Sabitlenmiş Tweet

Inauma kuona kijana amenusurika kufa kwa kupigwa risasi, lakini maswali bado ni mengi kuliko majibu. Uchunguzi umefikia wapi? Ukweli utawekwa wazi lini? Wananchi tunahitaji uwazi, uwajibikaji na haki. Ukimya hauondoi maswali. #Haki #Uwajibikaji
Indonesia

