Soba

9.2K posts

Soba banner
Soba

Soba

@s_soba

Attorney| Entrepreneur & a Patron~Die Hard Fan of Yanga🇹🇿

Tanzania Katılım Temmuz 2013
615 Takip Edilen915 Takipçiler
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo Kila unaefahamiana nae au kujuana nae, ipo sababu ya msingi iliyowafanya mfahamiane au mjuane. Jitahidi sana usiiharibu sababu hiyo, inaweza kuwa ndio njia ya mafanikio yako.
Indonesia
0
0
0
13
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo Usichukie mapito magumu unayokumbana nayo maishani mwako. Nanasi ni tamu, limewekwa katikati ya miba. Asali ni tamu imewekwa katikati ya kundi la nyuki. Nyakati ngumu ni fursa, mapito tunayopita ni fursa…Tusikate tamaa ✍🏾✍🏾✍🏾
Filipino
0
0
0
513
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo “Nyongeza ni sehemu ya fungu. Usiponunua huongezewi” by Hilary Mtuta (Ukiwa mwema, utalipwa wema, ukiwa mbaya je? Tafakari
Indonesia
0
0
0
90
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo Tukisherehekea SIKU YA FURAHA ULIMWENGUNI Leo, tujitahidi sana kufanya vitu vinavyotupa furaha. 1. Kaa na watu wanaokupa furaha 2. Sikiliza vitu vizuri vya maana vinavyokupa furaha 3. Angalia vitu vizuri vya maana vinavyokupa furaha 4. Usipoteze muda kwa vitu vibaya
Indonesia
0
0
0
89
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo #Tubadilike “Vijana wanalalamika sio kwamba hawapendi kuwashirikisha matatizo yao, ila mnawatangaza, mnatumia shida zao kutoa mifano kama ya watu walioshindwa au kufeli maisha. Tukumbuke kuteleza sio kuanguka”. Shida za watu sio matangazo, tubadilike.
Indonesia
0
1
0
147
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo Heri ya Siku ya Wanawake Duniani kwa wanawake wote 👏🏾 Tunawapenda ✅ Tunawathamini✅ Tunawajali✅ Tunawaheshimu✅ Tunatambua mchango wenu kwetu✅ Kwa Mwezi huu wa ibada, tunatumia muda wetu kuwaombea mafanikio mzidi kuilea, kuitunza na kuihifadhi Jamii🤲🏾
Indonesia
0
1
0
11
Soba
Soba@s_soba·
Safari ya Maisha ni Hatua, Muhimu kuzingatia Hatua zinatofautiana. Kamwe usilinganishe Hatua zako na za mwingine. Ukijifananisha utajiongoza vibaya, utajidanganya, utatengeneza husda na chuki. Heshimu na Ridhika na Hatua Zako, huyu ndio wewe🙏🏾 #AsanteKwa2025 #HeriYaMwakaMpya2026
Indonesia
0
0
0
15
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo #Uwekezaji “Mafanikio ya Uwekezaji mzuri hudhihirika na kutamalaki iwapo utafanyika kwa watu. Wekeza kwa kuibua, kuinua, kuchochea ukuaji wa Ustawi wa Maisha ya Watu. Wekeza kwa kujenga mahusiano mazuri na watu. Uwekezaji wa namna hii hulipa maradufu” Wema Hauozi
Indonesia
0
0
0
24
Soba
Soba@s_soba·
#Neno_La_Leo #Jali_Hisia_Za_Mtu Muhimu sana kujua hisia au hali ya mtu kabla hujamshirikisha jambo lako. Tafakari kwanza kabla hujamshirikisha jambo lako mtu Mwenye Njaa, mwenye hasira, au anaepitia changamoto fulani. Jali kwanza hisia au hali yake kisha mshirikishe la kwako.
Indonesia
0
1
0
38
