Master🅱
3K posts




With this MikroTik + Router (Airtel, Vodacom or Tigo), you can build the strong WiFi billing system. Challenge accepted 🤝 This device inauzwa 250k hapa bongo


CRYPTO ni ILLEGAL bongo msijesema sikuwaaambia🫵🏾





Mcheki mtu anaitwa Timothy McVeigh Huenda hujui ila wakristo ni moja ya watu wenye fujo kuwahi kutokea. Wakristo ndio watu pekee walipanga kuwamaliza wayahudi, waislam ndio waliwaokoa. Haya mahaba ya kinafiki ya Mkristo na myahudi yameanza karne ya 21. Tumekua wapole karibuni.

@gabyconscious 😂😂😂 Mimi Nilijaribu YouTube Automaton Nikashindwa Kwa Sababu ya SUBSCRIPTION ya Ai Elevenlab CHARTGPT Pro Leonard Capcut Canva + Quality ya PC Hii yangu Nilikuwa Nikifungua Tu Capcut Kasheshe Zote hizi Credit za Bure Haziwork Ila Ni Mchongo kweli Unawaingizia Pesa Wat✊








Hii ni hoja ya muhimu sana, fikiria Dar na bahari yake, Fikiria Tanga, Fikiria Mwanza na ziwa lake na milima ikiwa imepangwa yangekua maeneo bora sana ya kuishi hapa Duniani.






