Pusher Wako

2.7K posts

Pusher Wako banner
Pusher Wako

Pusher Wako

@mrangerya

personal views, Use the brain that yours

ulipo wewe Katılım Temmuz 2021
643 Takip Edilen313 Takipçiler
Pusher Wako retweetledi
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Usajili wa hawa Dar City ni kufuru 🙌🏼 Hakunaga Financial Fair play huku 🤣🤣 Jitu linaweka 55 points lenyewe.
Indonesia
8
18
514
18.5K
•
@WordsCocoon·
what do you want?
• tweet media
English
7.9K
1.7K
27.9K
1.3M
Pusher Wako retweetledi
BeLINDA 🎬
BeLINDA 🎬@belindaPINDA01·
Kesi nzito sana🙌 Repost kama mvua✅bila kuchoka ✌️
BeLINDA 🎬 tweet media
23
616
2.1K
64.8K
Pusher Wako retweetledi
SIR JEFF⚡🇹🇿
SIR JEFF⚡🇹🇿@Sirjeff_D·
Muda mzuri zaidi wa kumzaba kofi Mfalme ni wakati nzi katua shavuni kwake.
SIR JEFF⚡🇹🇿 tweet media
Suomi
25
81
991
18.4K
Pusher Wako retweetledi
RB
RB@SMNK1972·
A stunning King snapped in Serengeti National Park, Tanzania. That is one beautifully maintained mane. Credit to Ramachandiran Govindaraj
RB tweet media
English
7
67
639
8.8K
Pusher Wako retweetledi
Hasta La Victoria Siempre
Hasta La Victoria Siempre@Oktoba29·
Kwa kutumia Special Forces Tactics Komando LT Denis Urio akiwa anawasiliana na familia yake, familia yake ilikataa Urio asiseme kitu ambacho ni Uongo juu ya Kesi ya FAM, Familia inakataa kabisa. Lakini LT Urio Anakubali.
Hasta La Victoria Siempre tweet media
Indonesia
1
5
41
2.8K
Pusher Wako retweetledi
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Help my research
Fortunatus Buyobe tweet media
English
38
2K
428
261.8K
Pusher Wako retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Tuwaonyeshe kwa NAMBA kuwa tupo wengi.
SIR TIVA tweet media
Filipino
42
2.5K
709
70.4K
Pusher Wako retweetledi
SIR JEFF⚡🇹🇿
SIR JEFF⚡🇹🇿@Sirjeff_D·
2025 nilitegemea kusikia kwenye campaigns wanaongelea -Decentralization -Tax reforms & wealth distribution -Universal internet -Electric vehicles -STEM & digital literacy -Renewable energy -Smart agric -Global alliances nk Majamaa wanaimba taarabu na kuzungumzia matundu ya vyoo
Română
93
156
889
18.6K
Pusher Wako retweetledi
SIR JEFF⚡🇹🇿
SIR JEFF⚡🇹🇿@Sirjeff_D·
Research ndogo tuone hali halisi ya huku kwa ground.
SIR JEFF⚡🇹🇿 tweet media
Filipino
15
1.3K
293
38.5K
Pusher Wako retweetledi
Boychild
Boychild@abaasa01·
See the people we're wishing journey mercies 😭😭💀💀
Boychild tweet media
English
228
865
9K
565.8K
Pusher Wako
Pusher Wako@mrangerya·
@fbuyobe Magu alije nga Ghala za chakula Raisi wa Zenji kaahidi kujenga zake shinyanga
0
0
0
686
Pusher Wako retweetledi
SIR JEFF⚡🇹🇿
SIR JEFF⚡🇹🇿@Sirjeff_D·
Trend lines > Support & Resistance
English
11
13
166
9K
Pusher Wako retweetledi
stormcabbirds
stormcabbirds@stormcabbirds·
Female Eurasian/Green Winged Teal showing off that amazing speculum. A word I only learned a few months ago 😇. Crossness, Erith
stormcabbirds tweet media
English
8
56
539
7.2K
Pusher Wako retweetledi
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Nmetafuta namna rahisi na nyepesi ya kuelezea nmekosa! Ila ngoja nikuelezee kama mtu aliefika japo VETA tu! Kuna Ofisi flani iliagiza gari zero km kutoka nje. Ikagawa kwa wafanyakazi wao… ila ni utamaduni kwamba zikifikisha kilomita flani wanaziuza kwa wafanyakazi wao. Ila huwa ni after 5yrs hivi… Sasa kuna jamaa alitaka auziwe gari ndani ya mwaka mmoja tu… Ikabidi afanye njama na Mechanics wa kampuni… kila muda gari ikawa inapata breakdown… mara vifaa vibadilishwe… yaani maintanance Cost ikawa juu saana ya hio gari! Fundi wa kampuni akashauri gari iuzwe maana matengenezo yake ni gharama saana… Ikauzwa bei ndogo mnoooo… Ila kumbuka gari haikua mbovu wala nn… ni mipango tu ilipangwa na ikapangika! Gari iliuzwa na jamaa alinunua kihalali kabisaaa… Umeelewa nini hapa bwana Mangi???
Godbless E.J. Lema@godbless_lema

