Chelsea_the_blues retweetledi
Chelsea_the_blues
12.6K posts

Chelsea_the_blues
@pichunate
God heals the broken hearts
Tanzania Katılım Mart 2020
216 Takip Edilen247 Takipçiler
Chelsea_the_blues retweetledi
Chelsea_the_blues retweetledi
Chelsea_the_blues retweetledi

We did it, God did. The street children were very thankful. I am thankful.




FUNDI JUMA 🇿🇦@YcuL___
I wanna cook for like 100 people, mostly just hard working people on the street and school children wacha nikusanye nguvu.
English

@HildaNewton21 Swala la elimu sio kipaumbele chake kwny serikali yake
Indonesia

Nduli Idd Amin Mama yeye kasoma degree ya mambo mbalimbali huko Pakistan.
Sasa angalieni CV ya huyu kilaza mwenzake aliyemteuwa kuwa Naibu Waziri haram wa ajira, hivi kweli huyu anastahili Uwaziri achilia mbali hata Udiwani?
Waziri haram anacertificate 3 na zote ni za online halafu vyuo vyote alivovitaja kwenye CV yake hata ukiingia google kuvitafuta havipo isipokuwa kimoja tu maana yake yuko na Certificate za kununua pale Karikakoo kwa Machinga wa vyeti vya Taalum.😂
Kwamba Waziri haram mwenye certificate za mchongo ndio ataongoza wizara ya ajira?
Mtu kama huyu atamsaidiaje kijana mwenye degree ambaye yuko mtaani hana ajira?
Waziri gani ana udaktari wa mchongo ule wa kununua kama ule wa Babu Tale?
Nduli Idd Amin Mama kaamua kujaza vilaza wenzake ndani ya Serikalini haram maana hapendi kabisa maana watu wenye akili maana anajua watamchallenge.
Anapenda vilaza wenye elimu mbalimbali kama yeye ili awaburuze halafu hapa mtegemee nchi itasonga mbele.🚮🚮🚮🚮

Indonesia
Chelsea_the_blues retweetledi

Hongera sana DCI Ramadhan Kingai kwa kufiwa na Mama yako Mzazi, hayo maumivu ambayo unapitia ndo familia nyingi tulipitia Oktoba 29 baada nyinyi kuuwa kwa risasi Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu kumi.
Tena wewe unaafadhali maana umeweza kumzika Mama ako kwa heshima huko Bumbuli Tanga, sasa wenzako tulizika nguo kwasababu nyinyi mliiba maelefu ya miili ya ndugu zetu, mkaenda kuzika kwenye makaburi ya Halaiki.
DJ niwekee ile nyimbo ya Hakuna Mungu kama wewe Baba 😂😂😂

Indonesia
Chelsea_the_blues retweetledi

Nikisikia hizi habari za watu kutekwa najisikia vibaya sana. Watu zaidi ya saba mnakwenda kumteka kijana asiyekuwa hatari kwa usalama wa nchi nyumbani kwao mbele ya familia yake? Mnaelewa kweli trauma mnayotengeneza kwa hizi familia? Mnajua chuki mnayoipandikiza kwa jamii? Watu waliomteka Damour Nyakairo, @Ninja_Damour muachieni huko mafichoni aendelee na maisha yake. Hatutaki kuona kijana mwingine anatekwa na kupotezwa. Hatuwezi wote kufikiri na kuwaza sawa. Taifa letu litajengwa kwa msigano wa mawazo. #FreeNinjaDamour


Indonesia
Chelsea_the_blues retweetledi
Chelsea_the_blues retweetledi
Chelsea_the_blues retweetledi
Chelsea_the_blues retweetledi
Chelsea_the_blues retweetledi

Mnaouliza, link ya kusaini Chande afutwe kazi maalum UN Sudan hii hapa🤝🙏🏽
Tito Magoti@TitoMagoti
@Benzinh0 Mjomba pita hapa docs.google.com/forms/d/e/1FAI…
Indonesia
Chelsea_the_blues retweetledi

