Hii nazi mliovunja hapa kwangu mngekuna mkaleta tui kwenye plastic container ingenisaidia kuunga maharage. Ila hiki mlichofanya ni uharibifu wa chakula, sijapenda😏.
Kaeni mkijua watu wana njaa na uhitaji. Next time muilete nzima niwafundishe matumizi yake.
tunapenda kujiuliza kua miaka 50 baada ya uhuru baada ya ukoloni bado hatuna hichi na hichi,kwanini hatujiulizi labda miaka elfu moja kabla ya ukoloni tulikua pia hatuna hivyo, miaka 400 kabla ya kristo wagiriki walikua na plato na mji mkubwa unaita Athens, sisi tulikua na nini?
Fidel Castro:
“The revolutionaries didn't choose armed struggle as the best path, it's the path that the oppressors have imposed on the people. So people have only two choices: to surrender or to fight.”