Chuma Mohamed M

229 posts

Chuma Mohamed M banner
Chuma Mohamed M

Chuma Mohamed M

@mo_chumatz

Business

Beijing Katılım Nisan 2014
43 Takip Edilen56 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
The Most Powerful Piece of Advice, Starting with Myself. Your Five daily Prayers, Hold on to them, Work on them, Become Strong on Them, and See the Miracles That Start Happening In Your Life.
English
0
0
0
116
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 30 “Kila nafsi itaonja mauti. Na hakika mtalipwa ujira wenu kikamilifu Siku ya Kiyama…” Aal-Imran (3:185)
Indonesia
0
0
0
8
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 29 “Ili mkamilishe hesabu ya siku na mumtukuze Mwenyezi Mungu kwa kuwa amekuongozeni, na ili mpate kushukuru.” (Surat Al-Baqarah 2:185)
Indonesia
0
0
0
10
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 27 Allahumma inni as’aluka ‘ilman naafi‘an wa rizqan tayyiban wa ‘amalan mutaqabbalan. Maana: Ewe Mwenyezi Mungu, nakuomba elimu yenye manufaa, riziki njema, na matendo yanayokubaliwa.
Indonesia
0
0
0
5
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 26 Rabbi ighfir li warhamni wahdini wa ‘afini warzuqni. Maana: Mola wangu, nisamehe, nirehemu, niongoze, unipe afya njema, na uniruzuku.
Indonesia
0
0
0
17
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhani 25 1. Qiyamul-Layl (Tahajjud) 2. Kusoma Qur’an 3. Kufanya Dua nyingi 4. Kusoma Dua ya Laylatul Qadr 5. Kufanya Dhikr 6. Kutubu kwa dhati 7. Kutoa Sadaka 8. Kuamsha familia kwa ibada 9. Kufanya Iʿtikaf (kama inawezekana) 10. Kuomba kwa unyenyekevu na matumaini
Indonesia
0
0
0
76
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhani 23 Allahumma ya Muqallibal qulub, thabbit qalbi ‘ala dinik. Maana: Ewe Mgeuzaji wa nyoyo, thibitisha moyo wangu juu ya dini Yako.
Indonesia
0
0
0
12
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 21 Allahumma ihdini wa thabbit imani, waj‘al qalbi mutma’inan bidhikrika. Maana kwa Kiswahili Ewe Mwenyezi Mungu, niongoze, uimarishe imani yangu, na ujaalie moyo wangu utulie kwa kumkumbuka Wewe.
Indonesia
0
0
0
15
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 20 Allahumma innaka ‘afuwwun tuhibbul ‘afwa fa‘fu ‘anni. Maana kwa Kiswahili: Ewe Mwenyezi Mungu, hakika Wewe ni Mwingi wa kusamehe na unapenda kusamehe, basi nisamehe.
Indonesia
0
0
0
16
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 19 “Na wanawake wanayo haki sawa na zile zinazostahili kwa wanaume kwa yaliyojema, lakini wanaume wana nafasi juu yao. Na Allah ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima.” Surah Al-Baqarah (2:228)
Indonesia
0
0
0
16
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhani 18 “Hakika kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu nyoyo hutulia.” (Qur’an 13:28)
Indonesia
0
0
0
15
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 16 Rabbi inni limā anzalta ilayya min khayrin faqīr. Maana yake: Mola wangu! Hakika mimi ni mhitaji wa kheri yoyote utakayoniteremshia. (Surah Al-Qasas 28:24).
Indonesia
0
0
0
12
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 15 Allahumma ballighnā laylatal-qadr, warzuqnā fīhā al-ikhlāṣ wal-qabūl wal-ghufrān. Maana: Ewe Mwenyezi Mungu, tufikishe Laylatul Qadr, na utujaalie ndani yake ikhlasi, kukubaliwa na maghfira.
Română
0
0
0
21
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 14 Astaghfirullaahal-‘Adhiim wa atuubu ilayh. Maana: “Namuomba msamaha Allah Mtukufu na natubu Kwake.”
Indonesia
0
0
0
13
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 13 Mtume Muhammad (S.A.W) alisema: “Mwenye kumsamehe mwenzake, Mwenyezi Mungu humzidishia heshima.” (Imepokewa na Muslim) Tusameheane Ili Kupata Radhi za ALLAH(S.W) 🙏
HT
0
0
0
12
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 12 Surah Aal-Imran 3:16 “Rabbanaa innanaa aamannaa faghfir lanaa dhunuubanaa wa qinaa ‘adhaaban-naar.” Maana: Mola wetu, hakika sisi tumeamini; basi tusamehe madhambi yetu na utulinde na adhabu ya Moto.
हिन्दी
0
0
0
13
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 11 Tujitahidi Kuomba Msamaha🙏 Surah Al-A‘raf 7:23 “Rabbanaa dhalamnaa anfusanaa wa illam taghfir lanaa wa tarhamnaa lanakuunanna minal-khaasiriin.” Maana: Mola wetu, tumejidhulumu nafsi zetu. Na usipotughufiria na kuturehemu, hakika tutakuwa miongoni mwa waliopotea
Indonesia
0
0
0
13
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 10 "Mola wangu! Wahurumie wazazi wangu kama walivyonilea nilipokuwa mdogo....." Surat Al-Israa (17:24)
Indonesia
0
0
0
11
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhan 09 "Mola wetu! Nisamehe mimi, na wazazi wangu, na Waumini siku ya kusimama hisabu...'' Surat Ibrahim (14:41)
Indonesia
0
0
0
15
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Ramadhani 06 “Sadaka bora ni sadaka inayotolewa ndani ya Ramadhani.”
Indonesia
0
0
0
15
Chuma Mohamed M
Chuma Mohamed M@mo_chumatz·
Unity is strength. All your life, you must stand by one another. No brother should be allowed to fail while another brother succeeds. #HappyChineseNewYear2026
English
0
0
0
27