Benedicto Mahendeka

5.3K posts

Benedicto Mahendeka banner
Benedicto Mahendeka

Benedicto Mahendeka

@officialben94

MZUMBE UNIVERSITY ALUMNI/ HUMAN RESOURCE/SIMBA SPORTS/ARSENAL THE GUNNERS/ DISCIPLINE AND CONSISTENCY

Katılım Haziran 2022
813 Takip Edilen435 Takipçiler
Dr. Thadeus Mihayo
Dr. Thadeus Mihayo@Dr_Thadeus_19·
Nielekezwe kwa upole Hivi ni kuna faida na ulazima gani wa kumleta DROGBA Bungeni? Kaenda kuongeza nini kwenye maendeleao ya nchi
Dr. Thadeus Mihayo tweet media
Indonesia
12
4
42
2.8K
Benedicto Mahendeka
Benedicto Mahendeka@officialben94·
@ibrahimmmoto Kwa tuliowah kucheza mpira, ukitoboa socks unaruhusu misuli kupata oxygen ya kutosha tofauti na ukivaa socks ndef i mean ambazo hazijatobolewa kwa mchezaji unaweza ukapata muscle cramps
2
0
3
341
Benedicto Mahendeka retweetledi
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
‼️TUNDU LISSU HATARINI !! ‼️ Leo kumetokea tukio ambalo limeshitua watu wengi namna lilivyotokea. Tundu Lissu amepelekwa mahakamani bila taarifa kwa CHADEMA, mawakili wake na familia yake. Mwanzo, ilichukuliwa kama tabia mbaya na ukatili tu wa hawa CCM, hasa serikali ya Samia, imetenda matendo mengi sana yenye utata na ukatili. Lakini wazungu wanasema 'The devil is in the details.' Kuna mambo mawili yaliyovuja na yanahusiana na tukio la leo. - Moja, siku usiku uliopita na jana, Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es Salaam (RPO) jana usiku amekuwa na shughuli nyingi sana kuhusu Lissu, kutoka kwenye ofisi yake wanasema alikuwa na kikao kirefu sana na mkuu wa magereza wa Ukonga, kikao kirefu sana. Kutokana na kikao hiki, mambo mengi yamebadilika hapo magerezani kwa mazingira yanayomzunguka Lissu. - Kutoka kwa Ofisi ya RPO ime leak kwamba yeye na maafisa wengine, hasa yeye, ndiyo link yake na watu wanaompangia mabaya Lissu akiwa gerezani. Maagizo mengi yanapigwa kwake kwa utekelezaji, kwenda kwa maafisa wengine wa magereza. Japokuwa kuna mengine yanakwenda moja kwa moja pale gerezani kwa mkuu wa magereza - Mbili, Hii ni hatari na mpango mchafu. Kutoka Zanzibar, kile kikosi alichosema @HildaNewton21 ambacho kilipangwa kuja kumfanyia uovu Lissu, wanasema kiko Dar tayari kwa hiyo shughuli waliyo panga. Na ndiyo maana baada ya @HildaNewton21 kuandika, polisi walipaniki. Malengo wanataka hao wahuni wakishafanya uchafu wao wapotee huko Zanzibar, hata askari magereza wa huko hawatatoa taarifa walikuwa ni kina nani. Kikosi hicho cha Zanzibar si wote ni askari. Hili suala alilosea Hilda sasa liko kwenye utekelezaji la leo ni moja ya hizo siku wamefanya vitu vinashangaza watumishi wa umma wazalendo - Leo, tukirudi kwenye tukio la leo, jana usiku RPO Dar ameangaika kufanya mambo mengi sana. Moja ya mambo ni kwamba tumethibitisha na baadhi ya wazalendo mahakamani kuwa KIKOSI KICHOMPELEKA LISSU MAHAKAMANI leo ni kipya kabisa. Hapo mahakamani hakuna anayewajua waliokwenda na Lissu, haijulikani walitoka wapi, na kuna hofu sana kuhusu kinachoweza kutokea na hawa wasiojulikana. - Sasa Mafwele na Makonda huu mpango wenu mnaouyafanya mnaona una baraka zozote za Mungu ndani yake? Mnafikiria kwamba mnayotaka kumfanyia Lissu Umma utakubali? Lissu akitoka magereza au akiendelea kuwa gerezani dhamana ya afya/uhai wako huku juu yenu kwa muda mrefu msije mkajichanganya. Hizi kazi za Abdul mnazofanya na siasa chafu za Makonda kwa kufikiria anaweza kuondoa wanasiasa imara wote nchini , sababu ya ndoto za kisiasa ni kupoteza muda tu. Acheni na hii mipango yenu mibaya na kama leo mmefanya kitu chochote kupitia hiki kikosi mlichokitumia kumpeleka mahakamani kisichojulika, ni bora mkarekebisha mapema maana hakuna namna mtaweza kujificha na huu uchafu mnaopanga. - Wewe RPO wa Dar, hizo tamaa na ujinga unaokusumbua utakuponza, hauna kinga zozote za kufanya upuuzi huu unaoendelea utafungwa sababu ya huu upuuzi . Lissu anafuatiliwa na jumuiya za kimataifa na wananchi wote wa Tanzania hawatokubali huu upuuzi mnafanya au kupanga kufanya, hata Ndugai na Lukuvi