suleiman yeri

5.5K posts

suleiman yeri banner
suleiman yeri

suleiman yeri

@suleimanyeri

Journalist, News Anchor @ktnnewske Liverpool FC @LFC die hard. Views are my own.

Nairobi, Kenya Katılım Mart 2011
1.3K Takip Edilen7K Takipçiler
suleiman yeri retweetledi
Liverpool FC
Liverpool FC@LFC·
We can confirm Andy Robertson will bring his Reds career to an end at the conclusion of the current season. He will do so as a Liverpool legend ❤️
English
3.9K
18K
151.9K
8.8M
suleiman yeri retweetledi
Victor Wanyama
Victor Wanyama@VictorWanyama·
Today i announce my retirement from football, Four different countries six different clubs, A boy from Muthurwa with a big dream, carrying a Nations pride everytime i stepped onto the pitch. To my family, friends, agent, the fans and the coaching staff that helped me throughout
English
1.5K
10K
51.6K
1.5M
suleiman yeri retweetledi
Mohamed Salah
Mohamed Salah@MoSalah·
ZXX
22.1K
101.5K
454K
33.4M
suleiman yeri retweetledi
Liverpool FC
Liverpool FC@LFC·
Mohamed Salah is to bring the curtain down on his illustrious career with Liverpool Football Club at the end of the 2025-26 season. The time to fully celebrate his legacy and achievements will follow later in the year when he bids farewell to Anfield ❤️
English
5.5K
36.8K
250K
14M
suleiman yeri retweetledi
KTN News
KTN News@KTNNewsKE·
Viongozi wa kidini walaumu ufisadi na unyakuzi wa ardhi kwa kuchangia mafuriko #Yanayojiri
Indonesia
0
1
1
394
suleiman yeri retweetledi
KTN News
KTN News@KTNNewsKE·
Kamati ya majanga Kilifi yaweka mikakati ya kupunguza athari za mafuriko Magharini #Yanayojiri
Indonesia
1
1
0
544
suleiman yeri retweetledi
KTN News
KTN News@KTNNewsKE·
Serikali imejaribu kutuliza hofu ya uwezekano wa uhaba wa mafuta nchini kufuatia wasiwasi katika masoko ya mafuta duniani kutokana na mvutano unaoongezeka kati ya Marekani, Israel na Iran. #MbiuYaKTN @suleimanyeri
Indonesia
1
1
2
681
suleiman yeri retweetledi
KTN News
KTN News@KTNNewsKE·
Ida Odinga, balozi mteule wa Kenya kwenye Umoja wa Mataifa kuhusu mazingira UNEP, amepigwa msasa na Kamati ya Bunge kuhusu masuala ya nchi za kigeni Ijumaa. #DiraYaWiki @suleimanyeri
Indonesia
0
1
2
553
suleiman yeri retweetledi
KTN News
KTN News@KTNNewsKE·
Baada ya kuapa kwamba watakuwa wakikita kambi kwenye Jumba la Jogoo kila wiki na hata kuandaa maandamano kupinga kile walichodai ni mbinu za kimaksudi za kuvuruga mikutano ya upinzani, viongozi wa upinzani wamebadili msimamo ghafla. #DiraYaWiki @suleimanyeri
Indonesia
0
1
1
574
suleiman yeri retweetledi
KTN News
KTN News@KTNNewsKE·
Kwa miaka kadhaa, wakazi wa kaunti za Kaskazini Mashariki wameendelea kulalamikia kutengwa, umaskini na makali ya ukame, madhila hayo yakiwa hali ya kawaida licha ya mabilioni ya fedha kutengewa kaunti hizo. #DiraYaWiki @suleimanyeri
Indonesia
0
1
3
286
suleiman yeri
suleiman yeri@suleimanyeri·
ODM NEC has resolved to remove Nairobi Senator Edwin Sifuna as the party's Secretary General with immediate effect, citing indiscipline. Catherine Omanyo appointed as acting SG until a substantive holder is elected.
English
0
0
0
116
suleiman yeri retweetledi
The Climate Ambassador
The Climate Ambassador@BrianMisiati·
2026 is our moment. A moment to move beyond isolated efforts and into bold collaboration. A year that calls faith communities, civil society, youth, women, Indigenous peoples, policymakers, media, and the private sector to walk together for climate justice. #ClimateAction
The Climate Ambassador tweet media
English
1
16
18
330
suleiman yeri retweetledi
KTN News
KTN News@KTNNewsKE·
Kampuni ya maji la Tana Athi imewekeza shilingi milioni 330 kuhakikisha upatikanaji wa maji kwa mradi wa kiwanda cha ngozi cha Kinaninie unaolenga kukuza sekta ya viwanda na uchumi wa eneo hilo. #Yanayojiri @suleimanyeri
Indonesia
0
1
1
445
suleiman yeri retweetledi
KTN News
KTN News@KTNNewsKE·
Mamlaka ya kudhibiti ukame na maeneo kame nchini, NDMA, imeanzisha msafara unaojumuisha wadau na wakazi wa kaunti za Garissa, Meru na Isiolo. #Yanayojiri @suleimanyeri
Indonesia
0
1
2
412
suleiman yeri retweetledi
KTN News
KTN News@KTNNewsKE·
Viongozi wa bunge la kaunti ya Kiambu wanadai kuishi kwa hofu, baada ya spika pamoja na baadhi ya wawakilishi wadi kudai maisha yao yako hatarini kufuatia vitisho vinavyodaiwa kutoka kwa watu wasiojulikana. #Yanayojiri @suleimanyeri
Indonesia
0
1
0
334
suleiman yeri retweetledi
KTN News
KTN News@KTNNewsKE·
Mfanyabiashara mmoja katika soko la samaki mjini Lodwar anaendelea kupokea matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Lodwar baada ya kupigwa risasi na majangili waliovamia soko hilo na kuwaibia wafanyabiashara. #Yanayojiri @suleimanyeri
Indonesia
0
1
0
511
suleiman yeri retweetledi
KTN News
KTN News@KTNNewsKE·
Siku chache tu baada ya gavana wa Homabay Gladys Wanga ambaye pia ni mwenyekiti wa chama cha ODM kudokeza kuwa makubaliano ya ODM na UDA ni kugawana serikali kwa asilimia 50%, sasa naibu gavana wa kaunti ya Kakamega Ayub Savula amekariri kuwa hilo litawezekana tu iwapo Rais William Ruto atapata uungwaji mkono kutoka maeneo ambayo ni ngome ya chama cha ODM. #Yanayojiri @suleimanyeri
Indonesia
0
1
0
352
suleiman yeri retweetledi
KTN News
KTN News@KTNNewsKE·
Washikadau katika sekta ya elimu kaunti ya Kirinyaga wanatoa wito kwa Wizara ya Elimu kurejelea tena zoezi la kutoa mafunzo kwa walimu ili kuwapa ujuzi wa kuwashughulikia wanafunzi wa CBE inavyofaa. #Yanayojiri @suleimanyeri
Indonesia
0
1
1
450