.

29.3K posts

. banner
.

.

@rbbr__k

heh

Katılım Ocak 2022
595 Takip Edilen3.4K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
.
.@rbbr__k·
Sijui itakua saa ngap?
. tweet media
Indonesia
31
22
123
0
Izaak
Izaak@Izaak_101·
@ebrahaxel Hapo unakuta ameweka individual instructions CF kuwa man mark midfielder wako 😄
Indonesia
1
0
0
152
Ebrah Axel
Ebrah Axel@ebrahaxel·
Hata mimi niliwaza nitamfunga nyingi kama wewe unavyowaza.
Ebrah Axel tweet media
Indonesia
11
7
48
2.3K
. retweetledi
James Munisi
James Munisi@NjiwaFLow·
💨Hii vita ya Iran itafanya imeathiri sana biashara ya simu na mafuta
Indonesia
9
22
93
3.7K
.
.@rbbr__k·
@millardayo bongo hakuna wanaopotea??
Indonesia
0
0
0
520
millardayo
millardayo@millardayo·
Marekani imetumia ndege 155 za Kijeshi katika operesheni kubwa ya kumuokoa Mwanajeshi wake aliyekuwa amepotea ndani ya Iran, hatua ambayo imeelezwa kuwa moja ya operesheni hatari na adimu kuwahi kufanywa na Jeshi hilo. Kwa mujibu wa Rais wa Marekani Donald Trump, akiwa anahotubia leo Aprili 6, 2026, operesheni hiyo imefanyika baada ya ndege ya kivita aina ya F-15E fighter jet kudunguliwa na Iran Ijumaa Aprili 3, 2026, ambapo rubani aliokolewa mara moja huku mhudumu wa pili akibaki amepotea katika maeneo ya milimani. Aidha, Trump ameeleza kuwa juhudi za uokoaji zilihusisha ndege 155 pamoja na matumizi ya silaha zaidi ya 200, huku Mwanajeshi huyo aliyekuwa amekwama akibaki na bastola pekee kwa ajili ya kujilinda hadi alipookolewa. Akizungumza katika Ikulu ya White House, Trump alisifu operesheni hiyo akisema ni nadra kufanyika kutokana na hatari kubwa kwa Wanajeshi na vifaa, akieleza kuwa ilichukua takribani saa saba ndani ya anga ya Iran kukamilisha uokoaji huo. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
35
20
557
39.3K
.
.@rbbr__k·
@Sirajitz1 sawa ya chini na sawa ya juu🤣🤣
Indonesia
0
0
0
125
Troll Football
Troll Football@TrollFootball·
Liverpool used a double penetration formation and still couldn't penetrate.
Troll Football tweet media
English
909
5K
63.2K
2.6M
.
.@rbbr__k·
@WSY_253 @EPESFC there will be 300 players in the pack😆😆
English
0
0
1
169
EPES ⚽
EPES ⚽@EPESFC·
🚨🏆: This might be what konami are trying to do by next week,I hope it comes 🔥🔥
EPES ⚽ tweet media
English
9
9
365
21.1K
takadinie
takadinie@takadini_23·
Mnieleweshe hapa wakuuu naipataje hii selection
takadinie tweet media
Indonesia
6
7
25
820
.
.@rbbr__k·
@takadini_23 @ZenjiboyZnz ndo iko ivo selection bado haijawa confirmed mzee kinachoonekana hapo ni chance deal ambayo kila siku unapo log in wanakupa chance moja, means mpaka 9th april utakua na chances 7 za kuspin.. labda baadaye waje watoe ofa ya selection ila kwa sasa bad
. tweet media
Filipino
1
0
1
12
takadinie
takadinie@takadini_23·
@rbbr__k @ZenjiboyZnz Ahaa ko apo ntakua nachance deal saba za week hii apo ni pata potea unaweza kupata wakina kibwana😂😂
Filipino
2
0
1
19
.
.@rbbr__k·
@ZenjiboyZnz @takadini_23 hawajatangaza hio mzee kwa sasa tunasubiria chance deal selection is not yet confirmed
Filipino
1
0
2
13
.
.@rbbr__k·
@takadini_23 @ZenjiboyZnz hapana sio selection hio ni chance deal ambayo mwanzoni utapewa chances 7 (kila ukilog in since last thursday) kwo jitahid kila siku unaingia ili usikose
Filipino
2
0
2
28
.
.@rbbr__k·
@takadini_23 subiria alhamisi ndo inaanza
Español
1
0
1
58
. retweetledi
James Munisi
James Munisi@NjiwaFLow·
💨Cheupe kaamua kupiga ndonga siku hizi😂😂👇
Indonesia
2
9
50
2.9K
.
.@rbbr__k·
@vincentjohn658 @EPESFC hi broo how did you get lee to 104?? kindly share ur training
English
0
0
0
43
EPES ⚽
EPES ⚽@EPESFC·
🚨🏆: Epic 1 Billion Downloads 🔥 Available on 9 Apr '26.
EPES ⚽ tweet media
English
20
30
913
29.5K
RUTH 🇨🇦
RUTH 🇨🇦@it_Rutie·
You can no longer Copy the link of a video anymore on X. 😭
English
1.7K
797
21.6K
6.4M
Daktari Wa Manesi 💉💊
Daktari Wa Manesi 💉💊@McinikaWaLamar·
@Roma_Mkatoliki Presenters wa bongo baadhi huwa miyeyusho unakuta msaani anaenda kutambulisha nyimbo yake anaanza kuulizwa maswali unazungumziaje Couple Ya Wema na Whozu Unawaona wapi miaka 5 ijayo 😃
Indonesia
3
1
98
10.1K
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Msanii fulani kaenda radio kufanya interview ya kutambulisha na kupromote wimbo wake maskini ya Mungu anajipambania. Anafika radio mtangazaji anamuuliza kati ya finale na happy ipi ngoma kali na kwanini😁😁😁 Wanabishana hiyo topic dakika 10 nzima, then anaambiwa haya cha mwisho cha kumalizia kwa fans wako muda umetutupa mkono!! Dogo anaishia kusema tu wimbo wangu unapatikana kwenye digital platform zote subscribe! Tuna industry katili sana😁
Indonesia
127
160
2.4K
127.5K
Dullah_theKing🎧
Dullah_theKing🎧@DullahTheking2·
These are my top 3 KID INK songs of all time… 03👉🏽 Body Language🎶 02👉🏽Show Me🎶 01👉🏽Main Chick🎶 what are yours??
Dullah_theKing🎧 tweet media
English
22
11
51
2K
MUITALIANO 
MUITALIANO @iamkizzyh·
Nataka watu wenye kikosi kuanzia 3250 hawa wengine naona hamna kitu kabisa #Efootball
Indonesia
11
8
44
1.3K