walikuwa na kiburi kuliko wewe. Na walifanya kazi mbaya nyingi sana wako wapi leo? Wamefanya nini? - Kwa maafisa wa magereza, msikubali kufanya kitu chochote bila proper document au Taratibu, msikubali hicho kikosi kipya kuwapa amri kufanya mambo ya kihuni, hao ni wasiojulikana wakishafanya mambo yao wewe uliyepozamu ndiye utajibu dunia yote hii, Chande alionywa akakaza shingo lakini leo anajutia huko analia kama mtoto mdogo, pesa alizopewa wala hazina tena thamani, Msikubali kufanyishwa kazi chafu, kwanza pesa wanakula wahuni wengine msikubali kabisa kushiriki fuateni taratibu na aangalieni kwa makini sana vitambulisho mnavyopewa na hao wahuni wanapokuja, pia jifunzeni kufanya upelelezi mtu yeyote mpya anayekuja kwa issue ya Lissu anakuambia ameamia sijui kutoka wapi jua anakudanganya, kama kuna mtu ameongozana naye ambaye ni boss wake mfano Mafwele mwambie asinishwe yeye , jiwekeeni kinga mifumo inawahuni watafanya tukio mtafungwa nyie - Kumbukeni. Juzi hapa Chande amesema waliouawa watawajibika wao kama maaskari waliobeba bunduki, hakuna askari atakingiwa kifua na hawa watu. Fanyeni kazi zao ili wakianza, pelekewa moto kimataifa mtajikuta mmeingizwa. Kumbukeni mkifanya ujinga, vipimo vyovyote kuhusu Lissu, wananchi tutachanga hela, yaje mashirika kutoka Marekani kufanya vipimo. Hakuna namna kutakuwa na siri yoyote hapo na itajulikana mpaka nini kilifanyika na lini. Makonda na Mafwele hawana akili ya kufanya tukio la maana, ni wahuni tu. Mambo yao wanayofanya yanavuja kila siku na ndio maana leo, hivyo kikosi kimejulikana tena kutoka kwa ofisi ya RPO na hakuna namna atajua habari zimetoka vipi, maana ni mjinga tu, naye asiwapelekeshe. Hizo ofisi za umma zina wazalendo wengi, tena toka mmeshindwa, watu wazalendo wameongezeka kila kona. x.com/HildaNewton21/… -- Makonda , Mafwele na Abdul na huyo iddi Amini Mama eleweni kitu kimoja, Wananchi wamechoka umwagaji Damu, wamechoka sana -- Watumishi wa Umma kwenye vyombo na mahakama wameshashituka kuna mambo mnafanya nje ya utaratibu na wanajua mnataka fanya nini , Watumishi wa umma wanajua wakiona sura za wahuni hata kama watavaa soski mwili mzima, watu sio wajinga wanajua na wanajua nini kinaendelea, Watumishi wa mahakama wanasema kikosi chote leo ni kipya kabisa choteeeeeeeeee na mmewatia hofu, -- Kila mtu ameshashituka tunaelekea kwenye msimu wa mauaji makubwa ya wanasiasa na wanaharakati hili kuiteka nchi , hapo ndipo mtachemsha vibaya sana
Indonesia
32
149
501
34.4K
Benedicto Mahendeka retweetledi
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Hii inaweza vipi kuwa Gaza ?
Polski
3
69
155
3.3K
Benedicto Mahendeka retweetledi
MWENYENCHI 🇹🇿
MWENYENCHI 🇹🇿@mwenyenchii·
Hapa chande atasema na yeye alienda Gaza palestina kumhoji huyu bibi mpalestina anayeongea Kiswahili
Filipino
9
56
148
3K
Benedicto Mahendeka retweetledi
Mzalendo wa Taifa
Mzalendo wa Taifa@mzalendo_taifa·
RIPOTI YA JAJI CHANDE IMEZIDI KUONGEZA MAUMIVU KWA WATANZANIA
Slovenščina
1
18
72
1.3K
Perfume-HUB👑
Perfume-HUB👑@Empress_Brymex·
Which Organ damage causes this?
Perfume-HUB👑 tweet media
English
363
273
633
354.1K
Benedicto Mahendeka retweetledi
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Sikilize mahubiri ya Padre George Nzungu wa jimbo katoliki Mwanza.
Filipino
2
92
336
6.7K
Benedicto Mahendeka retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Kumbe zile msg zetu tulizowatumia walisoma, ujumbe uliwafikia live 😂😂😂
Hilda Newton tweet media
Indonesia
31
62
580
16K
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Luten General Paul Meela anasema kuwa JWTZ, TISS walishirikiana na Police kufanya mauaji ya 29 October 2025
Filipino
8
114
819
29.4K
GRINGO018🎨🖌️
GRINGO018🎨🖌️@018Salama·
Ni taarifa ipi unadhani itafanya Watanzania kushangilia hivi?
GRINGO018🎨🖌️ tweet media
Indonesia
120
31
377
39K
Benedicto Mahendeka retweetledi
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
😂😂😂😂😂Nguchiro MTIIFU
joseph_selasini tweet media
Indonesia
5
137
1K
20.3K