mon🫴🏽

530 posts

mon🫴🏽 banner
mon🫴🏽

mon🫴🏽

@mon992121

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mayıs 2024
462 Takip Edilen316 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
mon🫴🏽
mon🫴🏽@mon992121·
mon🫴🏽 tweet media
Iringa, Tanzania 🇹🇿 ZXX
5
0
7
431
mon🫴🏽
mon🫴🏽@mon992121·
@Savasec Ukipata mafuta asili ya Nazi chap kwa haraka kazi imeisha
Filipino
2
0
4
1.7K
Wakunesa
Wakunesa@Savasec·
Hapa nitumie dawa gani niokoe Mali zangu na huu ugonjwa.?
Wakunesa tweet media
Indonesia
97
16
142
37.1K
Ambele Young
Ambele Young@Ambele_Young·
Eti wataalamu wa lugha, kwa kiingereza kisogo kinaitwaje!? 😂😂
Ambele Young tweet media
Indonesia
72
44
135
6K
OG OUTFITS❤️💃
OG OUTFITS❤️💃@og_outfits·
Hivi lengo kubwa la wamisionari na Waarabu kuleta dini zao na kuzisambaza Africa lilikuwa ni nini🙄🤔
Slovenščina
47
29
254
8.8K
Healing
Healing@Ithurts42·
What is a group of chickens called??
Healing tweet media
English
172
47
407
37.1K
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Mmesikia alichokisema Jasusi la mbinguni?🤔
The mandevu tweet media
Eesti
26
108
1.5K
32.2K
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
Kipindi cha pili kimeanza. Taarifa za kila mara kuhusu mchezo zitatolewa kupitia Simba App. #CAFCL #NguvuMoja
Simba Sports Club tweet media
Filipino
9
7
129
6.6K
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
Goli la Mama limefika 💰💰💰 Asante Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa zawadi ya Tsh. 15,000,000 kama zawadi ya mabao matatu tuliyowafunga Nsingizini Hotspurs. #NguvuMoja
Simba Sports Club tweet mediaSimba Sports Club tweet mediaSimba Sports Club tweet mediaSimba Sports Club tweet media
Indonesia
42
27
530
21.3K
Spana & V.A.R Movement
Spana & V.A.R Movement@spana_Konki·
Millard amechanganya mafile. Kila mmoja atachanganyikiwa 😂😂
Spana & V.A.R Movement tweet mediaSpana & V.A.R Movement tweet media
Indonesia
55
56
612
23.9K
mon🫴🏽
mon🫴🏽@mon992121·
@zoetjesheeftX Ufugaji unachangamoto lakini unafaida, muhimu kujiandaa nakujua wakati gani sahihi wakuanza kufuga, then mtaji kutokana na idada ya mifugo unayotaka kuweka 😏
Indonesia
0
0
0
9
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️
Jitahidini sana kuwa na akili zenye mafanikio juu ya wengine, Tangu nitazame haya ma group ya ufugaji hakuna anae posti Pesa anazo vuna kupitia hao kuku, ili kuwapa moyo wengine nao wajitahidi kusimama, wakati unapata faida hupost wala huongei siku akifa ata mmoja au akiumwa tu unapost na maneno mengi ya kuwafanya wengine washindwe hata kuanza ufugaji, Mtu ana zaa mtoto na anamlea kwa muda mfupi anafariki, itakua mifugo kila kitu kinahitaji subira utulivu malengo maamuzi, wafugaji em Tujitahidi kuwa tunapost vitu vinavo washawishi na wengine wajiajiri, mafunzo na kuwapa hamasa, kama ufugaji ni hasara mbona Hatuwachi kufuga izo kuku.
Indonesia
1
0
5
405
Malkia Nyuki 👑
Malkia Nyuki 👑@nyuki_malkia·
Na nyie mnasikiaga kichefuchefu mkilaga mlenda??
Filipino
16
6
101
16.6K