Nay Wa Mitego

386 posts

Nay Wa Mitego banner
Nay Wa Mitego

Nay Wa Mitego

@naytrueboy

CEO at Free Nation | Independent thinker 966 Money Makers ✊

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Haziran 2020
43 Takip Edilen2.6K Takipçiler
Nay Wa Mitego retweetledi
#Naythetrueboy
#Naythetrueboy@naythetrueboy·
Watu Is Out Now available on YouTube and All Digital Platforms
English
1
5
15
785
Nay Wa Mitego retweetledi
Kumbusho Dawson Kagine
Kumbusho Dawson Kagine@KumbushoDawson·
"Si mlisema tufanye kazi?.. Tumeamua kufanya kazi"....Kibao Kipya cha familia @naythetrueboy kinakwenda kwa jina la TUPO BUSY. Twendeni zetu mjini Youtube.
Filipino
10
207
822
10.5K
Nay Wa Mitego retweetledi
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
Ngoma mpya ya Nay wa Mitego, Tupo busy kuwapigania ndugu zetu waliouwawa.
Filipino
23
311
1.2K
16.5K
Nay Wa Mitego retweetledi
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
"Wasanii wakiimba nyimbo za kuisifia Mbogamboga sawa, Ila wakina Nay na Roma wakiimba nyimbo za kuikosoa Serikali wanafungiwa" Clemence Mwandambo
Indonesia
11
184
753
10K
Nay Wa Mitego retweetledi
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
Msanii wa muziki wa Hiphop Emmanuel Elibariki(Nay wa Mitego) amesema hali ya kukataliwa kwa wasanii na mashabiki nchini ni jambo ambalo litatoa somo kwa wasanii kuwa wanapaswa kuwa sauti ya mashabiki/wananchi angalau mara chache. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Nay amechapisha video yake aliyokuwa akitoa wito kwa wasanii kujitoa na kuwasemea wananchi huku akitolea mfano wa wasanii wa mataifa kama Kenya na Nigeria ambao wapo wamekuwa wakiungana na wananchi pindi wanapowasilisha madai yao. Ameambatanisha video hiyo na andiko akisema "Niliwashauri wasanii wenzangu kujitoa kwa wananchi wetu ata mara moja tu kwa mwaka kuwasemea kwa sababu wao ndo maboss wetu wa kwanza na ndio wenye hatma ya nguvu thamani na ushwishi tulio nao" Nay ameongeza "tatizo kubwa la Mastar hapa nyumbani ni ubinafsi na kusahau maboss zetu ni hawa wananchi. Sasa maboss zetu now wameamua kutuonyesha kwamba wao ndio wanaotupa jeuri na maisha mazuri tuliyonayo Ni kwa sababu yao. Aidha amesisitiza kuwa hatua ya watanzania sio la kulaumiwa bali kuchukuliwa kama somo kwa wasanii nchini "Mimi siwalaumu watanzania wana haki ya kuendelea na walichoamua npaka hasira zao zitakapoisha. Nadhani baada ya apo somo litakua limetuingia wasanii wote na tutakua tunaongea tugha moja wananchi na wasanii wote."
Jambo TV tweet media
Filipino
30
151
1.4K
44.3K
Nay Wa Mitego retweetledi
Patrick Ole Sosopi
Patrick Ole Sosopi@PatricOleSosopi·
Msaani wa Nigeria 🇳🇬, Akiendelea na tour yake nchini Marekani, Davido alishangaza wengi baada ya kusimamisha show kwa dakika moja huku akiwaomba mashabiki wake walio jitokeza kuiombea Tanzania kutokana na machafuko yaliyojitokeza siku chache nyuma. Show hiyo iliyoenda Kwa jina la Atlanta Concert ilihudhuriwa na mashabiki wengi, na bendera ya Tanzania ilipeperushwa muda huo. #ThankYou @davido
Patrick Ole Sosopi tweet media
Indonesia
34
247
1.1K
74K
Nay Wa Mitego retweetledi
#Naythetrueboy
#Naythetrueboy@naythetrueboy·