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo #Jali_Muda_Wa_Mtu Ukipata nafasi ya kuchat kwa sms na kiongozi, usitumie muda mwingi kumueleza mambo tofauti na lile mahsusi unalotaka kumshirikisha, viongozi wengi hawana muda mwingi wa kuongea kila kitu #Muda_Ni_Mali
Indonesia
0
1
0
24
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo Huduma ya Kitaalamu inaenda sanjari na Malipo ya Huduma hiyo Huduma ya Kitaalamu (mf: kutoka kwa Mawakili) inahusisha 1. Muda 2. Ushauri wa Kitaalamu 3. Utekelezaji/Ufanikishaji wa huduma Kila mojawapo ina thamani yake. Ukihudumiwa kimoja au vyote TAFADHALI LIPIA.
Indonesia
0
1
0
18
Soba
Soba@s_soba·
#TodaysThoughts Professional work, attracts professional invoice. Experts’service include; 1. Time 2. Professional Inputs/Opinion/Guidance 3. Execution/Performance/Delivery Each of the above categorically bear its value. If any or all is furnished, please PAY accordingly.
English
0
1
1
25
Soba
Soba@s_soba·
#MojaYaLeo_NaSSH Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia iliyobebwa na Dkt. @SuluhuSamia ili kuokoa afya ya kila mmoja wetu na kutunza Mazingira yetu imepelekea kufanyika kwa Mkutano Mkubwa Wa Wakuu wa Nchi 25 barani Afrika hapa Dar ea Salaam kuieneza Afrika nzima. Pongezi sana #SSH
Soba tweet mediaSoba tweet mediaSoba tweet mediaSoba tweet media
Indonesia
0
1
0
59
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo “Mtu akitambulishwa kwako na “A” ili mshirikiane katika kazi fulani, halafu baadae mtu huyo akaongeza kazi nyingine na akakwambia usimwambie “A”, achana na huyo mtu, kama hawezi kuwa MWAMINIFU (Loyal) kwa “A”, hawezi kuwa MWAMINIFU kwako #UAMINIFU NI UTU #Tafakari
Indonesia
0
0
0
47
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo “A” akikuunganisha na LINE au NETWORK yake anataka mfanikiwe kwa pamoja. Sio uungwana kwenda kufanya biashara na LINE au NETWORK hiyo bila “A” kufahamu tena unadiriki kumfahamisha usimwambie “A”. Jiulize “A” akijua atakufikiriaje? UAMINIFU NI UTU #Tafakari✍🏾✍🏾✍🏾
Indonesia
0
0
0
31
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo “Ukishakua mvuvi usiogope bahari, yakija mawimbi, upepo mkali au ghasia za baharini uwe tayari kukabiliana nazo” Kuwa tayari kukabiliana na changamoto unazokumbana nazo katika harakati za maisha. Usiwe mnyonge, pambana, usikate tamaa. #Tafakuri✍🏾✍🏾✍🏾
Indonesia
0
0
1
33
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo “Kwa utimamu, utulivu na amani ya nafsi yako, usijaribishe kuelewa kila kitu” ~ Dkt. D. Marandu Soma tena 👆🏾 #Tafakuri✍🏾✍🏾✍🏾
Indonesia
0
0
0
36
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo Kwa kawaida wanaume huwa hawaelezi shida zao, huwa wanateseka kimya kimya. Ukiona mwanaume mwenzako anakueleza shida zake ujue wewe ni tumaini lake la mwisho, ukiwa na nafasi MSAIDIE, USIMWANGUSHE ~Dr. D. Marandu #Tafakuri✍🏾
Indonesia
0
0
0
49
Soba
Soba@s_soba·
#NenoLaLeo “Unapozika hadithi za masuala yaliyotokea maishani mwako kipindi kilichopita, jiepushe kukutana na wenye kulijua kaburi la hadithi hizo” ~Dkt. D. Marandu Soma tena #Tafakari✍🏾✍🏾✍🏾
Indonesia
0
1
0
51