Othman Masoud Othman

941 posts

Othman Masoud Othman banner
Othman Masoud Othman

Othman Masoud Othman

@othmasoud

Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa. Makamu wa Kwanza Mstaafu wa Rais wa Zanzibar.

Zanzibar West, Tanzania Katılım Mart 2021
38 Takip Edilen13.2K Takipçiler
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Leo Mei 25 2026, nimepata fursa ya kujumuika na Mamia ya Waumini wa Kiislamu, pamoja na Wananchi wa Maeneo mbali mbali hapa Nchini, katika Maziko ya Marehemu Abdulghany Himid Msoma, (Coach Msoma), huko katika Makaburi ya Mwanakwerekwe Mjini Magharibi Unguja.
Othman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet media
Indonesia
0
2
4
145
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Nimeipokea kwa huzuni na masikitiko makubwa, taarifa ya kifo cha Ndugu yetu Bwana Abdulghany Himid Msoma, kilichotokea Mei 23 2026, akiwa matibabuni Nchini India. Nachukua fursa hii kutoa salamu za pole kwa familia ya Marehemu, Ndugu, jamaa na marafiki. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi Amin!
Othman Masoud Othman tweet media
Indonesia
2
3
26
1.3K
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Leo Mei 22 2026, nimejumuika na Waumini wenzangu wa Kiislamu katika Ibada ya Sala ya Ijumaa hapo Masjid Sunna, Msikiti uliopo Kikwajuni Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Othman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet media
Indonesia
1
2
15
573
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Leo Jumamosi ya Mei 16 2026, nimejumuika na wananchi na Viongozi mbali mbali wakiwemo, Wasomi na Wanataaluma Mashuhuri, Mabalozi na Wanadiplomasia Wanaowakilisha Mataifa yao mbali mbali hapa Nchini, Wawakilishi wa baadhi ya Vyama vya Siasa, Wahariri na Waandishi wa Habari Waandamizi, Viongozi wa Dini na Watu Maarufu, katika Kongamano Maalum la Mjadala wa Kitaifa kuhusu Mwelekeo na Khatma ya Nchi yetu, lililoandaliwa na chama chetu cha @ACTwazalendo na lililofanyika hapo katika Hoteli ya Serena, Jijini Dar es Salaam.
Othman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet media
Indonesia
2
10
27
1.8K
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Tunachokitafuta ni kurejesha heshima ya nchi yetu.
Eesti
3
4
17
2K
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Leo Mei 03 2026, nimeshiriki na kuongoza nikiwa Mwenyekiti wa Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya Chama chetu cha @ACTwazalendo, huko katika Ukumbi wa Hakainde Hichilema, uliopo ndani ya Jengo la Maalim Seif, Makao Makuu ya ACT Wazalendo, Magomeni Jijini Dar es Salaam.
Othman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet media
Indonesia
0
5
14
796
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Leo Aprili 26, 2026, nimepata fursa ya kuhudhuria nikiwa Mgeni Rasmi katika Kongamano la Ngome ya Vijana wa Chama chetu cha @ACTwazalendo, huko Wete Kaskazini Pemba, lililobeba maudhui ya " Uchumi wa Zanzibar ndani ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar" , ambalo limekuja sambamba na Maadhimisho ya Miaka 62 ya Muungano wa Tanzania.
Othman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet media
Indonesia
3
7
29
2.5K
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Tumeamua kupeleka ujumbe kwa nchi na Dunia kwa ujumla kama tumesimama katika Haki ya Nchi yetu.
Indonesia
5
4
24
2.5K
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Leo Aprili 25, 2026, nimepata fursa ya kuhudhuria nikiwa Mgeni Rasmi katika Ufunguzi wa mkutano mkuu wa jimbo la Pandani Kaskazini Pemba, ikiwa ni Uzinduzi rasmi wa mikutano mikuu ya majimbo ya Zanzibar, ambayo ni sehemu ya mikakati ya uimarishaji wa chama chetu cha @ACTwazalendo
Othman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet media
Indonesia
3
4
11
419
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Mbali na yote yaliyofanywa, tuliamua kukaa meza moja na kuitafuta amani ya kudumu ya Zanzibar.
Indonesia
20
3
33
4.2K
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Leo Aprili 13, 2026, nikiambatana na Mwenyekiti Mstaafu wa chama chetu cha @ACTwazalendo Ndugu Juma Duni Haji, tumekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola na Rais Mstaafu wa Malawi, @LAZARUSCHAKWERA.
Othman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet media
Indonesia
1
1
10
1K
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Hafla ya kufunga Darsa Masjid Gofu, Mkunazini Zanzibar.
Indonesia
3
4
17
677
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Nilipata fursa ya kujumuika katika Sala ya Eid el Fitri Kitaifa, Masjid Jamiu Zenjibar, Mazizini Mjini-Magharibi Unguja, Machi 21, 2026.
Othman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet media
Indonesia
1
2
26
923
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Jumanne ya Februari 24, 2026, nilipata fursa ya kukutana na Wananchi wa Mikoa ya Kichama ya @ACTwazalendo ya Kaskazini A na B, katika ziara ya kuwajulia-hali Wazee, Wagonjwa na Watu wanaokabiliwa na matatizo mbali mbali, yakiwemo ya kiafya na Wasiojiweza, huko Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Othman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet media
Indonesia
1
0
11
383
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Ziara ya kuwafariji wananchi, Mkoa wa Kusini Unguja.
Indonesia
1
2
13
431
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Leo Februari 12, 2026, nimepata fursa ya kuzungumza na Viongozi wa chama chetu cha @ACTwazalendo , wa mkoa wa kichama wa Wete na Micheweni, Kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani, huko Wete Kaskazini Pemba. Huo ni muendelezo wa Ziara yetu ya kutana na Viongozi wa chama chetu, na kuwaeleza muelekeo wa Mazungumzo yanayoendelea ya kutafuta Suluhu ya kudumu ya mgogoro wa kisiasa Zanzibar.
Othman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet media
Indonesia
1
2
6
445