mtimbya
266 posts


#TajiriLaKihaya
Siku ya Birthday Yangu,19th January Napotimiza Miaka 31.
Nitatoa Zawadi ya 1m.
watu wawili (ME na KE) kila mmoja atapata Laki 5.
Unachotakiwa kufanya niambie hio
TZS 500,000. nitakayokupa utaifanyia Nini Au itakusaidia kuSolve tatizo gani?
Comment au Quote hii Post Tu!
Tuna siku 10.
Mwisho ni tarehe 18 saa nne asubuhi. Muda ni mrefu ili watu wengi waweze kuona hii - hasa Wale ambao hata bundle la kuingia humu wanapata mara moja moja saana!
Hapo nitasoma Comments na Quotes zote- na ITAKAYONIGUSA atapata laki 5 saa sita usiku 19th january!

Indonesia

Hii si walionesha TBC kaka.....sasa CNN wafanye kila kitu
cousin 420@420Cousin
CNN won’t show you this side of the protests, Bro tried to steal a gas cylinder, karma hit him instantly. 😂😂😂😂 Mtungi wa gesi 10 - 0 Wezi wa Maria Sarungi.
Indonesia

@Labella_Mafia95 Wewe kiumbe haundiki uzi una balaaa tena wewe wakuache peke yako uko bora aseee 🙌🙌🙌
Indonesia

























