbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet media
Indonesia
0
0
1
59
Mbeya University of Science and Technology
"Give them the education which will train their heads to refuse the wretchedness of mind and skill their hands to develop the resources of Africa." Courtesy of Mwl. J.K Nyerere
Mbeya University of Science and Technology tweet media
English
0
0
0
47
Mbeya University of Science and Technology
Dear Apllicant, Your future will be best shaped by our amazing facilities, teaching factories, labs, and experienced lecturers. You're warmly welcome For inquiries: +255672994772, +255739349139
English
0
0
0
27
Mbeya University of Science and Technology
Did you miss the previous application windows? Here we go... The 3rd Application window opens on 6th October to 10th October 2025. MUST and its campuses wish to welcome you on board. This is your Golden chance to join Mbeya University of Science and Technology.
Mbeya University of Science and Technology tweet media
English
0
0
1
67
Mbeya University of Science and Technology
Baraza, Menejimenti, Wafanyakazi na Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) tunaungana na Watanzania wote kuwatakia heri wakulima katika maadhimisho ya siku hii muhimu ya Nane Nane 2025.
Mbeya University of Science and Technology tweet media
Filipino
0
0
0
68
Mbeya University of Science and Technology
We acknowledge and congratulate our fourth-year Bachelor of Architectural Technology student, Frida Mtewele, for securing an international exchange opportunity to Manipal University Jaipur in India. Her participation highlights the talent and quality nurtured at MUST
Mbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet mediaMbeya University of Science and Technology tweet media
English
2
1
5
178
Mbeya University of Science and Technology
ya Taifa. Naye Mkurugenzi wa MCB Mhandisi Ivor Ndimbo amesema wao kama Washauri elekezi watahakikisha wanasimamia kikamilifu mradi huo ili kufikiwa malengo yaliyokusudiwa.
Indonesia
0
0
3
549
Mbeya University of Science and Technology
ya kwa taifa. Katika Uzinduzi huo Prof. Zacharia Katambara kutoka chuo kikuu cha Must akitoa maelezo juu ya mradi huo kwa mhe. Makamu wa rais amesema mradi huo unategémewa kua msaada kwa taifa kwasababu utapunguza changamoto ya umeme katika taifa kwani unaelekezwa katika grid
Indonesia
1
0
3
618