STREET_MKONGO24
3.4K posts

STREET_MKONGO24
@mkongo_24_
Network Marketing internet service agent graphic designer DM for reliable service or business opportunity
Upper West, Ghana Katılım Aralık 2022
911 Takip Edilen514 Takipçiler

#TajiriLaKihaya
Muda huu Wanaharakati UCHWARA wanafuatilia DERBY YA KARIAKOO kwa AZAM MAX…
Alafu mpira ukiisha watakuja na zile za…
“Tulikubaliana Tusishabikie mpira wa nyumbani…”
Humu ndani kuna michezo saana😂😅🙌🏽
Indonesia

Ni kweli wote tunakubaliana tukio la uchochezi chini ya Chadema lilitokea na watu wameuawa chini ya vyombo vya usalama, Lakini ni ukweli pia baadhi ya video na picha nyingi zilitengenezewa na studio ya Nairobi chini Maria na genge lake… hawa wanatakiwa kunyongwa hadharani ili iwe fundisho kwa kizazi hiki na kijacho
Peter Madeleka@PMadeleka
Kama kuna mtu AMEELEWA “Ufafanuzi” wa TUME hapo 👇, naomba aje “INBOX”.
Indonesia

Ndugu @HecheJohn zunguka kidogo duniani au jitahidi sana kusoma. Hivi vitu vidogo vinakuabisha. Unalaumu kukaa kwenye foleni saa 1 tena kwenye barabara ambayo Serikali ya Dkt Samia imeamua kuifanyia ukarabati ili uweze kupita kwa urahisi na haraka,hivi unajua kwamba hata hao unaopenda kuwatolea mfano nchi zao ndio zinaongoza kwa foleni kubwa? angalia Uingereza, watu wanatembea dakika 36 kwa Km 10nenda Toronto, Canada au uliza watu wanaoishi huko huwa wanakaa kwenye foleni mpaka wanaamua kupaki magari na kunywa bia kusubiri foleni ipungue.
Punguza aibu ndogondogo kama hizi, unajidhalilisha na kuonekana mshamba.


Indonesia

Ni mwalimu wangu, kumbe alikuwa Dean kabisa! Akiwa darasani alikuwa mwalimu mzuri ila sasa baada ya kutolewa jalalani yakaja ya muheshimiwa Mungu na maujinga mengine nikajisemea “Gudubai” mateso tunayapata sisi
Munisamehe nilikuwa kijana mudogo 😂😂😂😂
@Sativa255 @TitoMagoti

Indonesia

@MsigwaGerson Wewe ndo nyoka,nyoka hajawahi mshinda nguchiro
Indonesia

Kuna nguchiro wamechapisha namba yangu binafsi ya simu mitandaoni na kuanza kuhamasisha watu wanishambulie. Nataka kuwaambia huo ni upuuzi na ni uvunjaji wa Sheria.
Ukiondoa watu wachache sana wanatuma meseji za hovyo, asilimia 99 wananitumia meseji za kunitia moyo na kueleza utayari wao wa kuilinda nchi yao dhidi wenye nia ovu. Wale wanaoeleza changamoto za ajira na mitaji ninawapa majibu na nafikisha kwa wahusika zifanyiwe kazi.
Nguchiro na chawa wa nguchiro acheni kupoteza muda na rasilimali mkiporomosha matusi, tulieni na tuungane kujenga na kulinda nchi yetu.
Indonesia

@ikulumawasliano Tuonyesheni waliowalipa🤚
Tutaaminije kama ni kweli
Polski

@MkulimaKante @elonmusk Umedoji na kijogoo chako pembeni
😂😂😂
Slovenščina

Kwa sasa @elonmusk amesema thamani ya maokoto itakuwa ina uzito zaidi endapo creators watakuwa wanaweka video zao halisi.
Sasa leo napandisha video yangu 2018 huko nikiwa nimedoji kazi za makamanda mbalimbali nikiwa kuruti wa mujibu wa sheria .
Sasa the good thing ni kwamba hii video ilikuja kutrend sana kwa wapopo wakifananisha mgonga ulimbo na mchezaji wa chelsea Ng'olo Kante📌
Indonesia




