Ndo habari kubwa hapa X
Yaani Chande na genge lake wajipange na huyo kimama chao
x.com/i/trending/204…

Filipino

@Dr_DGwajima Nyinyi viongozi wenyewe mmekosa maadili, jikagueni kwanza kisha mje kwetu wananchi
Indonesia

Mkakati huu unaoshirikisha wadau wa sekta kadhaa, umezinduliwa tarehe 29 Aprili, 2026 na Mhe. Paul Makonda (Mb) mwenye miwani kwenye picha ambaye ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Wananchi pia wanalo eneo lao la utekelezaji kwenye ngazi ya familia kuhusu suala zima la malezi na makuzi ya watoto.
Viongozi wa dini nao wanahusika kwenye kulea roho zetu, wanahabari nao wanahusika kwenye ubora wa habari, content creators nao wamo.
Kifupi, kila mdau amechambuliwa na kupewa majukumu yake.

Indonesia
Chelsea_the_blues retweetledi

SC BAK Mwabukusi.. Balls to the Wall🐐🐐
Wakili.tv@WakiliTv
"Tundu Lissu sio mhaini, kama Tundu Lissu anatusumbua kisiasa futa mfumo wa vyama vingi" Mwabukusi
Indonesia
Chelsea_the_blues retweetledi
Chelsea_the_blues retweetledi

Asante sana wakili msomi Mwabukusi
Hatukukosea kukupambania ili uwe Rais TLS - asanteni sana mawakili kwa kumpa kura @Mwabuk2Boniface
Umenyooka na kueleweka! Kama wameumia wanywe sumu 😁
#FreeTunduLissu NOW 👊🏽🔥
Indonesia

@MariaSTsehai Wanaleta taharuki ili tujikite huku tuachane na ripoti ya chande
Indonesia

‼️🚨MBONA WAMEMKURUPUSHA LISSU NA KUMTOA GEREZANI KINYEMELA‼️
Jamani angalieni Lissu hata hajachana nywele wamemwamsha na kumkurupusha! Wamembeba na gari waliong’oa plate nunber na kwa siri
Hawakutaarifu mawakili wake
This is not right! Kulikuwa na emergency gani ? Hii ni hatari!
Lissu appears disheveled and hurried in today’s clandestine transfer to court without his lawyers being notified!
Something is fishy!
Hii haikubaliki! Hatuoni good intention hapa! Msirudie tena au tutajua mnataka kutekeleza nia ovu
#FreeTunduLissu NOW!

Indonesia
Chelsea_the_blues retweetledi

‼️MUHIMU SANA‼️
Tafadhali unga mkono wito huu wa dharura wa kupitia upya, kumvua sifa, na kumuondoa Mohamed Chande katika jukumu lake la kitaalamu ndani ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, pamoja na kuanzisha uchunguzi huru nchini Tanzania.
Kwa mshikamano na watu wa Tanzania waliotayarisha mawasilisho haya, tunatoa wito kwa watetezi wa haki za binadamu, mashirika ya kiraia, harakati mbalimbali, na kila anayejali ukweli, haki na uwajibikaji kusimama na kuongeza jina lake kwenye barua hii.
Tunakataa kukubali ukimya, upotoshaji na hali ya kutowajibika mbele ya mauaji ya halaiki. Hatuwezi kuruhusu walioko madarakani kubadili simulizi au kuondoka bila kuwajibishwa.
Haki haitolewi bure—hupiganiwa kwa pamoja na kwa uthabiti. Ongeza sauti yako, unga mkono barua hii, na uwe sehemu ya msukumo unaodai ukweli, uwajibikaji na matokeo halisi.
Pitia na Uunge Mkono Hapa: bit.ly/DisqualifyChan…
Mwisho wa muda: Jumamosi, tarehe 2 Mei
Indonesia











