MASTERMIND
2 posts


@Roma_Mkatoliki Hebu fikiria Mtanzania ambae amewahi kuwa kiongozi wa Serikali na kwenye Chama tawala (CCM), ambae ana recognition na respect mpaka kwenye vyombo vyetu vikuu vya ulinzi na usalama na bado anatekwa kirahisi na anajeruhiwa kiasi kile, Mnadhani ni kawaida?
Vipi Mimi na wewe?

Indonesia

Ukitazama documentary nyingi na ukifatilia cases nyingi za 🇺🇸 mpaka lifestyle yao.
Utagundua majamaa kwenye matukio mengi sana wanapenda ku-solve individually zile za One man Aaa!!
Hata South kwa Madiba wanapigaga sana hizo One man Aaa shows!!
Hawategemei cha Taasisi, wala Organization wala chama kiungane kiamue!
Yani zile za homeboy HAMZA zile ndio mbanga zao!!
Sisi kwetu unakuta mtu mmoja tu anatuendesha mwaka wa 10 anatumaliza tu…..tunangoja taasisi hadi ziungane!!
Na ni mtu anafikika kabisa na anajulikana!
Hatunaga INDIVIDUAL MORALI!!
Indonesia