Said Jr
46.4K posts

Said Jr
@saidry21
Fans of @SimbascTanzania | @Arsenal
+255-Tanzania Katılım Mart 2014
1.5K Takip Edilen2.6K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Said Jr retweetledi

Ubalozi wa Marekani Nchini Tanzania, leo Mei 22 2026 umeeleza kuwa Serikali ya Marekani imemuwekea vikwazo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania (SACP), Faustine Jackson Mafwele, kwa madai ya kuhusika katika ukiukaji mkubwa wa haki za Binadamu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio, Marekani imesema inazo taarifa za kuaminika zinazomuhusisha Mafwele na vitendo vya ukandamizaji pamoja na ukiukaji wa haki za binadamu.
Aidha, Washington imesema uamuzi huo umetokana na taarifa za uchunguzi zinazohusiana na matukio ya mwaka 2025, ambapo Wanaharakati Agather Atuhaire wa Uganda pamoja na Boniface Mwangi wa Kenya walidai kutekwa, kushikiliwa na kufanyiwa vitendo vya ukatili walipokuwa Tanzania kufuatilia kesi ya Kiongozi wa upinzani Tundu Lissu.
Kutokana na hatua hiyo, Marekani imesema vikwazo hivyo ni sehemu ya juhudi zake za kuwawajibisha Watu wanaotuhumiwa kukandamiza haki za msingi za Wananchi ambapo chini ya vikwazo hivyo Mafwele hatoruhusiwa kuingia Marekani.
#MillardAyoUPDATES

Indonesia
Said Jr retweetledi
Said Jr retweetledi
Said Jr retweetledi
Said Jr retweetledi

Naitaka hiyo JVC lakini nataka inavyoonekana kwenye picha vizuri, rangi imekolea safi kabisa ..tafadhali sana tuwasiliane kama iko hivo hivo Dm
Miss Chelsea1221@MissChelsea1221
Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏😍 Jez za Zaman (Vintage) 35,000/= 0714336827 #MIKOA YOTE TUNATUMA
Filipino

Haelewi afanye nini simple piga chini
Masterplan🇹🇿@master_plan9
Jamaa Angu Next Week Anafunga Ndoa Jana Kashika Simu ya Mke Wake Mtarajiwa Kakuta Meseji "Ex Wake Anaomba Achape Mbususu Mara ya Mwisho" Na Kakubali Wamepanga Adi sehemu ya Kukutana..... Jamaa Kichwa Kimewaka Moto Haelewi Afanye Nini.?
HT
Said Jr retweetledi
Said Jr retweetledi
Said Jr retweetledi

Said Jr retweetledi
Said Jr retweetledi
Said Jr retweetledi
Said Jr retweetledi

CHAMPIONS 🏆🏆🏆
after 22 years, everything is bossible🔥
Arsenallll foreverrrrrrrrrrr🔴
@arsenal

English
Said Jr retweetledi
















