
Baada ya wiki kadhaa za sintofahamu, hatimaye serikali ya Kenya imelipa ada ya kiasi cha Dola milioni 30 (Shilingi bilioni 3.9 za Kenya), kama ada ya kuandaa michuano ya AFCON 2027, hapo mwakani.
Katika taarifa yake iliyotolewa Machi 31, 2026, waziri wa michezo wa nchi hiyo, Salim Mvurya amesema kuwa Kenya imefanikiwa kulipa ada hiyo, kama ilivyokuwa imeelekezwa na Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF).

Indonesia




















