Sabitlenmiş Tweet
dr pablo
1.9K posts

dr pablo
@ppabloescobars
Medical Doctor | Eye Care Public Health Advocate Evidence-based medicine
dar es salaam TANZANIA 🇹🇿 Katılım Kasım 2020
1.2K Takip Edilen1.2K Takipçiler
dr pablo retweetledi

@Bein_bee @Jaguar_455 Hapana mze na si kwely kutoka kinyesi mda wakujifungia ni kawaida kwa kila mwanamke wengi wao wanatoka kinyesi ni hali yakawaid mda wakujifungua kuhusu misuli izo ni uomgo uong tu
Indonesia

@ppabloescobars @Jaguar_455 Shda ni wakat anajifungua lazima tope litoke la kutosha misuli haibani tena
Indonesia

@fakhardinfahady @DullahTheking2 So anaweza tu haizuii kabisa yeye kujifungua kawaida .
Indonesia

@DullahTheking2 Haizuii Mzee.. mwanamke anaweza kuwa anaingiliwa nyuma na Bado akaweza kuzaa kwa njia ya Kawaida labda kama uyo mwanamke anashinda nyingine inayomfanya ashindwe kuzaa kwa njia ya Kawaida.
Indonesia

@ShirimaYvonne @Mwinshehe07 Hiyo inasababishaje asiweze kujifungua kawaida?
Indonesia

@ShirimaYvonne Hii si kweliy . Anal sex ni prohibited but anal sex haisababishi mtu ashindwe kupush mtot labour . Nb: Many women pass stool during second stage of labour the fetal head preseses on the rectum this pressure can cause some stool to come out .
English

@gabyconscious Hapana sisi huku mtaani hatujui hayo kaka umetaja vitu vipya kabisa. Lete account zake hapa
Indonesia

Baraka angekuwa wa maana sana kama angeonesha vijana humu hizo 100M zake ili waache kumbishia kifala.
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o@gabyconscious
Ko yaani unataka baraka aanze kuandika anajua ABCD, Ameregister company wapi, anaofa services gani kwenye tweet 1? Mbona ana newsletter yake kila siku anashare bana. Natofautiana na mengi kwa Baraka ila hiyo 100m ni hela Baraka anayo. Na u can see it kwa public DOMAIN.
Indonesia

@Makaveli_255 Package ya huduma zinazopatikana katika hy 150k ushazijua?
dr pablo retweetledi
dr pablo retweetledi

@OneLuckyGirl_28 Financial abundance
Joyfully abundance
Peaceful abundance
Love In abundance
To be free from negative aura/energy and vibes.
To attract positive aura/energy and vibes
An abundance of
Health
Financial wealth
Spiritual wealth
Good health
Debt free
Relationship abundance
English

@lifeofmshaba Insta alifutaa watu walimrukiaa akafutaa chap kwa haraka
Indonesia

Chris Likosi ambaye amepewa fursa na CCM kufanya Tanzania dampo la
- TV 📺 kwa wasio jua tv za zamani zinasumbua sana kampuni nyingi ulaya kuzifanyia damping zina materials ambapo kuzi damp ni issue, pili sio tv anawapiga tu watu wasiojua wakifikia ni nafuu, kuna ambazo analeta mpaka kioo kimepasuka anauza hivyo hivyo, hakuna nchi inaruhusu used item ambayo ni mbovu kuingia nadhani kuna namna hapo TBS
Ana machine na vifaa vingi anakwenda kuokota kwenye madampo ya UK na kuleteta nchi, hata Landrover na range nyingi anaingiza kuna asilimia kubwa zina major issues
Jana alikuwa anashangia kile ambacho polisi wamefanya pale makahamani
Mjinga kama huyu sababu ameruhusiwa kuleta uchafu nchini sisi wananchi bado tuna nafasi kupiga vita hii biashara ya kiwaki maana hapo baadaye kusafisha mazingira ni issue




Indonesia

Watu walikua wanakimbilia Tanzania wakati wa shida na machafuko
Kenya West@KinyanBoy
Boniface Mwangi recounts being stripped, held upside down, and sexually assaulted in Tanzania: "I was grabbed by four men. They lifted me up suddenly, tied me upside down, applied lubricant to my rectum, and inserted objects into me."
Indonesia

