Tumepoteza Ndugu Zetu Wengi Sanaaa🥹 Hakuna Damu Inaendaga Bure Malipo Yapo Na Mungu Ni Mwema Tuta shuhudia Malipo Ya umwagaji Damu Huu. Mungu Awalaze Mahari Ndugu Zetu walio poteza Maisha🙏🙏
#Naythetrueboy tweet media
Filipino
26
226
925
30.1K
Nay Wa Mitego retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Wakenya Media zao zipo huru sana, sikiliza hapa wanawashauri WATANZANIA kuelekea maandamano 29.10. Huu ujumbe wa muhimu sana. Kuna watu hawajui kazi ya cologate (DAWA YA MSWAKI) kwenye maandamano. Wanaojua waambieni hapo wenzenu wajifunze maana ni YA MUHIMU SANA. Repost 200 #MO29 #MaandamanoOktoba29 #TUTAKUWEPO🫵😎
Indonesia
7
158
596
14.7K
Nay Wa Mitego retweetledi
#Naythetrueboy
#Naythetrueboy@naythetrueboy·
Stay strong Kamanda✊
#Naythetrueboy tweet media
Filipino
9
202
1.1K
11.3K
Nay Wa Mitego retweetledi
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
Kitendo cha kumkamata John Heche kimechochea chuki na sababu za maandamano zimeongezeka. #Mo29
Filipino
36
284
1K
20.8K
Nay Wa Mitego retweetledi
#Naythetrueboy
#Naythetrueboy@naythetrueboy·
Hii Sio Tanzania yetu ya Kisiwa cha Amani tena. Hatupo salama tena. Kuikomboa Tanzania yetu ikawa ile ya Amani Ya Kweli ni Sisi watanzania wenyewe ambao Ndo Wenye Tanzania wenyewe.
Indonesia
8
103
584
9.5K
Nay Wa Mitego retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
“Kwenye Maandamano ya Oktoba 29 Wanajeshi wengi wapo upande wa Wananchi”-; Captain Tesha
Filipino
43
404
1.9K
29.3K
Nay Wa Mitego retweetledi
#Naythetrueboy
#Naythetrueboy@naythetrueboy·
Kwani Hii Nchi Kuandamana Ni Kosa.?! Mbona Viongozi Wetu wakisikia Maandamano Wanaona Kama Watu wametangaza vita.? Awa police na wana Jeshi walio sambazwa uku mtaani ni kama kuna vita inakuja. Wanauza Uoga Ngoja Tuone Kama kuna mtu wakununua round hii.!!
Indonesia
31
130
740
14.3K
Nay Wa Mitego retweetledi
Rose Mayemba
Rose Mayemba@rose_mayemba·
Madam President @SuluhuSamia pokea ujumbe huu mzito kwa niaba ya CCM halafu ukae chini utafakari kama unastahili kuendelea na hicho unachokiita UCHAGUZI.
Indonesia
8
98
403
5.4K
Nay Wa Mitego retweetledi
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Wanangu tusichoke kupaza sauti dhidi ya wenzetu waliokuwa mstari wa mbele kupigania haki na usawa. Repost ifike mbali. #FREEKIDUKU @TanzaniaOneJezi
The mandevu tweet media
Indonesia
24
541
1.5K
23.3K
Nay Wa Mitego retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Kimara Kona, Ubungo, Dar es Salaam, asubuhi ya leo. Wananchi wanaimba “tunamtaka Tundu Lissu”. Mbogamboga mchezo wenu wa kuwalazimisha wananchi kuwapenda kwa lazima haujazaa matunda. Pamoja na kumtunza TAL gerezani siku 180 anakumbukwa na wananchi na wanaimba jina lake bila kulipwa. Nimependa sana huyo ‘hyper’ ambaye amerekodi hili tukio, ni mwanamke ambaye mwanaume wake anatakiwa kujivunia sana – siyo mfuasi wa mbogamboga na anapenda haki kutoka moyoni.., jamii yetu inazidi kupata mwanga na kuwaona mbogamboga ni LAANA. HYPER amefurahishwa sana na wananchi wenzake kuimba jina la Tundu A.M Lissu katikati ya barabara ya Morogoro. Kama ambavyo mimi nimefurahi zaidi kuwaona wananchi katika mateso wakilikumbuka na kuliimba jina la Tundu Antiphas Mughwai Lissu.
Filipino
69
494
1.9K
54.7K