Sabitlenmiş Tweet
mbise
15.7K posts

mbise
@mbisee
RULE OF LAWS💥💣 VOICE FOR VOICELESS💥💣 JUSTICE🔥JUSTICE🔥JUSTICE🔥 FREEDOM OF SPEECH🎤🔊📢 HATER IF HATE♨️♨️♨️
Arusha, Tanzania Katılım Mayıs 2012
1.3K Takip Edilen1.6K Takipçiler
mbise retweetledi

Kumbe WAMEPOTEZA watalii baada ya MO29.
Kwamba RIO ndio amekuja kusafisha damu za ndugu zetu mlizomwaga.
Nyie mpo bize na kuendeleza UTEKAJI kila kona ya nchi.
Hatimae JOYCE WOWOWO limeropoka siri za kambi. Sasa huyo RIO tutanyoooa nae kwenye page zake atajuta kuwa na ushirika na WACHAWI.
TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Filipino
mbise retweetledi
mbise retweetledi
mbise retweetledi
mbise retweetledi
mbise retweetledi

Hivi DPP Mwakitalu
Samia alikuahidi nini? Uteuzi!? Kuwa jaji? Wa wapi? Hapahapa Tanzania? Katika nchi ya Gen Z 🇹🇿 ? Achana na kesi ya Tundu Lissu!
Unafikiri kweli utakuwa na kazi siku zijazo katika nchi hii yetu ya Gen Z? Jipime! Jenga future yako sasa na futa hii kesi #FreeTunduLissu


Indonesia
mbise retweetledi

mbise retweetledi

Tangu upande wa Jamhuri ukimbilie Mahakama ya Rufaa na kesi ya msingi kusimamishwa (Februari 24, 2026) hadi leo (Mei 22, 2026) jumla zimepita siku 87.
Tunawauliza Serikali, hamtaki kuendelea na kesi yenu dhidi ya Tundu Lissu?
Ushahidi wenu hautoshelezi? Au Vielelezo vya kuthibitisha kesi yenu vimeyeyuka?
Tunawauliza @judiciarytz hamtaki kesi dhidi ya Tundu Lissu iendelee?
Kwanini tarehe haipangwi baada ya siku 87 kupita?
Majaji wa mahakama ya rufaa hawapo?
Kama hamtaki kuendelea na kesi kwa njia za mahakama, muachieni huru Tundu Antiphas Lissu.
Kama mnataka kuendelea na kesi yenu, pangeni tarehe haraka sana.
Nje na hapo, mnaulazimisha UMMA kusimama na kumdai Tundu Antiphas Lissu.
CHADEMA inamtaka kiongozi wa chama uraiani.
Tunasisitiza #FreeTunduALissu

Indonesia
mbise retweetledi

We will never stop demanding #FreeTunduLissu
Nyie endeleeni na huu upumbavu wenu mkijiona mabingwa! Ila kwa sasa mnatakiwa kujipanga kwa future without CCM
Mwachieni mapema Rais ajaye Tundu Lissu!
#FreeTunduLissu NOW!

Filipino
mbise retweetledi
mbise retweetledi
mbise retweetledi
mbise retweetledi

Kazi ni Moja tu.
Kuhakikisha wanamwachilia Mh- @TunduALissu bila masharti yoyote na akiwa na Afya njema.
#FreeTunduLissu
#FreeTunduLissu

Indonesia
mbise retweetledi
mbise retweetledi

‼️#BreakingNews‼️
Jana usiku tarehe 20 Mei 2026, Msaidi wa Mwenyekiti wa Chama Taifa David Jumbe alitekwa na baadae alifanikiwa kuwatoroka watekaji akiwa na pingu mkononi baada ya Bodaboda kufukuzia gari la watekaji.
Ameumizwa sana.




Indonesia
mbise retweetledi
mbise retweetledi
mbise retweetledi

Tundu A.M Lissu alikamatwa akiwa Mbinga, Ruvuma Aprili 9, 2025. Tangu tarehe hiyo ya kukamatwa (Aprili 9, 2025) hadi leo (Mei 20, 2026), zimepita siku 406.
Februari 24, 2026, Mahakama Kuu ya Tanzania (Masjala Ndogo ya Dar es Salaam) iliahirisha kesi hiyo kwa muda usiojulikana (sine die). Shauri la msingi likasimama.
Hatua hii ilikuja baada ya upande wa Jamhuri kuwasilisha shauri la mapitio/rufaa katika Mahakama ya Rufani ya Tanzania kupinga uamuzi mdogo wa Mahakama Kuu.
Tangu upande wa Jamhuri ukimbilie Mahakama ya Rufaa na kesi ya msingi kusimamishwa (Februari 24, 2026) hadi leo (Mei 20, 2026), jumla zimepita siku 85.
Tunawauliza Serikali, hamtaki kuendelea na kesi yenu dhidi ya Tundu Lissu? Ushahidi wenu hautoshelezi? Vielelezo vya kuthibitisha kesi yanu vimeyeyuka?
Tunawauliza @judiciarytz, hamtaki kesi dhidi ya Tundu Lissu iendelee? Kwanini tarehe haipangwi baada ya siku 85 kupita? Majaji wa mahakama ya rufaa hawapo?
Kama hamtaki kuendelea na kesi kwa njia za mahakama, muachieni huru Tundu A.M Lissu. Kama mnataka kuendelea na kesi yenu, pangeni tarehe haraka sana.
Vinginevyo, mnaulazimisha UMMA kusimama na kumdai Tundu A.M Lissu. CHADEMA tunamtaka kiongozi wa chama chetu, uraiani. Tunasisitiza, #FreeTunduLissu.

Indonesia
mbise retweetledi
mbise retweetledi




