Mgodi wa makaa ya mawe wa Tancoal Energy Limited nchini Tanzania ulikuwa na ubia wa 70% Intra Energy Tanzania Limited (IETL) na 30% Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC). Mgodi huu ni muhimu kibiashara na kitaifa, ukiathiri sekta ya viwanda, umeme, na ajira. Baada ya mradi kukamilika, Intra Energy Corporation (IEC) ya Australia iliorodhesha hisa zake kwenye Soko la Hisa la Australia. Bei ya hisa ilikuwa takriban AUD 0.006–0.008 na mtaji wa soko ulikuwa AUD 9.5 milioni (~TSh 16.2 bilioni). Baada ya IEC kutangaza kuondoka kwenye mradi, Rostam Aziz, kupitia kampuni yake alinunua hisa hizo. Hisa hizo zilikuwa kwenye soko la umma, Soko la Hisa la Australia (ASX) hivyo mtu yeyote angeweza kununua hisa hizo. Sasa , ni nani anayeweza kushutumiwa? Ikiwa kuna tatizo au hoja, mdau namba moja anayepaswa kushutumiwa ni Serikali (NDC) , kwa kuwa waliweka asilimia 30 ya HISA lakini hawakuongeza HISA zao wakati zilikuwa listed ktk soko la HISA la Australia. Kama walijua mradi huu ulikuwa na maslahi makubwa kwa umma!! Kwa nini hawakuchukua nafasi ya kibiashara ya kununua HISA zaidi, na hata pale Intra Energy walipoamua kujitoa kabisa kwenye uwekezaji huu , habari hii ilikuwa ndani kwanza kwa wamiliki wote Intra Energy yenye 70% na NDC wenye 30% na ktk vyombo vya habari vya Kimataifa kwa muda sana mpaka pale Rostam alipojitokeza kununua HISA hizo. Hii inaonyesha changamoto si kwa wafanyabiashara wa nje, bali katika uwezo wa wadau ndani ya Serikali kuona na kushiriki kwenye uwekezaji kwa mtazamo wa kibiashara. Rostam Aziz hakutenda uhalifu , aidha alitumia fursa halali ya kibiashara. Ambayo mfanyabiashara ambaye hawezi kuiona na kuipuuza ikiwa ana interest , aidha atakuwa hajui namba na mbele sana ya biashara hii , basi , kama ni kukoroga basi Intra Energy ndio wamekorogwa na changamoto zaidi ni kwa NDC na sera zao za uwekezaji na uwezo wao mdogo ktk FIKRA ya uwekezaji. Kumbukeni , Serikali imeshindwa kuendesha biashara ya dala dala hapo Dar , itakuwa haya mambo yenye Kiingreza kingi na graph mingi ? Tufikiri kibiashara kabla hatujahukumu sana.

Indonesia
88
48
525
37.9K