piplost

2.9K posts

piplost banner
piplost

piplost

@piplost_

Converge your pain into wisdom

Zanzibar Katılım Ekim 2020
37 Takip Edilen85 Takipçiler
Ruqayya Mahmoud Nassir
Ruqayya Mahmoud Nassir@RuqayyaNassir·
Tunasherekea Pasaka huku tunaiwaza Bill 200 🤣🤣
Ruqayya Mahmoud Nassir tweet media
Indonesia
7
6
66
1.8K
millardayo
millardayo@millardayo·
#PICHA Kutokea Kanisa la ZICC Kariako Visiwani Zanzibar mamia ya Waumini wa Dini ya Kikiristo wamejitokeza kwa wingi kwenye Ibada ya Sikuku ya Pasaka ,Ibada ambayo imeongozwa na Askofu Dickson D. Kaganga. #MillardAyoUPDATES.
millardayo tweet media
Indonesia
5
4
174
8.3K
piplost
piplost@piplost_·
@MkulimaKante Tumia pesa uingize zaid pesa huchuma pesa na nguvu huchuma maradhi
Filipino
0
0
0
2
piplost
piplost@piplost_·
@Joy_Mbura Niliwah kuwambia watu ukiona biashara za miguu ya kuku,chango za kuku, ngozi za ngombe, huu ni umasikin na ugumu wa maisha kupitilza mitaani sasiv watu wanakula tu chochte wasife njaa ila mitaani hali ni tete alafu wahuni wanakwambia uchumi umekuwa Tz
Indonesia
0
0
0
3
Joy Rich
Joy Rich@Joy_Mbura·
Maisha ni Magumu sana sana Maisha ni Magumu Hivi serikali inajua kweli au wanatupita tu na yake magari tunaolipia kodi na vumbi juu
Joy Rich tweet media
Filipino
10
4
31
834
piplost
piplost@piplost_·
@Joy_Mbura Kwni nyinyi muna nin na wapemba wali wafanya nn mbona munawakimbiza kwao kiholela
Indonesia
0
0
0
58
Emmanuel Matiku
Emmanuel Matiku@EmmanuelMa30199·
@zoetjesheeftX Si mwanajeshi tu, huyu ni askari kamili, mpiganaji anayejua namna ku ishi katika hali zote ngumu, embu fikiria tu upo kwenye nchi ya ngeni Jeshi lao linakuhandama kutumia technologia , Jeshi, na raia wao. Na bado anaweza kuwakwepa kwa zaidi ya siku tatu akiwasiliana na waokoaji
Indonesia
1
0
0
67
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️
Mshikaji anaitwa Karry huyu ndiye mwanajeshi wa Jeshi la Marekani aliyekuwa akitafutwa nchini Iran baada ya ndege yake kushambuliwa na kudondoka. Karry alipatikana akiwa hai na majeraha makubwa kiasi!! Mara baada ya mtafutano mkali kati ya Iran na Marekani!!
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️ tweet media
Filipino
2
0
21
1.9K
ZIP🇹🇿
ZIP🇹🇿@Dmpjrzip25·
Hili Ni Tunda Gani mpwa...
ZIP🇹🇿 tweet media
Filipino
19
16
53
1.7K
piplost
piplost@piplost_·
@incrediboss Na mwanamke bora waibiwe mbusu wanaweza kuvumilia kulko makalio
Polski
0
0
0
181
BΞBΞRU
BΞBΞRU@incrediboss·
Nimewaza sana Sijui itakuwaje😎
BΞBΞRU tweet media
Indonesia
22
27
174
7.4K
KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594·
CHURA Aliwajuza Nini Kuhusu Mimi?😂😂
KIDUKU OFSA NGIRI tweet media
Indonesia
23
16
158
6.2K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Kauli hii ya KIPUMBAVU inashusha hadhi ya Ndoa na Mwanamke. Mapenzi si “show” ya kununuliwa kwa iPhone, ni wajibu wa kiungu unaojengwa kwa upendo na heshima. Ukianza kujenga ndoa kwa zawadi, ujue umeiweka rehani. Leo iPhone, kesho akipewa G Wagon nje anakuuza bila hata huruma. Ndoa si biashara, ni agano. Ukilifanya soko, usishangae bei ikipanda na wewe ukauzwa. Achaneni na hizi INJILI za Tik Tok.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
320
278
2K
98.7K
piplost
piplost@piplost_·
@AmRosalinee Waswahili ni wabinafs na wachoyo mnoo kuna watu humu wana ku follow uki wa follow back alafu wanasubr umelala tu wana ku unfollow
Indonesia
2
0
7
675
ROSALINE🦋
ROSALINE🦋@AmRosalinee·
Bongo kila kitu ni fujo😂😂🙌
ROSALINE🦋 tweet mediaROSALINE🦋 tweet media
Indonesia
18
15
123
11.7K
M O X
M O X@UrBoyMox·
Na kimvua hiki nipige supu kwanza
M O X tweet media
Filipino
171
56
420
35.4K
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️
Kuhudhuria vikao kumemuokoa mwanetu Mchekeshaji Khaby Lame alifunga ndoa ya kiislamu 2024 na Wendy 🇮🇹 Mwaka huu mke wake akaomba talaka na kugawana mali 😳 Mahakamani ikaonekana Khaby hana mali kwa jina lake (vyote kwa jina la baba yake) 👏🏿😂 Mke akiwa na $10M kwenye account 😭 Matokeo: wakagawana — Khaby kapata $5M 💰🔥 Hii dunia ina mambo 😅👏🏿
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️ tweet media
Indonesia
17
24
670
55.4K
khalifa said #IRAN 🇮🇷 ☭🌹
.@ikulumawasliano wanaruhusu picha hizi rais anapiga na matapeli, wanaoidhalilisha ikulu na kuishushia hadhi yake, halafu watu wakiripoti kuhusu picha hizo tcra wanakuja kufungia vyombo vyao vya habari. @bmachumu, kwa nini mnafanya hivi, huyu tapeli ana biashara gani na ikulu?
Dr. Miguna Miguna@MigunaMiguna

What does this obese Zimbabwean, Wicknell Chivayo, do for African despots? Why are his images with African tyrants all over the place?

Indonesia
15
46
251
24.3K
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
“Uko wapi Eee Mungu wa Elia, Uko wapi njoo utuokoe Eee Mungu wa elia uko wapi mbona ni kama umetuacha mawimbi yanataka kutuangamiza” 🎶🎶😄
Mangi wa Kichaga tweet media
Filipino
41
64
540
13.1K